Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Watakuja na kusema account fake au account ilihackiwa, subili utaonaSio kweli, kwa mfano tu; huyu ni kilewo ni katibu wa chadema darView attachment 1556643
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuja na kusema account fake au account ilihackiwa, subili utaonaSio kweli, kwa mfano tu; huyu ni kilewo ni katibu wa chadema darView attachment 1556643
Hawezi kufanya hivyo. Huo ni udukuzi. Tuliona umati mkubwa kwa ajili ya Lissu jana Mwanza. Hana haja ya kudanganya. Hizi picha za uongo za Shinyanga zimewekwa na adui waoKuna tatizo kubwa mno chadema hebu fikiria Henry Kilewo katibu wa chadema mkoa mkubwa wa Dar es salaam anapost picha ya mapokezi ya Lowasa mwaka 2015 sumbawanga halafu anasema ni picha ya mapokezi ya Tundu Lisu leo Shinyanga!!!
Nami nafuatilia kampeni kwenye YouTube ila nimegundua CHADEMA hawakamilishi hotuba za mgombea wao kwa sababu siyo "live". Wanachofanya ni kuzikarabati kwanza zionekane jinsi wanavyopenda. Kama zingerushwa "live" ukweli ungewaacha uchiSisi hatuhitaji kuangalia tv, sisi tupo muda wote you tube, jf, twitter na IG
Huko kunatosha
Diamond alisusiwa nyimbo zake kuchezwa kwenye media, lakini akatusua IG, Youtube na mambo yakaenda
Unaota wewe?!Pole sana kumbe huna habari kuwa CCM na Mzee Meko hawatakiwi kanda ya ziwa kama hujabahatika kuona video ya lissu nikupe pole kwa mara nyingine tena. Wanasema wale waliokupandisha ndio watakao kushusha vivyo hivyo kwa Mzee Meko wasukuma ndio wakimpa hicho kiti cha urais sasa wamesema basi na ndio haohao watamshusha maana wamechoka na uonevu jumulisha ahadi feki za mzee meko.
Kwahiyo hata video zinazo tumwa pia huziamini[emoji849][emoji849]Habari wana JF, leo nipo kushangaa jambo ambalo sijui imekuwaje linatokea tena kwa viongozi wa chama. CHADEMA imefeli kwenye suala zima la habari kipindi hiki cha kampeni, imefeli sana.
Binafsi sikutegemea kama chama kingeweza kufika huku. Viongozi wetu wanaoongopewa na nani? Ili iweje? Lissu ana wafuasi wengi sana na hata baadhi ya maeneo kwenye kampeni zake watu wamejitokeza wengi, tatizo ni habari kufika kwa wakati kitu kinachopelekea viongozi kutuma habari ambazo sio sahihi kwa Umma.
Viongozi wanatuma picha za mwaka 2015 ili iweje? Mbona za mwaka huu zinaweza kutumika tu vipi zikihaririwa? Chama kifanye tathmini ya yanayoendelea ili kuzidisha imani kwa wafuasi wake.
Kuthibitisha nachosema, link hii hapa kuonyesha hizo picha ni za 2015
LOWASA AVUNJA REKODI SUMBAWANGA MJINI
.View attachment 1556520
Ulicholalamikia ni sahihi, na hakiwezi kuungwa mkono na mwenye timamu. Ila kwa namna unavyozidi kusapoti ujinga wa mataga unatufanya tuanze kuhoji juu ya uwezo wako wa kufikiri.Nimeanza kuamini
Aiseee hii ni hatariSio kweli, kwa mfano tu; huyu ni kilewo ni katibu wa chadema darView attachment 1556643
Hawa ndio wanatumika kukihujumu chama upumbavu mtupu
Hiyo picha ingepositiwa na Lissu mwenyewe,Mbowe au bavicha ningelaumu ila kwa hao walevi Wala siwezi kulaumu
Sana Sana chadema wamfute kazi mala moja Tumaini makene ana utoto mwingi Sana fala yule.
