Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moyo unauma sana mtoto amenizoea sana kama baba yakeNgoja waje wa kitanda hakizai haramu kukushauri ubaki katika ndoa na mke mchepukaji, ingawa kiuhalisia ndoa imeshajifia hiyo.
Hofu yangu n kama baba wa mtoto baadae akidai mtoto wakeNi sahihi kama umekubali alikusingizia...
kama mlishayamaliza hakuna tatizo lolote mkuu
Hata asipodai hautoweza badili uhalisia mkuu wewe Fanya tu kukubaliana na ukweli na kama unampenda hiyo mwanamke Lea tuHofu yangu n kama baba wa mtoto baadae akidai mtoto wake
KUBALI MATOKEO, OKOA MAISHA YA HUYO KIJANAMoyo unauma sana mtoto amenizoea sana kama baba yake
Nawaza nashindwa kujua nifanyeje na mama yake n aina ya wanawake ambao bila msaada wa kusimamiwa kila kitu kunakwama
Ukiendelea kuishi na mke wako ukubali kuwa wewe ni mume mwenza.Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mm baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Subiri siku huyo mkeo akuporomoshee tusi mbele za watu kuwa hata huyo mtoto si wako'!Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mm baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
DNA kakaUmempima DNA au ume conclude kwa kuwa hufanani nae??