Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Propaganda ya ukabila ime expire haifai tena tafuteni zingine. Watanzania wanawa zoom tu na kuwalia timing.Wamepanic kivipi wakati they think about how to harvest 48.5% CDM members ambao hawajampigia Mbowe
We unafikiri wachaga watamuachia Lissu kilaini laini
Huu ukibaraka mbona ham dhibitishi? Mmeshindwa au hamjui? Ukibaraka wake ukoje and how? Kibaraka gani hana helaYaani Mimi naumia kuliko Mwamba wenu Mbowe? 😂😂
Ni hivi , Kibaraka Lisu mumemtoa Jupiter hakuwepo 🇹🇿? 😁😁
Ungejua nguvu ya CCM ipo kwenye vyombo vya dola hasa TISS usingeongea haya.Kuna muda tunafurahishana tu, ila hamna siasa za upinzani kumpiku ccm, never on earth. Tusubiri 2025. Huku hakuna wajita , wakurya au wachaga, huku ccm kuna watanzania wote. Leteni mzaha mzaha wenu tu.
Propaganda za ukabila haziko relevant anymore. Wachaga wako busy na kazi zao,, na wengine walimuunga mkono lissu including kiongoz wa chadema moshiWamepanic kivipi wakati they think about how to harvest 48.5% CDM members ambao hawajampigia Mbowe
We unafikiri wachaga watamuachia Lissu kilaini laini
AmeinSasa naamini kabisa kuwa CCM hawakujipanga na ujio wa Lissu. Suala la Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA limewashtua na limewaumiza hakika!
Kuanza kurudi kwa ma propagandists wa siku nyingi humu jamvini kama makada Ritz Laki Si Pesa ni ushahidi tosha kuwa Chama cha Mapinduzi kina hali mbaya sasa. Hii inaonesha tu, hadi mitandaoni wameona watu wao kina Lucas Mwashamba ChoiceVariable @Tlaatha na wengineo wameshindwa kazi.
Napenda kuwaambia Chama Cha Mapinduzi. Haya yanayotokea ni lazima yatokee kwa sababu wakati haupo upande wao.
Natembea mitaani, nazungumza na watu, kusema kweli uchaguzi wa CHADEMA umebadilisha sana fikra za watanzania na sasa wameanza kukiona CHADEMA kama chama kilichofuzu na kinachostahili kukamata dola.
Ni vizuri sasa wajiandae pia kuwa Chama Pinzani au kama wakilazimisha wajiandae siku kuwa na Serikali ya Mseto( Na hili ni endapo TISS wakiamua kuwabeba maana saivi TISS wameanza kupata akili na hawataki tena upuuzi wa wanasiasa wanataka mifumo imara ya kuendesha nchi)
Poleni sana CCM. Lissu ni mpakwa mafuta wa Mungu. Lissu ni zawadi kwa Tanzania. Jueni tu Tanzania itaendelea kuwepo na itastawi zaidi bila nyie.
Pambaneni, TISS, waingie basi chadema, maana kama wao ndio kila kitu, na bado wapo ccm, sasa kwann mnapambana kudanganua watu mitandaoni, still bado mnachekesha tu. Na kama Watanzania sio wanaoipa ccm nguvu, basi, hao TISS wako hatuwaachi, na watanzania hatuwaachi.Ungejua nguvu ya CCM ipo kwenye vyombo vya dola hasa TISS usingeongea haya.
Na huko TISS wakipata akili tu hata mchana hamfiki
Mtu ambae familia yake Iko Nje ya Nchi na ambae Huwa anakimbilia Kwa hao akizingua wewe unadhani ni nani?Huu ukibaraka mbona ham dhibitishi? Mmeshindwa au hamjui? Ukibaraka wake ukoje and how? Kibaraka gani hana hela
Huyo propagandist, aje taratibu maana kuna spana size 230 ipo na hatuwezi itumia kwake , uyu atachezea spana size 12 mpaka size 16 zinamtosha sana .Sasa naamini kabisa kuwa CCM hawakujipanga na ujio wa Lissu. Suala la Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA limewashtua na limewaumiza hakika!
Kuanza kurudi kwa ma propagandists wa siku nyingi humu jamvini kama makada Ritz Laki Si Pesa ni ushahidi tosha kuwa Chama cha Mapinduzi kina hali mbaya sasa. Hii inaonesha tu, hadi mitandaoni wameona watu wao kina Lucas Mwashamba ChoiceVariable @Tlaatha na wengineo wameshindwa kazi.
Napenda kuwaambia Chama Cha Mapinduzi. Haya yanayotokea ni lazima yatokee kwa sababu wakati haupo upande wao.
Natembea mitaani, nazungumza na watu, kusema kweli uchaguzi wa CHADEMA umebadilisha sana fikra za watanzania na sasa wameanza kukiona CHADEMA kama chama kilichofuzu na kinachostahili kukamata dola.
Ni vizuri sasa wajiandae pia kuwa Chama Pinzani au kama wakilazimisha wajiandae siku kuwa na Serikali ya Mseto( Na hili ni endapo TISS wakiamua kuwabeba maana saivi TISS wameanza kupata akili na hawataki tena upuuzi wa wanasiasa wanataka mifumo imara ya kuendesha nchi)
Poleni sana CCM. Lissu ni mpakwa mafuta wa Mungu. Lissu ni zawadi kwa Tanzania. Jueni tu Tanzania itaendelea kuwepo na itastawi zaidi bila nyie.
Mkuu zamani ulikua mwanamuziki?Naona unajitekenya na kujichekesha mwenyewe kama mjinga vile.
Kamdomo, kamdomo,kamdomo, bado tu,Mtu ambae familia yake Iko Nje ya Nchi na ambae Huwa anakimbilia Kwa hao akizingua wewe unadhani ni nani?
ni watanzania wangapi wana familia nje ya nchi? Ndugu nje ya nchi? Nao ni vibarakaMtu ambae familia yake Iko Nje ya Nchi na ambae Huwa anakimbilia Kwa hao akizingua wewe unadhani ni nani?
Huyo ni zaidi ya kibarakani watanzania wangapi wana familia nje ya nchi? Ndugu nje ya nchi? Nao ni vibaraka
Viongozi wangapi wa ccm wana watoto na wajukuu wako huko? Ni vibaraka?
For the record baada ya matatizo kumkuta, aliona aondoe familia yake kwa usalama, na hali ya kiafya bado haija tengamaa, bado anaenda mara kwa mara kucheki majeraha
Swali je alipenda yamkute? Alitaka kupeleka familia huko kabla ya matatizo?
Ndio hivyo kibaraka hamtoshi mtu kama mnavyojijaza upepoKamdomo, kamdomo,kamdomo, bado tu,
Prove sasa, usiishie kusema kibaraka halafu unashindwa ku proveHuyo ni zaidi ya kibaraka
Kamdomo, kamdomoNdio hivyo kibaraka hamtoshi mtu kama mnavyojijaza upepo
Huna hojaKamdomo, kamdomo
Tofauti na hiyo proof Kuna kipi tena unataka?Prove sasa, usiishie kusema kibaraka halafu unashindwa ku prove