Ni sababu zipi za msingi zilizosababisha Wakuu wa Wilaya wengi kiasi hiki kuhamishwa vituo vyao vya kazi?

Mtumish kuhamishw kituo cha kaz ni jambo la kawaid ambalo husaidia ufanis wa kaz kwa mtumishi


Au wew ni yule mwanakondoo wa mchungaji kmaro
Nadhani hili ndio jibu sahihi. Zingine porojo tu
 
Kama hujui skuhizi kunamtindo wa kupiga hela ndefu kupitia hamisha hamisha ya watumishi...
Mkuu wa wilaya umhamishe lazma umpige milioni kadhaa kutegemeana na umbali hapo bado ma-Ded, ma-afsa utumishi nk.
Hii nimoja ya njia tulivu yakupiga mafungu ya serikali!! Kapigie ka-'mwejero' kaulize kamekula ngapi na bosi zake ngapi? ndoutajua hujui...
 
Kwani gharama za uhamisho ni kiasi gani na gharama ya kumuweka Mkuu wa Wilaya mpya na kumuweka pembeni wa zamani ni kiasi gani. Pia kwa waliohamishwa, Je. Uwepo wao mahali pale ulikuwa unafaidisha Wilaya fedha kiasi gani au ulikuwa uitia Wilaya kiasi gani? Tarakimu za hela ya gharama hizi zituongoze kwenye kujadili maamuzi yaliyofanywa na serikali. Nawaza!!
 
Mtumish kuhamishw kituo cha kaz ni jambo la kawaid ambalo husaidia ufanis wa kaz kwa mtumishi


Au wew ni yule mwanakondoo wa mchungaji kmaro
Itakuwa ni kijana wa kinana.
 
Haya maswali ameulizwa mwenye mamlaka ya utezi wa wakuu wa wilaya ila maoni yangu "kuna wakuu wa wilaya wameondolewa na hawa lazima nafasi zao zijazwe. Wakati wa kuzijaza ni ama uteue wapya au uhamishe wengine kujaza nafazi zilizowazi kwa kuhamisha wengine wanaofaa kulingana na maoni ya anayeteua. Mfano ni yule DC wa Arusha aliyefanya vizuri maeneo yote aliyopelekwa na sasa kahamishiwa Tabora akaweke mambo sawa. Haya ni maoni yangu na yale maswala uliyouliza Kwa mamlaka ya uteuzi NATARAJIA mamlaka hiyo ITAKUJA KUYAJIBU."
 
Lkn kuwapiga chini na kuwa na wastaafu wengi kiasi hicho wanaolipwa hela nyingi ingegharimu hela nyingi zaidi
Basi wangeachwa mahali walipo ili kuepuka gharama za kuwahamisha !!
 
Tusubiri tuone no kufoka foka kama italeta matunda mazuri !! Tunasubiri !
 
Balaa zito mzee wa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…