TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Karibuni wanajamvi tupeane updates
Kulingana na IGA hawa waarabu WA DP si walipaswa kuanza Oktoba?😁😁😁
Kulingana na IGA hawa waarabu WA DP si walipaswa kuanza Oktoba?😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Novemba mwanzoni mambo yanaanza hapo bandarini. Vuta subira mkuu.Karibuni wanajamvi tupeane updates
Kulingana na IGA hawa waarabu WA DP si walipaswa kuanza Oktoba?😁😁😁
masuala yote ya kisheria yameshakamilika kwa pande zote mbili kukubaliana kuanza utekelezaji wa mikataba yote ya kisekta kuanzia mwishoni mwa Dec. 2023.Karibuni wanajamvi tupeane updates
Kulingana na IGA hawa waarabu WA DP si walipaswa kuanza Oktoba?😁😁😁
Wale wabunge waliohongwa watuambieKaribuni wanajamvi tupeane updates
Kulingana na IGA hawa waarabu WA DP si walipaswa kuanza Oktoba?😁😁😁
Chezea TEC wewe? Hawa jamaa kwa mambo yenye maslahi ya moja kwa moja nao hawana mchezo, ila sijui katiba, demokrasia na haki za binaadamu hutakaa usikie WARAKA, watalalamika kishkaji tuu!masuala yote ya kisheria yameshakamilika kwa pande zote mbili kukubaliana kuanza utekelezaji wa mikataba yote ya kisekta kuanzia mwishoni mwa Dec. 2023.
Ni hayo tu.
Ngoja kwanza miezi 6 ya umeme iishe tutarudi kwenye swala la kata washaKaribuni wanajamvi tupeane updates
Kulingana na IGA hawa waarabu WA DP si walipaswa kuanza Oktoba?[emoji16][emoji16][emoji16]
Yale masharti ya IGA yanambeba sana.Karibuni wanajamvi tupeane updates
Kulingana na IGA hawa waarabu WA DP si walipaswa kuanza Oktoba?😁😁😁
Dec tena🤪masuala yote ya kisheria yameshakamilika kwa pande zote mbili kukubaliana kuanza utekelezaji wa mikataba yote ya kisekta kuanzia mwishoni mwa Dec. 2023.
Ni hayo tu.
November tena😁😁😁Novemba mwanzoni mambo yanaanza hapo bandarini. Vuta subira mkuu.
Hatokuja...Ikumbukwe Lissu anafatili habali hizo tutegemee habali zauhakika kwenye operation za +225 zifuatazo.
[emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]Novemba mwanzoni mambo yanaanza hapo bandarini. Vuta subira mkuu.
[emoji2956][emoji2956]masuala yote ya kisheria yameshakamilika kwa pande zote mbili kukubaliana kuanza utekelezaji wa mikataba yote ya kisekta kuanzia mwishoni mwa Dec. 2023.
Ni hayo tu.
WameufyataKaribuni wanajamvi tupeane updates
Kulingana na IGA hawa waarabu WA DP si walipaswa kuanza Oktoba?[emoji16][emoji16][emoji16]