Uchaguzi 2020 Ni nini kimeitokea CHADEMA? Tumefikaje huku kupost picha za 2015?

Hapo hawajepeaa madaraka washaanza uhuni wa kariakoo,hawa sibhatar sana sasa natamka kimamlaka watasubiri sana kamwe hawawezi pata madaraka hii nchi
 
Hatuchukui maelezo yenu ,chadema ni wahuni kama wahuni wengine tu
 
Ni propapaganda za vyama tu. Mwaka 2015 niliona picha za CCM zilizokuwa zimeunganishwa kwa photoshop na akina January Makamba. Na kama ulivyofanya wewe, wapenzi wa CHADEMA pia wauliza kama unavyouliza wewe. Na walionyesha vizuri vipisi vilivyokuwa vimejirudia kwenye zile picha ili kuonyesha nyomi. Nadhani umeelewa.
 
Huu uhuni wa chadema mwisho oktoba
 
Anatuma mhuni mmoja wengine kwakutojua wanadandia
 
Wewe ni nouma! Umefukunyua hadi chobisi.

Nimekuwa nikiuliza hivi: Ikiwa mafuriko ya mzee Lowassa hayakumwezesha kuingia ikulu; je, Lissu na picha za mafuriko feki ataweza?
Time will tell.
 
Kuna tatizo kubwa mno chadema hebu fikiria Henry Kilewo katibu wa chadema mkoa mkubwa wa Dar es salaam anapost picha ya mapokezi ya Lowasa mwaka 2015 sumbawanga halafu anasema ni picha ya mapokezi ya Tundu Lisu leo Shinyanga!!!
eti ndio wachukue ikulu ! Lol !
 
Chadema watagawana kura na Act.
Ccm imeshashinda.Without Alliance ni zero
Unajidanganya! Kura zinazogawanyika ni za CCM kule Kusini ni wana CCM damu kura inaenda kwa Membe!
 
Lowassa yuko wap hapo...nan asiyekujua wa lumumba hvyo ni kupiga propaganda
 

Hiyo picha umepata kwenye mitandao ya chadema au mitandao ya watu wengine?
 
Pole sana mzee!
Nimeitembelea sn kanda ya ziwa km mikoa mitatu hivi.

Nilichogundua ni 20% ya watu ndo wanaompinga mzee magu.
Nahawa wako maeneo ya mjini tena nikundi la vijana wahuni wanywaji wa kitoko , shimhwa, nk. Nabaadhi ya waajiriwa wa serikari pamoja nakundi la wenye vyeti feki na ndg yawaliotumbuliwa.
Mkuu! Nenda maeneo ya wachimbaji wadogo wadogo huko kuna mamilioni yawatu nawaliowengi wamejiandikisha, huko wanaona tar..28 oct nimbali wameahidi kusimamisha uchimbaji kupeleka kura kwa JPM, huko vijijini ndio usiseme kuna akina mama na wazee huwaambii kitu kwa jpm wanamuita KAMAGUFURI.
Kwa tathimini yangu wabunge wa upinzani safari hii watakuwa ni wachache sana bungeni.
Mfano... 1.Heche hatoboi
2.E.matiko hatoboi
3.E.bulaya hatoboi ( issue yao na mdee imeshawatafuna huko jimboni wtu wa mkoa akiambiwa na mtu mkubwa anaamini na yy kuwa wakara wakusambaza mwanaharakati huru kawamaliza
3. Mdee hatoboi
4.msigwa yule mama kamkalia vibaya sn
4.Sugu tayari kishashindwa nadhani jn mmeona malalamiko yake.
5.mbowe hatoboi
6.le.a 50/50
7.Nyarandu 50/50
8.mwakajoka 50/50
9.pr J. 50/50
Majimbo ambayo sijayataja yaliyokuwa na wanachadema hayo weka mbali na watoto
Hivyo kwa chadema wachange vyema majimbo haya wakipigwa na haya kuna kila sababu ya hiki chama kusambalatika nadhani dalili zimeonekana mapema.
 
Nami nafuatilia kampeni kwenye YouTube ila nimegundua CHADEMA hawakamilishi hotuba za mgombea wao kwa sababu siyo "live". Wanachofanya ni kuzikarabati kwanza zionekane jinsi wanavyopenda. Kama zingerushwa "live" ukweli ungewaacha uchi
Umetumia akili muda nguvu na hisia zako zote kuandika huo ujinga. Pole sana.
 
Poleni wana lumumba. Hatuwashangai. Mtahangaika sana.
In the 1980s, the Securitate launched a massive campaign to stamp out dissent in Romania, manipulating the country's population with vicious rumors (such as supposed contacts with Western intelligence agencies), machinations, frameups, public denunciations, encouraging conflict between segments of the population, public humiliation of dissidents, toughened censorship and the repression of even the smallest gestures of independence by intellectuals.
 
Ulilipwa tungapi kwa utafiti huo wa chekechea?
 
Sawa kabisa mkuu lakini na serikali ya wakati huu ya kimabavu inazuia kurushwa matangazo kwa vyama vingine tuondokane na watu hawa October.
Serikali haijazuia kurusha matangazo bali Chadema ndo wanawazuia waandishi kurusha matangazo na kuwatimua katika mikutano yao ili picha halisi ya eneo husika isirushwe ndo kama hivi akia Henry Kilewo wanatuletea picha za Lowasa mwaka 2015
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…