Ni Oktoba sasa anaeijua kinachoendelea kuhusu DP world atujuze

Ni Oktoba sasa anaeijua kinachoendelea kuhusu DP world atujuze

Hii sitawaambia tenah kama huna chombo cha silaha ya moto usizungumzie hii ishu utalegea vibaya sana usjvunie mwanasheria mana watu Wana print hela
Karibuni wanajamvi tupeane updates

Kulingana na IGA hawa waarabu WA DP si walipaswa kuanza Oktoba?😁😁😁
 
Bandari lazima ishughulikuwe, itolewe kwenye mikono ya mafisadi matapeli na kukabidhiwa operator wa hadhi ya kimataifa ambae ataweka mfumo wa ufanisi na kuongeza pato la taifa kutoka shughuli za bandari.
Maana hakuna namna tena.
 
Siku nyiiiingii mwarabu anapiga kazi na bandari inaenda kuneemeka ndani ya mda mfupi tu

Makaratasi sijui waraka nendeni mkachambie nayo
Kanyaga twende Mama
 
Hii sitawaambia tenah kama huna chombo cha silaha ya moto usizungumzie hii ishu utalegea vibaya sana usjvunie mwanasheria mana watu Wana print hela
Sasa mtu usipoitetea nchi ya urithi wa wanao utatea kitu gani tena. Bora uwe andazi uliwe kwa chai tu.
 
Back
Top Bottom