Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye mtoto akija kudaiSubiri siku huyo mkeo akuporomoshee tusi mbele za watu kuwa hata huyo mtoto si wako'!
Ushauri wangu: Tafuta amani ya moyo. Jitenge nao kwa muda upate nafasi ya kutafakari. Faida ya kufanya hivyo utapata namna ya kuweza kusamehe hatimaye utarudi na kuishi nao kwa upendo. Kuendelea kuhifadhi kinyongo moyoni unaweza ukaishia jela bila kutarajia
Ulitaka akubali?Kinachonipa changamoto ya kuwaza sana n kuwa wife licha ya kupata ushahidi wote hadi wa maabara bado anakataa
Ulifanya vipimo Gani mkuuKinachonipa changamoto ya kuwaza sana n kuwa wife licha ya kupata ushahidi wote hadi wa maabara bado anakataa
DuuhKwa kifupi unaishi na mke wa mtu mpaka apo
DnaUlifanya vipimo Gani mkuu
Kama ushapima na DNA ila anabisha badooo bhasi amkaaa siku upoteee jumlaa ukaanze maisha mapya huko.. Kama mmejenga bhasi hapo pagumu aisee itaa kikao cha Ukoo kwao na kwenu Utoe majibu ya DNA ndoa iishiee hapo.Kinachonipa changamoto ya kuwaza sana n kuwa wife licha ya kupata ushahidi wote hadi wa maabara bado anakataa
Mna watoto wangapi???Kwanza mtoto hafanani na mm wala wife
Pili wife alimwmbia rafiki yake lakini siri ikavuja hadi kunifikia
huyo mtoto hata akuzoee huwezi kuwa Baba yake.Unaanzaje kuishi na mwanamke mzinzi.Moyo unauma sana mtoto amenizoea sana kama baba yake
Nawaza nashindwa kujua nifanyeje na mama yake n aina ya wanawake ambao bila msaada wa kusimamiwa kila kitu kunakwama
Nawaza hivyo ila nikifkr maisha ya mtoto yatakuaje nachanganyikiwa kabisaKama hataki kuwa wazi temana naye
Kuchanganyikiwa mkuuHivi nati moja kwenye kichwa chako imelegea au, huyo mtoto hata akuzoee huwezi kuwa Baba yake.Unaanzaje kuishi na mwanamke mzinzi.
Akidai unampiga tu faini ya gharama ulizotumia kwa mtoto (Kutunza Mimba, kuzaa, na kumtunza mpaka alipofikia), na interest ku-cover kupanda gharama za maisha, na fidia ya kumtumia Mkeo mpaka akazaa, kisha unachukua huo mpunga - na kumuachia mtoto, wewe unaendelea tu na maisha na Mkeo.Hofu yangu n kama baba wa mtoto baadae akidai mtoto wake
Tatizo kubwa uliona mke wa mtu mzee, hawa wanawake huwa wanarudi kwa maboyfriend zao na huwabebea npaka mimba na huku wana ndoa zaoMoyo unauma sana mtoto amenizoea sana kama baba yake
Nawaza nashindwa kujua nifanyeje na mama yake n aina ya wanawake ambao bila msaada wa kusimamiwa kila kitu kunakwama