Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Hiyo umesema ww kirikouKwaiyo Afrika iko matakoni mwa Dunia😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo umesema ww kirikouKwaiyo Afrika iko matakoni mwa Dunia😂😂
Umesema "em huko" mi nikakumbuka nyimbo ya mwana FA na NURA inaitwa unanitega.Angalia niliyemquote mkuu
Uvaaji nguo ulianzia kwenye bustani ya Eden.Ni nini chimbuko la uvaaji nguo za ndani..
Zililenga kusaidia nini? Na mpaka wa sasa zina imuhimu gani?
Kwa hiyo unataka kusema sisi wamatumbi na wazungu jimbuko letu ni moja?Tunasemea chanzo au chimbuko, Africa tulichelewa sababu ya kukaa mwisho wa dunia
Mimi ninesemea watu wa mwanzo waliogundua vifuniko vya asali, sijasema story za chimbuko hapa!!Kwa hiyo unataka kusema sisi wamatumbi na wazungu jimbuko letu ni moja?
👍Mimi ninesemea watu wa mwanzo waliogundua vifuniko vya asali, sijasema story za chimbuko hapa!!
Okay 😜Umesema "em huko" mi nikakumbuka nyimbo ya mwana FA na NURA inaitwa unanitega.
Na ambavyo wengi hawapaki mafuta basi inakua tafrani.Tuvaae tu kwakweli mwanaume akiinama alafu iwe kipind Cha juakali ule mstari uwe wazi Jamani kha[emoji3][emoji3][emoji3]
Makubwa,,mi hata sikuelewi mkuu...umeanza kutaja na watu tena😳Ulikuwa ushajaa sumu, ukawaunasubiri tu nijichanganye ugeuke unique flower
Karibu tuleMakubwa,,mi hata sikuelewi mkuu...umeanza kutaja na watu tena😳
Asante..mie nishajilaza mkuuKaribu tule
Leo mapema?Asante..mie nishajilaza mkuu
Ni sikuzote mkuu...nachelewa kidogo weekendsLeo mapema?
OK hapo nimekupata, kwahiyo weekend ndo huwa mpaka 9 usiku etiNi sikuzote mkuu...nachelewa kidogo weekends
No saa 6-7OK hapo nimekupata, kwahiyo weekend ndo huwa mpaka 9 usiku eti
Njema,Mungu anasaidiaOK sawa, ila vipi siku yako leo imeendaje?
Yeah me too, but nimefurahi kusikia kuwa siku imeenda vizuri na kwako pia. Kwa kweli nijambo la kumshukuru Mungu maana si wote wameweza pata neema hiiNjema,Mungu anasaidia
Hakika!🙏🏽Yeah me too, but nimefurahi kusikia kuwa siku imeenda vizuri na kwako pia. Kwa kweli nijambo la kumshukuru Mungu maana si wote wameweza pata neema hii
Unaweza kufuta ile comment yako?OK sawa, ila vipi siku yako leo imeendaje?