Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Aise sitamsasahau Smirnoff black ice alichonifanya japo ni tamu kama sprite hadi ilifika kipindi nikiiona mwili unasisimka, japo viroba vya Zed viliwahi nilaza bafuni siku moja kabla ya kuingia pepa ya la saba.
Std 7 ulikua ushaanza kupiga masanga mkuu? Nomaa😀
 
Sitaisahau tyson kiroba kimoja tu ila kilivyonipeleka nilihisi kama nakata moto kitanda kilikuwa kinazunguka balaa.
 
Aise sitamsasahau Smirnoff black ice alichonifanya japo ni tamu kama sprite hadi ilifika kipindi nikiiona mwili unasisimka, japo viroba vya Zed viliwahi nilaza bafuni siku moja kabla ya kuingia pepa ya la saba.
Std 7 ulikua ushaanza kupiga masanga mkuu? Nomaa😀
 
Basi itakua umeanza karibuni kutumia! Wazoefu lazima kuwe na visa vya hapa na Pale[emoji3] mara mtu kalala nje na funguo za mlango kashika mkononi dah[emoji3][emoji3]
...


Uje basi nikufundishe kunywa, na wew ili tupate kisa/visa.
 
Ulikosea sana kuchanganya kvant na amarula... hizi ni pombe za aina mbili tofauti sana
 
Nilikunywa konyagi kubwa na kadogo nusu alafu dry nilizima aisee,simu nikaacha kwenye taxi niliumwa siku mbili sili sinywi from that day sijawahi na sitawahi kunywa konyagi hata ndugu zake siwataki[emoji1787]
Nguvu ya kumaliza hyo ya kwanza uliitoa wap mpaka ukaongeza?
 
Namba 1 hii chombo redhorse wananchi wa HongKong au Guangzhou wanajua matatizo yake kama sio mnywaji.Hii kitu weka mbali na watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…