Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Wacha ujinga jamaa. Personal qualities za mtu ndizo zinafanya ateuliwe kuwa kiongozi wa umma. Je kiongozi akiiba mitaani au akiwa panya road siyo sababu ya kuwajibishwa kwa kuwa ni wizi ambao ni mambo yake binafsi? Kinachozungumzwa mitandaoni kama ni KWELI, that's total disqualification from public appointments (Only kama ni KWELI). Think twice.Awajibike kwenye issue gani haya mambo ni personal wala hayahusiani na issue za Kazi. Angekua kaharibu kazi kufanya ufisadi,kashindwa kuwahudumia watanzania kwenye nafasi yake hapo sawa
Mafii ya sisiemu hiiNenda wewe huko Kenya Talk "turudi" wewe na nani?
Utashangazwa hili swali hata chuo huenda wasiwe na majibu nalo. This country asee every citizen is corrupting at his/her level.Na je mara ya mwisho alionekana lini chuoni/darasani?
Bongo wazee wa kutembea na trend. Kesho Diamond atamtia dole Zuchu hadharani watu watasahau kila kitu na kuanza kudiscuss madole.Hii nayo kama kawaida wa watanzania wa mihemko, itakua cold case muda sio mrefu
Kuna jambo lisilo la kawaida kwenye hili jambo! Itakuwa kama mauji ya wafanya biashara wa madini enzi za zombeNinaomba michango kuhusiana na thread hii tafadhali?
Ushuzii weweMafii ya sisiemu hii
Wahuni Wameingilia KifoNashangaa hata wanafamilia wapo kimya wanaogopa.
HahahaBongo wazee wa kutembea na trend. Kesho Diamond atamtia dole Zuchu hadharani watu watasahau kila kitu na kuanza kudiscuss madole.
Hivi hizi offer za bia mnazonunuliwa ndio zinawatowa akili kiasi hiki?Mkuu Tuache roho mbaya hawa wote walikua watu wazima. Kama walikua wanamahusiano walikua hawavunji sheria za nchi Labda tu walikua wanavunja sheria za dini.Tuache mungu ndo atawahukumu
Au ipangwe mechi ya watani wa jadiBongo wazee wa kutembea na trend. Kesho Diamond atamtia dole Zuchu hadharani watu watasahau kila kitu na kuanza kudiscuss madole.
Huyo jamaa ndiyo wale bora liendeHivi hizi offer za bia mnazonunuliwa ndio zinawatowa akili kiasi hiki?
Yani unajizima data kabisa, hujui hata maadili nini?
Swali gumu hili....Na je mara ya mwisho alionekana lini chuoni/darasani?
Ndiyo maana siku hizi nimejikita tu kuchangia nyuzi za mapenzi na mahusiano maana zile za kisiasa hazina mashiko tena. Tunazipenda familia zetu. JF yetu ya 2007 na 2008 nilipojiunga nikitokea Jambo Forum siyo ya leo tena. Ule msemo wetu wa JF "Where you dare to talk openly". Tuliongea Sana openly. Tulirusha mambo makubwa humu. Tulikuwa members reputable humu yaani activists, intellectuals yaani ilikuwa ni hoja kupangua kwa hoja. Tulipewa mpaka Reputation Powers. Old is Gold. Hahahaha. Siyo siku hizi.Ndugu Lwiva naomba niwe na mtazamo tofauti kidogo hapa kwenye hili la kuilaumu JF (kwa maana ya wamiliki na wafanyakazi)
Mimi binafsi naona wanapambana sana na kwakweli wanajitahidi mno kuuwezesha huu mtandao kubaki hai hata wa leo
Kuna changamoto kubwa sana zisizosemwa popote wala kuwekwa hadharani wanazopitia kutokana tu na maudhui ya wanachama wake kwakuwa wao ndio wa kwanza kuulizwa
Sisi tunatumia utambulisho bandia hapa upenuni lakini uhalisia wetu wetu wote wanao wao na ndio walinzi wetu wanaotulinda.. Kuna nyakati walikuwa tayari kuumizwa na kuteswa lli tu kutulinda sisi wanachama wake
Hiki kitu kinaitwa SERIKALI kioneni hivihivi, tutanietanie tu hapa lakini kuna mipaka yake.. Serikali ina mikono mirefu sana na nguvu nyingi sana
Kuna baadhi ya maudhui yanaondolewa kwa faida yetu wenyewe, afya ya forum na ulinzi wa wamiliki na wafanyakazi wake.. Mimi na wewe inaweza kuchukua muda kufikiwa na ile mikono mirefu lakini sio wao wamiliki na wafanyakazi.. Wao kudakwa ni dakika tuu
Inawezekana kweli kuna mahali kuna mapungufu lakini sisi sote si wakamilifu.. Ni vema tuwatie moyo na ikibidi tuwashukuru na kuwapongeza maana wanayopitia pengine ni makubwa kuliko tunavyolaumu
Mungu ibariki JF
Ni 2007 na 2008 edit hapo for future records.Ndiyo maana siku hizi nimejikita tu kuchangia nyuzi za mapenzi na mahusiano maana zile za kisiasa hazina mashiko tena. Tunazipenda familia zetu. JF yetu ya 2017 na 2018 nilipojiunga nikitokea Jambo Forum siyo ya leo tena. Ule msemo wetu wa JF "Where you dare to talk openly". Tuliongea Sana openly. Tulirusha mambo makubwa humu. Tulikuwa members reputable humu yaani activists, intellectuals yaani ilikuwa ni hoja kupangua kwa hoja. Tulipewa mpaka Reputation Powers. Old is Gold. Hahahaha. Siyo siku hizi.
Sasa serikali duniani zinafanya kazi Gani kama Kila Kitu Mungu anafanya? Hivi angekuwa Binti Yako ndo kafa ungeongea huu upuuzi. Au Kwa mfano umevamiwa na jtu likatatua marinda utasema aachwe Kwa kuwa marinda hayatarudi?Kwaio Naibu waziri akiondolewa waziri ndo Nasra atarudi.Ebu Tuache ujinga kama alikua mchepuko hawa wote wanamakosa kwaio atakaepaswa kutoa adhabu dhidi yao ni mwenyezi Mungu
Hatua huchukuliwa Kwa mujibu wa Sheria na siyo UPOLE NA BUSARA ZA MTU AU KWA KUMWOGOPA MUNGUNafahamu jambo moja kuhusu Mh. Rais wetu, Mama ni mtu mwenye hofu ya Mungu na pia ni mpole na mwenye busara
Busara ya Mama itampeleka kwenye uvumilivu ili kuepuka kumuumiza mtu, atasubiri kidogo muda upite ili mwenye majeraha apone.
Hofu ya Mungu itamfanya achukue maamuzi ili kutenda haki na kufanya watu waendelee kuiamini serikali yake.
Mwenye ufahamu amenielewa
Tuwe na subra.
Nchi ya mapoyoyoLeo ijumaa mpka jumatatu kutakuwa na agenda nyingine upepo wa huyu binti utapotea
Ohhh asante mkuu. I had in mind 2007 and 2008.Ni 2007 na 2008 edit hapo for future records.
Huyu binti alikuwa na naibu waziri, ukweli usemwe na uwekwe wazi