Pole sana mzee!
Nimeitembelea sn kanda ya ziwa km mikoa mitatu hivi.
Nilichogundua ni 20% ya watu ndo wanaompinga mzee magu.
Nahawa wako maeneo ya mjini tena nikundi la vijana wahuni wanywaji wa kitoko , shimhwa, nk. Nabaadhi ya waajiriwa wa serikari pamoja nakundi la wenye vyeti feki na ndg yawaliotumbuliwa.
Mkuu! Nenda maeneo ya wachimbaji wadogo wadogo huko kuna mamilioni yawatu nawaliowengi wamejiandikisha, huko wanaona tar..28 oct nimbali wameahidi kusimamisha uchimbaji kupeleka kura kwa JPM, huko vijijini ndio usiseme kuna akina mama na wazee huwaambii kitu kwa jpm wanamuita KAMAGUFURI.
Kwa tathimini yangu wabunge wa upinzani safari hii watakuwa ni wachache sana bungeni.
Mfano... 1.Heche hatoboi
2.E.matiko hatoboi
3.E.bulaya hatoboi ( issue yao na mdee imeshawatafuna huko jimboni wtu wa mkoa akiambiwa na mtu mkubwa anaamini na yy kuwa wakara wakusambaza mwanaharakati huru kawamaliza
3. Mdee hatoboi
4.msigwa yule mama kamkalia vibaya sn
4.Sugu tayari kishashindwa nadhani jn mmeona malalamiko yake.
5.mbowe hatoboi
6.le.a 50/50
7.Nyarandu 50/50
8.mwakajoka 50/50
9.pr J. 50/50
Majimbo ambayo sijayataja yaliyokuwa na wanachadema hayo weka mbali na watoto
Hivyo kwa chadema wachange vyema majimbo haya wakipigwa na haya kuna kila sababu ya hiki chama kusambalatika nadhani dalili zimeonekana mapema.