Ni nini sababu na suluhisho kwa wachagga kuwa na meno yenye rangi ya manjano/kahawia?

Ni nini sababu na suluhisho kwa wachagga kuwa na meno yenye rangi ya manjano/kahawia?

Duu Wachaga tena..watani zangu kazi wanayo...sijawahi kuona inaisha wiki bila kuwa na post at least 3 zinazowahusu nyingi zikiwasema vibaya lakini ukweli mchungu ni kwamba ndio wameikamata nchi kupitia organ zote muhimu
Na utawatambua kwa meno yao
 
Si wachaga tu, hili tatizo nimeliona sana A town (rangi flani ya njano). Mwenyewe ni mwathirika kwa kiasi fulani. Machalii wengi waliokulia Kaloleni, Makao mapya, Sakina, Kijenge, Sanawari, tuna hili tatizo. Si uchafu, and it doesn't take away anything.

Binafsi, I get around pretty cool with my 'golden grills'. Not smiley perfect, but my smile score me excess.
paulo na we una meno ya gold???
 
Mkuu tatizo ni fluoride iliyo zidi kwenye maji tangu mtu akiwa tumboni mwa mamake (reffer embryology - teeth formation).kwa sababu ya wingi wa fluoride, itakuwa incorporated badala ya calcium, na kutengeneza fluoroxyapetite ambayo ni brown, badala ya hydroxyapatite ambayo ni nyeupe. Tatizo hilo halikomei kwenye meno tu bali na mifupa itayotengenezwa kipindi unapo kuwa exposed kwenye fluoride, meno na mifupa vilivyo athirika hubadilika rangi na kuwa brown na huwa brittle pia. Tatizo la fluoride iliyo zidi si la wana Arusha tu bali na wale wa singida, tabora/Igunga, shinyanga /kishapu, meatu, Simiyu,Mbeya maeneo ya Mbalizi. Kuzuia tatizo hilo ni kuepuka matumizi ya maji yenye fluoride iliyo zidi tangu mimba ya week 5, kuondoa fluoride iliyo zidi kwenye maji (defluoridatio). Kwa walio athirika tayari kuna huduma za dental bleaching and veneering through dental services. Karibuni kwa maswali zaidi....
Dental bleaching haipunguzi strength ya meno mkuu, yaani haihusiani na kuondoa layer yoyote kwenye jino na hivyo kuexpose kuathirika kama kuvunjika?
 
Nakushukuru kwa kujielekeza vilivyo Kwenye mada,
Je , Huduma ya kubrashiwa meno inapatikana wapi na kwa gharama gani?
Ipo kwenye mahospitali makubwa. Jino moja ni Tshs. 25000/=. Kwa hiyo kinywa kizima ni Tshs. 800,000. Labda uyasafishe ya barazani tu mkuu. Jipange, tena jipange sana!!
 
Duu Wachaga tena..watani zangu kazi wanayo...sijawahi kuona inaisha wiki bila kuwa na post at least 3 zinazowahusu nyingi zikiwasema vibaya lakini ukweli mchungu ni kwamba ndio wameikamata nchi kupitia organ zote muhimu
Kasoro malavidavi
 
Ivi hii kitu hua inaweza kuondolewa kweli na meno yakarudi kua meupe
 
Kwa jino moja au kinywa kizima?
mkuu hiyo ni kwa jino moja, kinacho zingatiwa hapo ni mwonekano mzuri, na kinacho dictate idadi ya meno yatakayo fanyiwa ni level ya smile line. Kama ipo juu sana inamaanisha kuwa una expose idadi kubwa ya meno pindi unapo tabasamu.
 
Dental bleaching haipunguzi strength ya meno mkuu, yaani haihusiani na kuondoa layer yoyote kwenye jino na hivyo kuexpose kuathirika kama kuvunjika?
ni kweli inaondoa contents za jino, plan ya kufanya matibabu hayo inategemea kiwango cha rangi ya meno. in severe cases ina effects kidogo and not recommended, kwenye mild to modarate dental discoloulation ndo inatowa matokeo mazuri. kuhusu kupungua kwa dental strength ya jino uta utapewa maelekezo ya namna ya kutumia meno yako baada ya procedure hadi kipindi chote cha remineralizarion, ambapo swala kubwa huwa ni sensitivity na si kuvunjika kwa meno kwani procedure yenyewe si haihatatishi usalama wa meno kiasi cha kuyavunja.
 
