Ni nyimbo zipi za Sugu zenye Ujumbe na zilizohit sana kuliko za Professor J?

Ni nyimbo zipi za Sugu zenye Ujumbe na zilizohit sana kuliko za Professor J?

Wewe umezaliwa mwaka 2003 utamjulia wapi Sugu?
Uliza sisi baba zako wadogo ndo tunawajua hawa wasanii wa miaka hiyo vizuri,
Elewa unapozungumzia Sugu unazungumzia moja ya watu waliofanya muziki wa kizazi kipya ukubarike kwenye jamii kama hivi leo.
Ukiweza tafuta nyimbo za Mr 2 zifuatazo:-
-Mikononi mwa polisi
-Mambo ya fedha
-Chini ya 18
-wanakuita Sugu
-Hayakuwa mapenzi
-Hali halisi
Na nyingine nyingi ukizisikiliza ndo utajua kuwa Sugu ni nani!
Mambo ya fedha ni noma
Brothermen akizikamata mtakoma
Mademu zetu wote wanakuwa wake
Ma sister zangu sina hata cha kusema
Sikilizeni wabunge na kampeni
Wanapotoa ahadi wasizo weza
Kutekeleza
Kiswahili wanakiweza
Kila sentensi mbili katikati kingereza
Yote ni mambo ya fedha
 
Laki moja na nusu kitu gani? Hata usipopiga nyimbo zangu redioni hakuna maneno.

Ndivyo maisha yanachange Leo ndani ya terrano kesho vx au range.
 
Mtoa mada atakuwa ndo hawa watoto waliozaliwa wakati Jakaya yupo madarakani...Sugu wa kumbeza kweli??

Sikiliza
Ndani ya bongo
Nje ya bongo
Deiwaka
Hali halisi
Muziki na maisha
Mikononi mwa polisi
Hali yangu
Maisha yangu
Chini ya 18
Mambo ya fedha
Haki
Hapo zamani
Kiburi
Namshukuru mungu
Alekhmslam
Itikadi
Nikianguka
Hayakuwa mapenzi

Na nyingine kibao yani ni madini tosha
Mtoa mada atakuwa ndo hawa watoto waliozaliwa wakati Jakaya yupo madarakani...Sugu wa kumbeza kweli??

Sikiliza
Ndani ya bongo
Nje ya bongo
Deiwaka
Hali halisi
Muziki na maisha
Mikononi mwa polisi
Hali yangu
Maisha yangu
Chini ya 18
Mambo ya fedha
Haki
Hapo zamani
Kiburi
Namshukuru mungu
Alekhmslam
Itikadi
Nikianguka
Hayakuwa mapenzi

Na nyingine kibao yani ni madini tosha
 
Asilimia kubwa ya wanaomchukulia poa Mr Sugu ni hawa vijana waliozaliwa hivi karibuni ambao sa hivi ndo wanavaa modo na kupaka poda.!
Ila Kwa sisi wahenga ambao miaka ya 2000 - 2001 ndio tunaomjua Mr 2 "Sugu " ni nani.
Mie sinaga muda wa kusikiliza hizi nyimbo za kina
"Dawamondu "
Mie zangu ni zile za enzi hizo
J, moe, Prof Jay, Mr 2, Ay,J nature nk.
Suala sio umri wala uzamani wa kazi ya Msanii, leave apart huo uzamani zingatia ubora wa nyimbo.

Kwasababu ni wazamani huwa mnajitetea kupitia hilo [emoji12]
 
Back
Top Bottom