Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah miaka ya 83-86 nikiwa chalii tunacheza mpira aisee hii kitu ilinitokeaSuruali yako ikipata hitilafu ya kutatuka kwa nyuma afu uko mbali na mazingira ya kuishughulikia ndo utajua umuhimu wake
malezi na stadi za maisha ni muhimu sana zikawa wazi...Mtumishi mada zako siku hizi ngumu aiseee.!!

Dah!! Sawa baba mtumishi tukomesheni 😂😂na tumejipanga mbaya sana,
hii tunapitisha bila tashishwi yeyote aise. halafu ni nzuri sana kwa mustakabali ya wtz
Sijuichimbuko ni nin hasa?![]()
Adam baada ya kula tunda alilopewa na Eva(Hawa) ghafla wakajikuta wako Uchi.
Baadaye Mungu anamuita Adam, uko wapi mwanangu.
Adam anajibu, nimejificha Kwa kuwa nipo uchi
Hiyo ni historia ya Chanzo cha kuanza kuvaa kufuli (Chupi) Kwa Mujibu wa Biblia
Ukija Kwa upande wa Histori;
Zama za Mwanzo hadi zama za Mwisho za Mawe, Babu yako mtoa mada, pamoja na Babu wa wasomaji walikuwa wanavaa MAGOME ya Miti ili kujisitiri (Chupi).
Chukulia tungekuwa hatuvai nguo (Chupi)
Wengine tunaweza kutembea tumesimamisha, imagine hauna kizuia nyeti
Si Kila mtu angeweza kuona mnala wa Babeli wa Babu yenu 😜

Mchezo hautaki hasira huu 😄
Mkiwa mmeshiba posho chochote mnaandika 😂😂😂malezi na stadi za maisha ni muhimu sana zikawa wazi...
eneo hili la faragha tunafuataga mkumbo zaidi, lakini nadhani, chimbuko, maana na umihimu wake, wengi kuelezea wanapata tabu sana![]()
😃 😃 😃 Ikawaje?Hahahah miaka ya 83-86 nikiwa chalii tunacheza mpira aisee hii kitu ilinitokea
NILIJUTA...!!
jaribu huo mfano majibu utayapataumuhimu wa nguo ya ndani uko wap hapo![]()
Niliitwa (XxxJinaXx) tako😃 😃 😃 Ikawaje?