Masagala
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 2,278
- 3,960
Lazma ushtuke maana mtoto wa kwanza nafanana nae iweje huyu hata mama ake hamfanani,pili nilimnunua smartphone nikamuweke callrecoder faili nikalificha,baada ya week mbili nikajua mpaka jamaa anaongea na kuhusu mtoto wake na mpaka mama mkwe alishaambiwa.Wewe uligunduaje Mkuu?,sipati pivha maumivu yake