Usikute wewe ndo MPUMBAVU, mbona wanaochanjwa hawachanjwi kimya kimya!??.. Ila wanaotoa msimamo wao wa kutochanjwa mnaona wanaaribu dili sindio!?Wafumbe midomo yao basi... Kwani tumewaomba waongee... Nonsense.
Huchanji piga kimya. Kelele za nini!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute wewe ndo MPUMBAVU, mbona wanaochanjwa hawachanjwi kimya kimya!??.. Ila wanaotoa msimamo wao wa kutochanjwa mnaona wanaaribu dili sindio!?Wafumbe midomo yao basi... Kwani tumewaomba waongee... Nonsense.
Huchanji piga kimya. Kelele za nini!??
HUJUMA YA WAZI... WOTE HAO NI MASALIA YA MWENDAZAKE
Wafumbe midomo yao basi... Kwani tumewaomba waongee... Nonsense.
Huchanji piga kimya. Kelele za nini!??
Yaani hawa Kenge ni wengi saana asiwangalie usoni aisee ,nadhani ameshawaona awashugulike na sisi tupo pamoja nae kwenye hilo kwa asilimia mia mojaRais Samia awashughulikie hao kenge haraka ni wahujumu wa wazi kwa jitihada zake,awaweke pembeni kabisa na utawala wake na wala haiwezi kuwa nongwa maana hata Magufuli alifanya hivyo kwa baadhi ya wana CCM wenzake mfano ni Membe.
CcmWe mkuu utakuwa una matatizo sana. Hivi Mama Samia ni Salia laaaaaa …. a. Mwenyewe b. Mwendazake c. Mbowe.
Unataka watu wafikiri Kama mnavyofikiri nyinyi? Wakifikiria tofauti ni hujuma? Hivyi hawa watawapa waliopo watatawala milele?HUJUMA YA WAZI... WOTE HAO NI MASALIA YA MWENDAZAKE
Labda alete kutoka Zanzibar,lakini wa huku bara,😂😂😂 wanavaa barakoa mbele yake huku wakilaani utumwa huo.Yaani hawa Kenge ni wengi saana asiwangalie usoni aisee ,nadhani ameshawaona awashugulike na sisi tupo pamoja nae kwenye hilo kwa asilimia mia moja
Kweli kabisa. Kuwa na msimamo ni jambo jema. Mimi ni CCM na Mtumishi wa Serikali lakini SITACHANJA kwani chanjo ni hiari na nimeamua kutochanja. Wanaotaka kuchanja, wakachanje!Misimamo ni kitu chema sana, kuliko kuwa bendera fata upepo, ni jambo jema kusimamia unapoamini
Bora huyo anayeongea kiliko anOfanya maigizo yakuchanjwa nonsense [emoji16][emoji3][emoji23]Wafumbe midomo yao basi... Kwani tumewaomba waongee... Nonsense.
Huchanji piga kimya. Kelele za nini!??
👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍Hakuna kupiga kimya, lazima tuwaamshe nyumbu kama wewe mnaopenda kubugia michanjo hovyo hovyo bila kujua imetoka wapi!
Hii inatakiwa iwe kampeni endelevu ili wajinga wote waamke.
Zile enzi za kuwadunga watu masumu huku mnapiga dili za mpunga na mabeberu zimefika mwisho.
Unachanja piga kimya kwani wasiotaka chanjo wamewaomba muongee?Wafumbe midomo yao basi... Kwani tumewaomba waongee... Nonsense.
Huchanji piga kimya. Kelele za nini!??
Yan Mbona maajabu,chanjo hajalazimishwa mtu , Sasa wanaowashwa kuwasemea wengine sijui Wana mapungufu ya akili, chanjo ziwepo anaetaka kuchanjwa achanje , asieta basiViongozi wetu wasipoangalia ishu ya chanjo italigawa taifa.
KabisaKweli kabisa. Kuwa na msimamo ni jambo jema. Mimi ni CCM na Mtumishi wa Serikali lakini SITACHANJA kwani chanjo ni hiari na nimeamua kutochanja. Wanaotaka kuchanja, wakachanje!
Tuwe fair... Kama hawa wanapaswa kupiga kimya na wanaohamasisha nao wapige kimya🤣Wafumbe midomo yao basi... Kwani tumewaomba waongee... Nonsense.
Huchanji piga kimya. Kelele za nini!??
Hata mama 2020 hakuwahi kuvaa barakoa. Kwa niniMkuu sukuma gang woote na mataga woote hawako pamoja na Mama na wanamuonesha dharau waziwazi kabisa...
Lakini subiri...dawa yao ishaiva.
Kipindi cha dictator hakuna Taga lolote lilikuwa na uwezo wa kunyanyua pua yake..hata kwa matukio ya aibu yalokuwa yakifanywa nae..
Subiri.
Viongozi wetu wasipoangalia ishu ya chanjo italigawa taifa.
Misimamo ni kitu chema sana, kuliko kuwa bendera fata upepo, ni jambo jema kusimamia unapoamini
Watu wanafoji passport,anajua mbinu za wizi wa kura atashindwa cheti cha kuchanjwaKwahiyo asipopata safari ya nje msimamo wake utakua sahihi na hauna madhara kwake?