Ni Rahisi sana kuhimili mashambulizi ya Shetani kuliko kutandikwa na Mungu

Ni Rahisi sana kuhimili mashambulizi ya Shetani kuliko kutandikwa na Mungu

Shetani ni mpumbavu, na baba wa huo.

Sasa huoni Aibu kumuheshimu mpumbavu?
NIMEKUANDIKIA MAELEKEZO NIKAKWAMBIA BAADA YA KUTIMIZA NITAFUTE
JE UMESHAMALIZANA NA LUGALO???
 
Ukiuza roho yako kwa kaka sheta vp huyo mungu anaweza kuirudisha?
Nenda u tube,

Sikiza video za ushuhuda wa Mchungaji Amiel Katekela,

Mungu akiamua kukutoa ktk AGANO la shetani anakutoa,

Ila Mungu akikuhukumu, akikuadhibu, hayupo wa kukusaidia, ni kujirudi tu utubu.
 
Nenda u tube,

Sikiza video za ushuhuda wa Mchungaji Amiel Katekela,

Mungu aliamua kukutia ktk AGANO la shetani anakutoa,

Ila Mungu akikuhukumu, akikuadhibu, hayupo wa kukusaidia, ni kujirudi tu utubu.
WHAT IS YOUTUBE??? WHO IS AMIEL??? HUYU AMIEL ANA NINI??? JE AMESHAWAHI KUTUNDIKWA HATA MSALABANI???
 
WHAT IS YOUTUBE??? WHO IS AMIEL??? HUYU AMIEL ANA NINI??? JE AMESHAWAHI KUTUNDIKWA HATA MSALABANI???
Shetani aliharibu kuzuia injili isihubiriwe enzi zile,

Lakini Hadi sasa injili unazidi kuenea.

Shetani ni looser kama WEWE mwanafunzi wake.
 
Shetani aliharibu kuzuia injili isihubiriwe enzi zile,

Lakini Hadi sasa injili unazidi kuenea.

Shetani ni looser kama WEWE mwanafunzi wake.
WEWE UNADAI UNAMJUA SANA YESU KWA MANENO MATUPU, NENDA KWANZA KATUNDIKWE MSALABANI URUDI HAPA NDIPO NITAONA UKAKAMAVU WAKO WA IMANI
 
UNADHANI IMANI RAHISI KAMA KUTAMKA MANENO SIO
JE UPO TAYARI KUWAWA KWA MAWE UKIWA KAMA SHAHIDI WA YESU???
 
WEWE UNADAI UNAMJUA SANA YESU KWA MANENO MATUPU, NENDA KWANZA KATUNDIKWE MSALABANI URUDI HAPA NDIPO NITAONA UKAKAMAVU WAKO WA IMANI
Mimi nilitundikwa naye msalabani nilipomwamini, na aliposema umekwisha,

Alinikabidhi mamlaka yote, hivi sasa huyo shetani Hana nguvu juu yangu.

Mimi ni mshindi katika KRISTO Yesu.
 
Fiction story ,hadithi za kufikirika zisizo na uhalisia kichwa Wala miguu
 
NDUGU YANGU, NDUGU YANGU, NDUGU YANGU, MARA TATU NAKUITA, SIPO HAPA KUBISHANA,

JINA SHETANI JEPESI SANA KUTAMKA MKADHANI NI MWEPESI KAMA MNAVYOTAMKA JINA SIO,
CHEZA NA VITU VYOTE HAPA DUNIANI KAMWE USITHUBUTU KUCHEZA NA NENO SHETANI ITAGUGHARIMU HATA UHAI WAKO
Shetani ana nguvu endapo kama mtu haujaokoka, ukiwa ndani ya Yesu shetani ni kiumbe dhaifu.
 
Mimi nilitundikwa naye msalabani nilipomwamini, na aliposema umekwisha,

Alinikabidhi mamlaka yote, hivi sasa huyo shetani Hana nguvu juu yangu.

Mimi ni mshindi katika KRISTO Yesu.
JE UPO TAYARI KUUWAWA KWA MAWE UKITETEA IMANI YAKO?
 
UNADHANI IMANI RAHISI KAMA KUTAMKA MANENO SIO
JE UPO TAYARI KUWAWA KWA MAWE UKIWA KAMA SHAHIDI WA YESU???
Mimi ni Askari,

Na ndio KAZI niliyoutiwa, kuihubiri injili Kwa gharama yoyote,

Sina HOFU katika Hilo.

Umesikia?
 
TUANZIE LUGALO KESHO UKATUKANE JESHI UKIWAWEZA NITAKUPELEKA NO 2
Kwahiyo lugalo wameajiriwa na shetani?

Njoo wewe na babako shetani vitani ndipo mtajua.
 
Nife mara ngapi mara mbili?

Nilishakufa nikafufuka, ninaishi milele.
KWA USHAURI WANGU WA MWISHO KACHEZE NA BINADAMU MWENZAKO MNAOFANANA ILA KAMWE USICHEZE NA MIAMBA UTACHANIKA NDUGU YANGU
 
Nenda u tube,

Sikiza video za ushuhuda wa Mchungaji Amiel Katekela,

Mungu aliamua kukutia ktk AGANO la shetani anakutoa,

Ila Mungu akikuhukumu, akikuadhibu, hayupo wa kukusaidia, ni kujirudi tu utubu.
Agano maanake nini?
 
Laana is just a Conspiracy...

Ni kwamba unaendana na misingi ya maisha na Dunia au uamue kukengeuka..

Hao watu wanaodaiwa kulaaniwa na wazazi utakuta tayari walishatoka nje ya misingi ya maisha na kuharibikiwa.
 
KWA USHAURI WANGU WA MWISHO KACHEZE NA BINADAMU MWENZAKO MNAOFANANA ILA KAMWE USICHEZE NA MIAMBA UTACHANIKA NDUGU YANGU
(Ephesians 6:12)

Maana kushindana kwetu Sisi Si katika Damu na nyama, Bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa Giza hili, juu ya Majeshi ya Pepo wabaya katika Ulimwengu wa Roho.

.....Mwisho wa kunukuu....

Sasa unataka niende kutukana wanajeshi lugalo ambao ni watumishi wa Mungu kulinda Amani ya nchi Ili iweje?

Umeshindwa vita katika spiritual realm, Inakuja mwilini?

Bado hutaweza.
 
Back
Top Bottom