Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Mtoto sio yatima huyo ...Ana baba ake hy Kaka piga kiatu kalale mbele.Nawaza hivyo ila nikifkr maisha ya mtoto yatakuaje nachanganyikiwa kabisa
Wife n mama wa nyumbani tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto sio yatima huyo ...Ana baba ake hy Kaka piga kiatu kalale mbele.Nawaza hivyo ila nikifkr maisha ya mtoto yatakuaje nachanganyikiwa kabisa
Wife n mama wa nyumbani tu
Duuh mboni hatariHofu yangu n kama baba wa mtoto baadae akidai mtoto wake
Umesema wife??Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mm baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Ndio mkuuUmesema wife??
Inauma sana aiseeNaona kama unaniongelea mm,inauma sana,mm sikuweza kuvumilia nilifukuza.
DNA umepima wapi na Cost zake zikoje?DNA kaka
Sio siri kuvuja,watu wengi hawapendwezi na mwanaume kusingiziwa watoto ndio maana utaona Watoti wengi huwa wanafahamu badaye kupitia majiraniKwanza mtoto hafanani na mm wala wife
Pili wife alimwmbia rafiki yake lakini siri ikavuja hadi kunifikia
Acha nicheke#mtoto sio yatima.Mtoto sio yatima huyo ...Ana baba ake hy Kaka piga kiatu kalale mbele.
Wewe uligunduaje Mkuu?,sipati pivha maumivu yakeNaona kama unaniongelea mm,inauma sana,mm sikuweza kuvumilia nilifukuza.
Unamuachaje hapo??Ndio mkuu
Na mimi hofu yangu ni kuwa huwezi kuhimili hicho kinyongo kwa mkeo au hata mtoto.Hofu yangu
Mwenye mtoto akija kudai
NAKUHURUMIA BRO!Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mm baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Kweli au unatupanga ,?Naona kama unaniongelea mm,inauma sana,mm sikuweza kuvumilia nilifukuza.
Niliyumba mpaka kiuchumi na kurudi kijiji,nakuambia hapa ukiendelea kukaa nae utakuja kupgwa tukio hutaaminiaInauma sana aisee
mkuu mm nilizalishiwa mke na naishi nae,mtoto hafanan na wazaz wote..baada ya kuhisi nikadukua masiliano nilichukutana nacho acha tu.Kweli au unatupanga ,?
mkuu umefupisha story .Kwanza mtoto hafanani na mm wala wife
Pili wife alimwmbia rafiki yake lakini siri ikavuja hadi kunifikia