ni kweli inaondoa contents za jino, plan ya kufanya matibabu hayo inategemea kiwango cha rangi ya meno. in severe cases ina effects kidogo and not recommended, kwenye mild to modarate dental discoloulation ndo inatowa matokeo mazuri. kuhusu kupungua kwa dental strength ya jino uta utapewa maelekezo ya namna ya kutumia meno yako baada ya procedure hadi kipindi chote cha remineralizarion, ambapo swala kubwa huwa ni sensitivity na si kuvunjika kwa meno kwani procedure yenyewe si haihatatishi usalama wa meno kiasi cha kuyavunja.
Asante mkuu,nitafanyia kazi maelezo yako maana na mimi ni mhanga japo sio sana.
 
mkuu hiyo ni kwa jino moja, kinacho zingatiwa hapo ni mwonekano mzuri, na kinacho dictate idadi ya meno yatakayo fanyiwa ni level ya smile line. Kama ipo juu sana inamaanisha kuwa una expose idadi kubwa ya meno pindi unapo tabasamu.
Shukrani kwa maelezo murua
 
Mkuu tatizo ni fluoride iliyo zidi kwenye maji tangu mtu akiwa tumboni mwa mamake (reffer embryology - teeth formation).kwa sababu ya wingi wa fluoride, itakuwa incorporated badala ya calcium, na kutengeneza fluoroxyapetite ambayo ni brown, badala ya hydroxyapatite ambayo ni nyeupe. Tatizo hilo halikomei kwenye meno tu bali na mifupa itayotengenezwa kipindi unapo kuwa exposed kwenye fluoride, meno na mifupa vilivyo athirika hubadilika rangi na kuwa brown na huwa brittle pia. Tatizo la fluoride iliyo zidi si la wana Arusha tu bali na wale wa singida, tabora/Igunga, shinyanga /kishapu, meatu, Simiyu,Mbeya maeneo ya Mbalizi. Kuzuia tatizo hilo ni kuepuka matumizi ya maji yenye fluoride iliyo zidi tangu mimba ya week 5, kuondoa fluoride iliyo zidi kwenye maji (defluoridatio). Kwa walio athirika tayari kuna huduma za dental bleaching and veneering through dental services. Karibuni kwa maswali zaidi....

Umejibu vizuri sana inaonyesha una ufahamu wa kutosha wa hii mada...siongezi kitu. Mleta mada naamini ameridhika sasa

Nimeshtushwa na kiwango cha sintofahamu kwa baadhi ya watoa comment hapa, steriotyping ya haki ya juu kabisa.
 
Si wachaga tu, hili tatizo nimeliona sana A town (rangi flani ya njano). Mwenyewe ni mwathirika kwa kiasi fulani. Machalii wengi waliokulia Kaloleni, Makao mapya, Sakina, Kijenge, Sanawari, tuna hili tatizo. Si uchafu, and it doesn't take away anything.

Binafsi, I get around pretty cool with my 'golden grills'. Not smiley perfect, but my smile score me excess.
Tupo wote mkuu.. kama mzaliwa wa Arusha hiyo ni identity yetu😀😀😀
 
Halafu juu ya hilo hawapigi mswaki.

Wachafu sana hao watu.

Hata mademu wao vikwapa vyao hutema sana.
Daah we utakuwa na chuki binafsi na wachaga... Inaonesha kwenye maisha yako wachaga wamekupa changamoto sana mpaka unawajengea chuki za wazi wazi na za kijinga. Unakuwa kama huna akili vile...
 
Wakiwa watoto wadogo huwa wanang'atishwa mavi then meno yanabadilika rangi kuelekea ukubwani.

Nilionaga kinyaa saana nilipoiona hiyo..ptuuuu!
 
Ipo kwenye mahospitali makubwa. Jino moja ni Tshs. 25000/=. Kwa hiyo kinywa kizima ni Tshs. 800,000. Labda uyasafishe ya barazani tu mkuu. Jipange, tena jipange sana!!
1.unge recommend hospital/Dr mzuri
2.je huduma haipingwi japo inatolewa mf.kusafisha masikio
3.nilisoma moshi na nimeishi arusha ila hayajawa njano.kuna sababu zaidi MziziMkavu, Preta, Dr. Mo, Watu8
 
Back
Top Bottom