Serengeti lite hata watoto wanaweza kunywa..haina uchungu wowote.Desperados - niliipenda ila hapana kwa sasa, ilibaki padogo nitapikie BENNETON GEMS Sea cliff i halafu pombe yenyewe sikuinywa hapo imagine mtu unaingia unafikia kutapika Uzuri tu ukimaliza ukuta wa gems uko toilet nilitapika jamani hee sitasahau macho yakawa yana maji maji kama nalia afu watu wananiambia Ooh so sorry [emoji23][emoji23] aibu kama nini...
SERENGETI LITE - Chungu ,mbaya sauti ilibadilika nikawa naongea kama mwanaume
jamani mbayaaa [emoji22]... mimi wine beer hapanaSerengeti lite hata watoto wanaweza kunywa..haina uchungu wowote.
Sema wewe tu sista duu..
amnaaa basi tu mimi beer nazionaje sijui chungu mbayaaa... Heri ninywe wiskey au shot ya vodka kuliko beerHaaahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Inaonesha we ni sista duu
Duuh mi hivo vinanishinda... [emoji485] tu tena sweetamnaaa basi tu mimi beer nazionaje sijui chungu mbayaaa... Heri ninywe wiskey au shot ya vodka kuliko beer
White wine [emoji171]Duuh mi hivo vinanishinda... [emoji485] tu tena sweet
Ni story gani ambazo ushawahi kuziskia [emoji1]Sijawahi kuinywa ila stori zake zinafanya nisiisahau mpaka leo. bia bingwa
Sio kwamba ukinywa maji u apunguza makali?Nilikunywa mzinga wa vant nikashushia maji lita kilichotokea siwezi sahau
Mixer ya maji na k-vant weka mbali na watoto
Pole sana Kvant sio ya kichanganya na pombe nyengine [emoji23]Kuna kipindi nilikuwa napenda kunywa amarula occasionally na hasa nikipata ofa[emoji2957]
Nakumbuka best angu alikuwa na birthday hivyo nikajikoki nikanunua ile kubwa. Tumekula vizuri tukaanza kunywa...mara best akaniambia hii kitu haijachangamka tuchanganye na k vant...yeye ni mtu wa pombe tofauti na mimi...bwana bwana si nikakubali nikawa naweka kidogo kidogo.
Chupa ilivyokaribia kuisha nikashangaa ulimi unakuwa mzito mdomoni[emoji2]Story haziendi tena ikabidi tuite tax. Hatukufika mbali kichefuchefu hiki hapa, mikono mizito sikuweza hata kufungua kioo nikatapikia ndani kwenye miguu...yani nililegea hatari. Dereva akamind akataka tumlipe na ya kuosha gari[emoji2]
Kufika home naona nyota tu nikaingia chooni kwa kutambaa....nilifanikiwa kuvua suruali tu[emoji85]
Tangu siku hiyo mapenzi na amarula yakaisha...nimekuja kuionja mwaka jana baada ya kama miaka 4 hivi ila niliinywa kwa tabu sana so nimeachana nayo.
Jaribu kuchanganya na wineK-vant aisee hapana.
Nilifika home hata sijui nimefikaje hapo katikati sikumbuki chochote, zaidi nilichokumbuka kuwa jana yake nilikosea nyumba. Nikataka kuingia kwa mwingine nasikia mtu ndani anauliza nani? Nikajua hapa nimechanganya madesa.[emoji23][emoji23]
Ndio ilikuwa mwanzo na mwisho kuchanganya k vant na bia.
Huku mbeya bado zipoIlikuwa na vizibo vya kijani hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] baba alikuwa analeta kunywea nyumbani!!
Ah kaka mshana [emoji23][emoji23]Banana wine mixer nyagi...nilitoa tunguri zote mkobani barb nikaanza kupiga manyanga nikidhani niko kilingeni
Ina hangover sana?Nilichogundua ni kwamba watu wengi hawajui matumizi sahihi ya spirit,hawatofautishi na beer.mnajimiminia tu
NB:bia bingwa weka mbali na watoto, yaani hata ukisema nitoe lock tu yenyewe inakuharibia siku nzima
Njoo tunywe serengeti [emoji39][emoji39][emoji39]Desperados - niliipenda ila hapana kwa sasa, ilibaki padogo nitapikie BENNETON GEMS Sea cliff i halafu pombe yenyewe sikuinywa hapo imagine mtu unaingia unafikia kutapika Uzuri tu ukimaliza ukuta wa gems uko toilet nilitapika jamani hee sitasahau macho yakawa yana maji maji kama nalia afu watu wananiambia Ooh so sorry [emoji23][emoji23] aibu kama nini...
SERENGETI LITE - Chungu ,mbaya sauti ilibadilika nikawa naongea kama mwanaume
Bwana wee [emoji2]Pole sana Kvant sio ya kichanganya na pombe nyengine [emoji23]
Stori ya bingwa ni kama Balimi ilivyoingia tuSijawahi kuinywa ila stori zake zinafanya nisiisahau mpaka leo. bia bingwa
Halafu si wanasema amarula inapandisha genye kifala nyie ilikuajeKuna kipindi nilikuwa napenda kunywa amarula occasionally na hasa nikipata ofa[emoji2957]
Nakumbuka best angu alikuwa na birthday hivyo nikajikoki nikanunua ile kubwa. Tumekula vizuri tukaanza kunywa...mara best akaniambia hii kitu haijachangamka tuchanganye na k vant...yeye ni mtu wa pombe tofauti na mimi...bwana bwana si nikakubali nikawa naweka kidogo kidogo.
Chupa ilivyokaribia kuisha nikashangaa ulimi unakuwa mzito mdomoni[emoji2]Story haziendi tena ikabidi tuite tax. Hatukufika mbali kichefuchefu hiki hapa, mikono mizito sikuweza hata kufungua kioo nikatapikia ndani kwenye miguu...yani nililegea hatari. Dereva akamind akataka tumlipe na ya kuosha gari[emoji2]
Kufika home naona nyota tu nikaingia chooni kwa kutambaa....nilifanikiwa kuvua suruali tu[emoji85]
Tangu siku hiyo mapenzi na amarula yakaisha...nimekuja kuionja mwaka jana baada ya kama miaka 4 hivi ila niliinywa kwa tabu sana so nimeachana nayo.
Jaribu kuchanganya na wine
Sizitaki hataaaNjoo tunywe serengeti [emoji39][emoji39][emoji39]
Inategemea na ntu na ntu.... wengine hata kvant na konyagi zinawasumbua[emoji2][emoji2]Halafu si wanasema amarula inapandisha genye kifala nyie ilikuaje