Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kuzaa nje ya ndoa kumekuwa na changamoto nyingi sana, baadhi ya changamoto ni kama zifuatazo:-
Sasa wakuu nauliza; ni njia zipi ni sahihi kuishi na mwanamke (mchepuko) uliyezaa naye?
NB: Tukumbuke pia, duniani tunapita.
- Mzazi mwenzako kuhitaji huduma ya tendo la ndoa
- Mtoto kupata mahitaji yake ya lazima
- Mtoto kutaka kuwa karibu na baba yake
- Mzazi mwenzako kukuhitaji muda ambao sio rafiki kwako
- Mzazi mwenzako kuwa na upweke n.k
Sasa wakuu nauliza; ni njia zipi ni sahihi kuishi na mwanamke (mchepuko) uliyezaa naye?
NB: Tukumbuke pia, duniani tunapita.