Uchaguzi 2020 Ni nini kimeitokea CHADEMA? Tumefikaje huku kupost picha za 2015?

Kuna tatizo kubwa mno chadema hebu fikiria Henry Kilewo katibu wa chadema mkoa mkubwa wa Dar es salaam anapost picha ya mapokezi ya Lowasa mwaka 2015 sumbawanga halafu anasema ni picha ya mapokezi ya Tundu Lisu leo Shinyanga!!!
Hawezi kufanya hivyo. Huo ni udukuzi. Tuliona umati mkubwa kwa ajili ya Lissu jana Mwanza. Hana haja ya kudanganya. Hizi picha za uongo za Shinyanga zimewekwa na adui wao
 
Sisi hatuhitaji kuangalia tv, sisi tupo muda wote you tube, jf, twitter na IG
Huko kunatosha
Diamond alisusiwa nyimbo zake kuchezwa kwenye media, lakini akatusua IG, Youtube na mambo yakaenda
Nami nafuatilia kampeni kwenye YouTube ila nimegundua CHADEMA hawakamilishi hotuba za mgombea wao kwa sababu siyo "live". Wanachofanya ni kuzikarabati kwanza zionekane jinsi wanavyopenda. Kama zingerushwa "live" ukweli ungewaacha uchi
 
Unaota wewe?!
 
Kwahiyo hata video zinazo tumwa pia huziamini[emoji849][emoji849]
 
Nimeanza kuamini
Ulicholalamikia ni sahihi, na hakiwezi kuungwa mkono na mwenye timamu. Ila kwa namna unavyozidi kusapoti ujinga wa mataga unatufanya tuanze kuhoji juu ya uwezo wako wa kufikiri.

Nadhani ujikite kwenye hoja yako zaidi kuliko kuleta ushabiki usio na tija kwenye hoja ya msingi.

Nadhani tumeelewana mkuu
 
Mbowe sio mtu.
Amevuruga TBC isirushe matangazo kwa sababu ya Chuki binafsi baada ya kuona TBC haikurusha wakati naongea yeye.
Akaona Bora wote tukose ikabidi amharibie na Lisu asionekane.

Mbowe ni mbaya sana ndani ya Chadema na Taifa hili akishirikiana na kundi lake lililokula pesa zote za Ruzuku na michango ya wabunge.

Tumwombee Lisu apite ili abadili na Chama pia mana akikosa atapigwa vita sana na Mbowe mana mbowe ameshagundua kumbe kuna mtu maarufu kuliko yeye.
Mbowe amfeli sana kuorganize kampeni zikae vizuri.

Vijana unawakusanya bila hata kumchukua msanii mmoja kama Roma Mkatoliki na wasanii hata wengine watatu wa kuchangamsha kampeni wakati wa kumsubiru mgombea?
Yote Mbowe anaficha aibu ya kula ruzuku kwa kufunika kombe.
 
Kamanda Makene angeleta picha halisi site mnekata tamaa
 
Kwani chadema bila kiki na maigizo na uongo kuna lolote pale?
Unamwonea kaka yangu makene.
Na mkiacha kiki na maigizo ndo kufutika kwenuuu jumlaaa.
 
Chadema wanaposti picha za uongo kwa nini wakati Lissu anakubalika? hii tabia ya kila mtu ndani ya chama kujiamulia kufanya chochote ipigwe marufuku mara moja, huu ni upuuzi, Makene afanye kazi yake mwenyewe, wengine kama wana picha wamtumie kwanza Makene yeye ndie atapost, na kama Makene haiwezi hiyo kazi aondoke ampishe mwingine.
 






Imepostiwa na katibu wako wa mkoa


Tena kwa msisitizo kaandika .....shinyanga moja hiyoo
 
Kwanini picha hii imefutwa maandishi yaliyopo chini upande wa dereva, picha sahihi inaonesha vizuri chini upande wa dereva, gari la mbele (open roof top) ndilo linalotumika sasa, ni ujinga kupotosha kwa picha na haikusaidii
 
Nani aliwafukuza TBC kwa kuwapa dakika 15 waondoke kwenye mkutano wa CHADEMA?
Tuliokuwepo ndiyo tulitaka TBC wafukuzwe hata kabla ya Mbowe kusema na ushahidi ni POST yangu humu niliyoiweka kabla ikisema "Chadema wafukuzeni TBC" kwani hatukuona sababu ya kusikiliza watangazaji wakijadiliana wao na kutupa ratiba za vyama vingine.
 
Hali ni mbaya, utafuta kazi wangapi, we jana ulisuggest mtu gani sijui wa kitengo cha habari afutwe kazi, leo tena una suggest huyu afutwe kazi [emoji23].
Mko na hali mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…