Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Hawa ndio wanatumika kukihujumu chama upumbavu mtupu
Hiyo picha ingepositiwa na Lissu mwenyewe,Mbowe au bavicha ningelaumu ila kwa hao walevi Wala siwezi kulaumu
Sana Sana chadema wamfute kazi mala moja Tumaini makene ana utoto mwingi Sana fala yule.
Sawa.Time will tell.Unajidanganya! Kura zinazogawanyika ni za CCM kule Kusini ni wana CCM damu kura inaenda kwa Membe!
Kwa ruzuku watakayopata baada ya uchaguzi sijui watalipaje mabilioni wanayodaiwa na mwamba!Pole sana mzee!
Nimeitembelea sn kanda ya ziwa km mikoa mitatu hivi.
Nilichogundua ni 20% ya watu ndo wanaompinga mzee magu.
Nahawa wako maeneo ya mjini tena nikundi la vijana wahuni wanywaji wa kitoko , shimhwa, nk. Nabaadhi ya waajiriwa wa serikari pamoja nakundi la wenye vyeti feki na ndg yawaliotumbuliwa.
Mkuu! Nenda maeneo ya wachimbaji wadogo wadogo huko kuna mamilioni yawatu nawaliowengi wamejiandikisha, huko wanaona tar..28 oct nimbali wameahidi kusimamisha uchimbaji kupeleka kura kwa JPM, huko vijijini ndio usiseme kuna akina mama na wazee huwaambii kitu kwa jpm wanamuita KAMAGUFURI.
Kwa tathimini yangu wabunge wa upinzani safari hii watakuwa ni wachache sana bungeni.
Mfano... 1.Heche hatoboi
2.E.matiko hatoboi
3.E.bulaya hatoboi ( issue yao na mdee imeshawatafuna huko jimboni wtu wa mkoa akiambiwa na mtu mkubwa anaamini na yy kuwa wakara wakusambaza mwanaharakati huru kawamaliza
3. Mdee hatoboi
4.msigwa yule mama kamkalia vibaya sn
4.Sugu tayari kishashindwa nadhani jn mmeona malalamiko yake.
5.mbowe hatoboi
6.le.a 50/50
7.Nyarandu 50/50
8.mwakajoka 50/50
9.pr J. 50/50
Majimbo ambayo sijayataja yaliyokuwa na wanachadema hayo weka mbali na watoto
Hivyo kwa chadema wachange vyema majimbo haya wakipigwa na haya kuna kila sababu ya hiki chama kusambalatika nadhani dalili zimeonekana mapema.
Huyu huyu Henry Kilewo alogombea Ubunge 2015 akiungwa mkono na yule kimada wake wakiwa na kipaumbele chao cha kwanza endap angechaguliwa waenda kula bata Dubai na kufanya shopping za nguvu. Eti sasa anagombea huko Same, Mgombea gani muongo huyu si ataenda kupeleka uongo Bungeni kama wa Peter Msigwa kumsingizia Mzee Kinana kwamba anafanya biashara ya meno ya TemboSio kweli, kwa mfano tu; huyu ni kilewo ni katibu wa chadema darView attachment 1556643
Kiongozi wa Chadema mhuni, ana bahati kaonewa huruma. Huyu bila aibu alimuwekea pingamizi mgombea wa CCM Mwanga kwa fomu feki ya kiapo aliyotengeneza mwenyewe na kuiweka kwenye mtandao. Alibwana akadai sio yeye watu wame hack accnt yake.Kilewo sio “mpiga debe”. Hii ni aibu kubwa sana
Unafikiri CDM wangewatimua TBC kama walikuwa fair au walikuwa wanafanya hujuma kwenye mikutano yao. Naona mlipata kibali cha kusema baada ya CDM kuwatimua TBC manake kila ccm anasema hivyo hivyo.Serikali haijazuia kurusha matangazo bali Chadema ndo wanawazuia waandishi kurusha matangazo na kuwatimua katika mikutano yao ili picha halisi ya eneo husika isirushwe ndo kama hivi akia Henry Kilewo wanatuletea picha za Lowasa mwaka 2015
Utakuwa uko misinformedPole sana kumbe huna habari kuwa CCM na Mzee Meko hawatakiwi kanda ya ziwa kama hujabahatika kuona video ya lissu nikupe pole kwa mara nyingine tena. Wanasema wale waliokupandisha ndio watakao kushusha vivyo hivyo kwa Mzee Meko wasukuma ndio wakimpa hicho kiti cha urais sasa wamesema basi na ndio haohao watamshusha maana wamechoka na uonevu jumulisha ahadi feki za mzee meko.
Na bado, wata edit sana picha mpaka za ujio Papa Francis ha ha ha ha machadema pumzi imekataHawa wanasaccos watanyooka tu!
Asante kwa kunistahiUmetumia akili muda nguvu na hisia zako zote kuandika huo ujinga. Pole sana.