Ni sababu zipi zinawafanya Lissu na Lema kuendelea kuishi ng'ambo?

Ni sababu zipi zinawafanya Lissu na Lema kuendelea kuishi ng'ambo?

Ni sababu zipi zinawafanya Lissu na Lema kuendelea kuishi ng'ambo?

Itakumbukwa baada ya uchaguzi mkuu 2020 Lissu na Lema walikimbia nchi na kujitwisha majina ya wakimbizi wa kisiasa hapa nchini na wakapewa hifadhi nchi za mbali huko Belgium and Canada.

Wakati ule they had genuine reasons na kila mtu aliwaunga mkono kwa maamuzi waliyoyachukua.

No doubt walikuwa wanamkimbia rais wa awamu ya tano ambaye alionekana mwiba kwa wapinzani na wakosoaji wake, sasa tuko na rais wa awamu ya sita kila kitu ni shwari, kwanini watu hao wasirejee nchini?

Je wanakimbia u-jobless hapa nchini baada ya vibarua vyao vya kuwakilisha wananchi kukoma?
Hata kukimbia na kujipa hadhi ya ukimbizi hapakuwa na sababu bali ni kujipendekeza tu kwa Mabeberu
 
Upembuzi wa kina inabidi ufanyike ili kujua adui wa kweli wa hao watu ulio wataja alikuwa ni nani, maana unaemtaja ukiacha madaraka yake yale mengine alikuwa mwenyekiti wa chama chake.
Mapokeo ya mateso na ukatili yaliranda hadi kuvifikia viambaza vya jumba letu la haki na taratibu za familia yetu, na huko ndiko tulikoshuhudia vituko Lisu akiwa mjumbe wetu katika jumba hilo na ameumia akiwa kazini, mh hadi leo huwa siamini macho na masikio yangu kuhusu alicho kifanya mzee wa baraza,alikataa kulipa matibabu,akamfukuza kazi na kumpa mateso mengi ya kisaikolojia.
Haya akasema adamke akalalamike kunako PILATO wetu kuhusu maamzi ya mzee wa baraza kubagaza haki zake, unayakumbuka majibu ya pilato? Na walinzi wetu nao je, wewe hujasikia kuwa upelelezi umekwama kumsubiri dereva wa mlalamikaji! maajabu,hukusikia wenzetu mabeberu walijitolea wamtafute huyo adui wa Lisu, ulisikia majibu yao? hahahaha kuwa eti wanao ueledi wa kinguli kumaliza tatizo hili, ulisha wahi kusikia wamemjua mhusika?
HAKI,HAKI,HAKI bado ingali tumboni mwa mama yake!
kwa kifupi adui wa LISU hajulikani hadi leo kwa hali hiyo HATARI juu ya maisha yake bado ipo.
Kulazimisha ukandamizaji wa haki na ukatili wa wazi, ETI vipendwe na kukubalika kama MBINU ya kuleta maendeleo ni ushetani kwa viwango vyovyote vile. Hivi sasa wapo miongoni mwetu wanaoendelea kuyashabikia maujinga hayo, hata baada ya Mungu mwema kutuondolea aliekuwa wakala mkuu.
Wakati sasa umefika kutambua kuwa bila taifa letu kuchukua hatua za wazi za kujitakasa kwa kuliweka wazi tatizo hili na kuwasaka na kuwachukulia hatua mawakala wadogo zake, takataka hizo zitalifanya taifa hili kufubaa.
JAPO awamu ya sita yaonekana kuwa imeanza vizuri na pia inayo dhamira ya kuelekea huko japo kasi ya kuuondoa huo ushetani uliokuwa unajichimbia, yahitaji kuongeza mwendo katika kujenga mifumo imara ZAIDI ya uongozi na utawalaBORA . Hao mawakala wadogo ambao nguzo yao kuu ni kupotosha umma, hawategemewi kukubali kushindwa kirahisi.
AMEN
 
Kujitwisha? Unasemaje Lsu kupigwa risasi? Mjomba wa Magufuli kusema akija safari hii tunatumia sindano kumuua? Wana genuine reason kuhofia maisha yao. No politics is worthy their life
ALiyetuma watu wampige risasi Lissu yeye sasahivi kashaoza kitambo sn
 
Ni sababu zipi zinawafanya Lissu na Lema kuendelea kuishi ng'ambo?

Itakumbukwa baada ya uchaguzi mkuu 2020 Lissu na Lema walikimbia nchi na kujitwisha majina ya wakimbizi wa kisiasa hapa nchini na wakapewa hifadhi nchi za mbali huko Belgium and Canada.

Wakati ule they had genuine reasons na kila mtu aliwaunga mkono kwa maamuzi waliyoyachukua.

No doubt walikuwa wanamkimbia rais wa awamu ya tano ambaye alionekana mwiba kwa wapinzani na wakosoaji wake, sasa tuko na rais wa awamu ya sita kila kitu ni shwari, kwanini watu hao wasirejee nchini?

Je wanakimbia u-jobless hapa nchini baada ya vibarua vyao vya kuwakilisha wananchi kukoma?
Wewe ngugu endelea na shughhuli zako. Wako waTZ chungu nzima waishio ughaibuni na hakuna sheria ianayokataza hilo. Kwani inakunyima nini Lissu na Lema wakiishi huko? Au walikuwa wanakupa posho?
 
Back
Top Bottom