Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mtoto ananiwazisha sana
Nina hakika huyu mtoto anaingia kwenye maisha magumu sana
Baba mtoto mwenyewe ni Playerboy asiye na uelekeo wa kutunza mtoto
Kwenye Hii Dunia hautakiwi kuwa na huruma, hasa ukiwa Mwanaume.
Hasa huruma za kijingajinga.
Huyo mtoto anaweza asipitie hayo Maisha magumu unayoyasema,
Muache yeye na Baba yake