- Thread starter
- #41
Sasa misingi ya MAISHA inawekwa na nani kama Si Mungu Kisha wazazi?Laana is just a Conspiracy...
Ni kwamba unaendana na misingi ya maisha na Dunia au uamue kukengeuka..
Hao watu wanaodaiwa kulaaniwa na wazazi utakuta tayari walishatoka nje ya misingi ya maisha na kuharibikiwa.