Ni sahihi kuendelea kulea mtoto wa kusingiziwa?

Ni sahihi kuendelea kulea mtoto wa kusingiziwa?

Kwani mtoto akizaliwa ni lazima afanane na bana au mama yake mzazi?

Mbona wengi tu hawafanani na wazazi wao?

Labda uwe na sababu za ziada mfano una mashaka na nyendo zake n.k.
 
Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake

Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika

Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Acha wote mkuu

Huwezi kuhukumu malaika ukamwacha shetani ndani ya nyumba
 
Alichokosea ni kuvujisha siri kwa hiyo jua kila mtu anakuonea huruma tu,uamuzi ni wako uteseke maisha yako yote ama umuache amfate mzazi mwenzie
 
Mtoto ananiwazisha sana

Nina hakika huyu mtoto anaingia kwenye maisha magumu sana

Baba mtoto mwenyewe ni Playerboy asiye na uelekeo wa kutunza mtoto
Mtoto wako huyo?si ana baba yake?
Basi kaa na mkeo mlee mtoto wako.
Mara naogopa atakuja kumdai,mara play boy ndo maana mnakufa kizembe kwa kushindwa kufanya maamuzi magumu
 
Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake

Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika

Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Umeshapima DNA au unasema tu maan haya mambo mhhhhh.
 
Nawashkru kwa ushauri nimejifunza kitu hali yangu inapata nafuu .Kuna vitu sina budi kuviacha vipite ili maisha yaendelee
 
Hofu yangu n kama baba wa mtoto baadae akidai mtoto wake
Analimaje kwenye shamba la mtu? Kama umemsamehe mkeo mtoto ni wako, na mpe onyo kabisa, kiumbe kitakachodai mtoto kwako kinatafuta vita.

Kama unaona nafsi Yako nzito, muache mkeo
 
Lazma ushtuke maana mtoto wa kwanza nafanana nae iweje huyu hata mama ake hamfanani,pili nilimnunua smartphone nikamuweke callrecoder faili nikalificha,baada ya week mbili nikajua mpaka jamaa anaongea na kuhusu mtoto wake na mpaka mama mkwe alishaambiwa.

Wamekuzunguka, sasa kama yupo siaende kwa baba mtoto. Maana hawawezi kuachana
 
Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake

Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika

Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Wakati mwingine sura za watoto zinazunguka ndani ya familia zenu. Ukute ni wako
 
Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake

Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika

Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Yaan mpaka mtoto akufanane? Sasa mbona hata mama yake hajamfanana au na yeye sio wake??

Kwenye ndoa, face your wife as a cheat if only you have valid verifications, otherwise stop frustrating yourself.

Kuna wakati uki deal sana na tabia za mkeo utaishia pabaya, if your wife cheats you, just wait, mwanamke hawezi kuku cheat all the time, kuna mahali utapata ukweli bila kutumia nguvu


Mwaka 1999 nilimwacha mke nikahamishwa kituo cha kazi, baada miez mitatu nikarudi, ile tu kufika nyumba hata kabla sijatulia, mwanamke akaniambia ni mjamzito (shida yangu ikawa ni kwa nini ananiambia hili swala as if ana mashaka). Nilifanya utafiti bila yeye kujua, nikapa ukweli kwamba that woman was sleeping mchungaji anakasali, sikupata ushahidi wa kutosha, alijifungua mtoto wa kiume anaifanana mimi ( yupo university of Dae es salam mwaka wa pili sasa).

Kwa hilo jambo sjawahi kumwonyesha mwanqmke kuwa nilipata mashaka kipi di ni mjamzito.


Kuna wakati vijana tulieni acheni papara unapoona jambo kwa mkeo hulielewi, tulia, tulia, tulia, tafakari na pata uhakika wa jambo hilo. Acha tafran ndani ya nyumba, kuna wakati mwanamke ukimuuliza jambo kwamba amefanya kumbe kwa hakika hajafanya, ukimsumbua sana, hakika atafanya maana hana la kupoteza, maana hata kama asipofanya wewe unaamini huwa anafanya, so she will do kwa kuwa tayari ni mtuhumiwa


Inahitaji busara, hekima na wakati mwingi ukimya kwenye ndoa ili uamzi wako uwe wa faida. For me that is my philosophy.
 
Moyo unauma sana mtoto amenizoea sana kama baba yake

Nawaza nashindwa kujua nifanyeje na mama yake n aina ya wanawake ambao bila msaada wa kusimamiwa kila kitu kunakwama
Sasa unajishauri nini mkuu,si upite na mia au mwache mpige mimba akuzalie nawewe,mtoto wako mue mabwana wawili
 
Back
Top Bottom