#COVID19 Ni sahihi Humphrey Polepole kuonesha Msimamo wake wa kutochanjwa?

#COVID19 Ni sahihi Humphrey Polepole kuonesha Msimamo wake wa kutochanjwa?

Asanteeee. Well said comrade. Gwajima na Polepole wapo sahihi, wanatumia haki yao ya "HIARI". Na kwa wale akina Kigwangala wanaochoma chanjo pia wapo sahihi ni hiari yao,

IKIWA NI HIARI KWELI TUSILAZIMISHE MAAMUZI YA MTU MMOJA YAWE YA WOTE, NA IKIWA NI HIARI ANAYESIMAMA KUHAMASISHA CHANJO YUPO SAHIHI NA ANASIMAMA KUSEMA SHIDA YA CHANJO PIA YUPO SAHIHI. KWANN TULAZIMISHANE KUONGEA LUGHA MOJA? WHAT'S WRONG??
Mh Rais kaacha watu wachague. Sioni shida ya wanaounga mkono kuonesha hadharani misimamo yao na hata wale wanaopinga pia. Imekua dhambi kusema sitachanjwa hadharani wakati ni haki na uhuru wa mtu kuchagua atakacho.Imekua haki mtu kunadi ubora na umuhimu wa chanjo lkn kosa kubwa sana mtu kuelezea mattz ya chanjo na habari zote hasi kuhusu chanjo. Kuna tatizo sehemu.
 
Huchanji piga kimya. Kelele za nini!??
Hakuna kupiga kimya, lazima tuwaamshe nyumbu kama wewe mnaopenda kubugia michanjo hovyo hovyo bila kujua imetoka wapi!

Hii inatakiwa iwe kampeni endelevu ili wajinga wote waamke.

Zile enzi za kuwadunga watu masumu huku mnapiga dili za mpunga na mabeberu zimefika mwisho.
 
Mh Rais kaacha watu wachague. Sioni shida ya wanaounga mkono kuonesha hadharani misimamo yao na hata wale wanaopinga pia. Imekua dhambi kusema sitachanjwa hadharani wakati ni haki na uhuru wa mtu kuchagua atakacho.Imekua haki mtu kunadi ubora na umuhimu wa chanjo lkn kosa kubwa sana mtu kuelezea mattz ya chanjo na habari zote hasi kuhusu chanjo. Kuna tatizo sehemu.
Ipo shida tena si ndogo, maana wanaotaka chanjo wanaona wanahaki kuongea kuhusu hiari yao ila wasiotayari kuchanjwa wanatizamwa kama ni haramu wao kuongea maamuzi yao mbele ya watu.

Watu wamesahau WASIWASI NI AKILI PIA.

Dunia nzima chanjo bado ni mjadala. Ikiwa bado mjadala unaendelea hata kwa matabibu itakuwaje kwetu sisi??

Nadhani tuchague moja, ikiwa tunataka wasiotaka chanjo wakae kimya basi hata wanaotaka chanjo wanyamaze kimya mambo yaende kimya kimya. Kama tunataka hamasa ya chanjo turuhusu na wengine kuzungumza pia.
 
Hivi kwanini wale wote wanaosema hawachanjwi (atleast for now) wanahusishwa na hiki kinachoitwa hujuma!? Hujuma ipi tena hii? Haya ni madhara ya kufundishwa ukondoo na kufuata kila anachosema mtawala hata kama akili yako inakuambiwa hii sio sawa.

Itafika muda watu watachanjwa tu. Ni kama yellow fever. Unaweza usihitaji kuchanja ila siku unataka kuvuka kupitia pale terminal #3 ndio utaambiwa huwezi kuvuka hapa maana kule uendako huingii bila hiyo chanjo.
 
Ipo shida tena si ndogo, maana wanaotaka chanjo wanaona wanahaki kuongea kuhusu hiari yao ila wasiotayari kuchanjwa wanatizamwa kama ni haramu wao kuongea maamuzi yao mbele ya watu.

Watu wamesahau WASIWASI NI AKILI PIA.

Dunia nzima chanjo bado ni mjadala. Ikiwa bado mjadala unaendelea hata kwa matabibu itakuwaje kwetu sisi??

Nadhani tuchague moja, ikiwa tunataka wasiotaka chanjo wakae kimya basi hata wanaotaka chanjo wanyamaze kimya mambo yaende kimya kimya. Kama tunataka hamasa ya chanjo turuhusu na wengine kuzungumza pia.
Hawa madalali wa chanjo hawawezi kuelewa hii. Wanataka wakudunge machanjo bila kuulizwa swali.

Ukihoji wanakwambia nyamaza ati haujui sayansi!

Kwao sayansi ni kudunga watu machanjo bila kuhojiwa swali lolote.

Yaani unadungwa kimya kimya uende ukagande damu huko kwako utajijua mwenyewe ilimradi wao washapewa kibunda cha dola na mabeberu.
 
Hivi kwanini wale wote wanaosema hawachanjwi (atleast for now) wanahusishwa na hiki kinachoitwa hujuma!? Hujuma ipi tena hii? Haya ni madhara ya kufundishwa ukondoo na kufuata kila anachosema mtawala hata kama akili yako inakuambiwa hii sio sawa.

Itafika muda watu watachanjwa tu. Ni kama yellow fever. Unaweza usihitaji kuchanja ila siku unataka kuvuka kupitia pale terminal #3 ndio utaambiwa huwezi kuvuka hapa maana kule uendako huingii bila hiyo chanjo.
Nashindwa kuelewa hata mimi.Kundi linaloamini katika chanjo limejipa mamlaka ya kuongea chochote kuhusu chanjo. Hili ni swala la uhai, sasa mtu anaposema nachanjwa maana yake anaona ni muhimu kwa uhai wake.Yule anayesema sichanjwi pia kaona ni muhimu kwa uhai wake.Sasa kwanini iwe vita?
 
Huyu alisema Magu mzima anachapa kazi.
Huyu amesema hachanjwi.
Kuna shida gani
 
Hakuna kupiga kimya, lazima tuwaamshe nyumbu kama wewe mnaopenda kubugia michanjo hovyo hovyo bila kujua imetoka wapi!

Hii inatakiwa iwe kampeni endelevu ili wajinga wote waamke.

Zile enzi za kuwadunga watu masumu huku mnapiga dili za mpunga na mabeberu zimefika mwisho.
Mataga tu..
 
Mkuu sukuma gang woote na mataga woote hawako pamoja na Mama na wanamuonesha dharau waziwazi kabisa...

Lakini subiri...dawa yao ishaiva.

Kipindi cha dictator hakuna Taga lolote lilikuwa na uwezo wa kunyanyua pua yake..hata kwa matukio ya aibu yalokuwa yakifanywa nae..
Subiri.
Inasikitisha mnoo.. Upole, uungwana, hekma ya mtu inapo tasfiriwa kama "udhaifu"..pole pole gwajima na washirika wao. Kuna lugha wanaielewa...!! Nadhani wakati umewadia wa kuwaelewesha.. Kwa lugha hiyo..
 
Back
Top Bottom