Uchaguzi 2020 Ni nini kimeitokea CHADEMA? Tumefikaje huku kupost picha za 2015?

Uchaguzi 2020 Ni nini kimeitokea CHADEMA? Tumefikaje huku kupost picha za 2015?

Sio kweli, kwa mfano tu; huyu ni kilewo ni katibu wa chadema darView attachment 1556643

Hawa ndio wanatumika kukihujumu chama
Hiyo picha ingepositiwa na Lissu mwenyewe, Mbowe au bavicha ningelaumu ila kwa hao walevi Wala siwezi kulaumu
Sana Sana chadema wamfute kazi mala moja Tumaini makene ana utoto mwingi Sana
 
Sio kweli, kwa mfano tu; huyu ni kilewo ni katibu wa chadema darView attachment 1556643
Hii ni aibu kubwa hata mimi nilistuka kwasababu wakati lissu anatua uwanja wa ndege kahama alipanda nissan patrol yenye usajili wa DKQ ambayo ina sun roof sasa hapa kileo anatweet watu humo ndani ya magari wanaonekana coz ya oblique photograph na lisu hayumo na halina sun roof aibu kubwa kwao
 
Habari wana JF, leo nipo kushangaa jambo ambalo sijui imekuwaje linatokea tena kwa viongozi wa chama. CHADEMA imefeli kwenye suala zima la habari kipindi hiki cha kampeni, imefeli sana.

Binafsi sikutegemea kama chama kingeweza kufika huku. Viongozi wetu wanaoongopewa na nani? Ili iweje? Lissu ana wafuasi wengi sana na hata baadhi ya maeneo kwenye kampeni zake watu wamejitokeza wengi, tatizo ni habari kufika kwa wakati kitu kinachopelekea viongozi kutuma habari ambazo sio sahihi kwa Umma.

Viongozi wanatuma picha za mwaka 2015 ili iweje? Mbona za mwaka huu zinaweza kutumika tu vipi zikihaririwa? Chama kifanye tathmini ya yanayoendelea ili kuzidisha imani kwa wafuasi wake.

Kuthibitisha nachosema, link hii hapa kuonyesha hizo picha ni za 2015
LOWASA AVUNJA REKODI SUMBAWANGA MJINI

.View attachment 1556520
Duh aisee? Hii picha imetrend huko mitandaoni eti Lissu akipokewa huko mwanza na shinyanga.
 
Pole sana kumbe huna habari kuwa CCM na Mzee Meko hawatakiwi kanda ya ziwa kama hujabahatika kuona video ya lissu nikupe pole kwa mara nyingine tena. Wanasema wale waliokupandisha ndio watakao kushusha vivyo hivyo kwa Mzee Meko wasukuma ndio wakimpa hicho kiti cha urais sasa wamesema basi na ndio haohao watamshusha maana wamechoka na uonevu jumulisha ahadi feki za mzee meko.
 
Habari wana JF, leo nipo kushangaa jambo ambalo sijui imekuwaje linatokea tena kwa viongozi wa chama. CHADEMA imefeli kwenye suala zima la habari kipindi hiki cha kampeni, imefeli sana.

Binafsi sikutegemea kama chama kingeweza kufika huku. Viongozi wetu wanaoongopewa na nani? Ili iweje? Lissu ana wafuasi wengi sana na hata baadhi ya maeneo kwenye kampeni zake watu wamejitokeza wengi, tatizo ni habari kufika kwa wakati kitu kinachopelekea viongozi kutuma habari ambazo sio sahihi kwa Umma.

Viongozi wanatuma picha za mwaka 2015 ili iweje? Mbona za mwaka huu zinaweza kutumika tu vipi zikihaririwa? Chama kifanye tathmini ya yanayoendelea ili kuzidisha imani kwa wafuasi wake.

Kuthibitisha nachosema, link hii hapa kuonyesha hizo picha ni za 2015
LOWASA AVUNJA REKODI SUMBAWANGA MJINI

.View attachment 1556520
Haikusaidii, tumeamua ni Lisu!
 
Kuna tatizo kubwa mno chadema hebu fikiria Henry Kilewo katibu wa chadema mkoa mkubwa wa Dar es salaam anapost picha ya mapokezi ya Lowasa mwaka 2015 sumbawanga halafu anasema ni picha ya mapokezi ya Tundu Lisu leo Shinyanga!!!
Mkuu inavyo onyesha chadema kunashida maana hata jana mgombea ubunge jimbo la nyamagana john Pambalu alipositi picha ya 2015 mpaka mtu unajiuliza hivi huyu kweli anafikili kwa kutumia kichwa au hajielewi
 
Hamjafikia umaarufu wa diamond hata nusu
Sisi hatuhitaji kuangalia tv, sisi tupo muda wote you tube, jf, twitter na IG
Huko kunatosha
Diamond alisusiwa nyimbo zake kuchezwa kwenye media, lakini akatusua IG, Youtube na mambo yakaenda
 
Kuna tatizo kubwa mno chadema hebu fikiria Henry Kilewo katibu wa chadema mkoa mkubwa wa Dar es salaam anapost picha ya mapokezi ya Lowasa mwaka 2015 sumbawanga halafu anasema ni picha ya mapokezi ya Tundu Lisu leo Shinyanga!!!
Hahaha Hahaha hahahaha hahahaha Dah nilisema CHADEMA IS A SCAM
 
Back
Top Bottom