Kwani chadema bila kiki na maigizo na uongo kuna lolote pale?Hawa ndio wanatumika kukihujumu chama upumbavu mtupu
Hiyo picha ingepositiwa na Lissu mwenyewe,Mbowe au bavicha ningelaumu ila kwa hao walevi Wala siwezi kulaumu
Sana Sana chadema wamfute kazi mala moja Tumaini makene ana utoto mwingi Sana fala yule.
Hawa ndio wanatumika kukihujumu chama upumbavu mtupu
Hiyo picha ingepositiwa na Lissu mwenyewe,Mbowe au bavicha ningelaumu ila kwa hao walevi Wala siwezi kulaumu
Sana Sana chadema wamfute kazi mala moja Tumaini makene ana utoto mwingi Sana fala yule.
Nani aliwafukuza TBC kwa kuwapa dakika 15 waondoke kwenye mkutano wa CHADEMA?Sawa kabisa mkuu lakini na serikali ya wakati huu ya kimabavu inazuia kurushwa matangazo kwa vyama vingine tuondokane na watu hawa October.
Au atakua alinunuliwa na CCM awafukuze ili kuhujumu kampeni? 😆😆Nani aliwafukuza TBC kwa kuwapa dakika 15 waondoke kwenye mkutano wa CHADEMA?
Kwanini picha hii imefutwa maandishi yaliyopo chini upande wa dereva, picha sahihi inaonesha vizuri chini upande wa dereva, gari la mbele (open roof top) ndilo linalotumika sasa, ni ujinga kupotosha kwa picha na haikusaidiiHabari wana JF, leo nipo kushangaa jambo ambalo sijui imekuwaje linatokea tena kwa viongozi wa chama. CHADEMA imefeli kwenye suala zima la habari kipindi hiki cha kampeni, imefeli sana.
Binafsi sikutegemea kama chama kingeweza kufika huku. Viongozi wetu wanaoongopewa na nani? Ili iweje? Lissu ana wafuasi wengi sana na hata baadhi ya maeneo kwenye kampeni zake watu wamejitokeza wengi, tatizo ni habari kufika kwa wakati kitu kinachopelekea viongozi kutuma habari ambazo sio sahihi kwa Umma.
Viongozi wanatuma picha za mwaka 2015 ili iweje? Mbona za mwaka huu zinaweza kutumika tu vipi zikihaririwa? Chama kifanye tathmini ya yanayoendelea ili kuzidisha imani kwa wafuasi wake.
Kuthibitisha nachosema, link hii hapa kuonyesha hizo picha ni za 2015
LOWASA AVUNJA REKODI SUMBAWANGA MJINI
.View attachment 1556520
Henry Kileo ni kamanda kiongozi wa Kanda, mgombea ubunge Same, utamuita ni mpambe?WANAOTUMA HIZI PICHA ZA ZAMANI SI VIONGOZI NI WAPIGA DEBE TU
Tuliokuwepo ndiyo tulitaka TBC wafukuzwe hata kabla ya Mbowe kusema na ushahidi ni POST yangu humu niliyoiweka kabla ikisema "Chadema wafukuzeni TBC" kwani hatukuona sababu ya kusikiliza watangazaji wakijadiliana wao na kutupa ratiba za vyama vingine.Nani aliwafukuza TBC kwa kuwapa dakika 15 waondoke kwenye mkutano wa CHADEMA?
Hali ni mbaya, utafuta kazi wangapi, we jana ulisuggest mtu gani sijui wa kitengo cha habari afutwe kazi, leo tena una suggest huyu afutwe kazi [emoji23].Hawa ndio wanatumika kukihujumu chama upumbavu mtupu
Hiyo picha ingepositiwa na Lissu mwenyewe,Mbowe au bavicha ningelaumu ila kwa hao walevi Wala siwezi kulaumu
Sana Sana chadema wamfute kazi mala moja Tumaini makene ana utoto mwingi Sana fala yule.