Ni sahihi kuendelea kulea mtoto wa kusingiziwa?

Ni sahihi kuendelea kulea mtoto wa kusingiziwa?

Duh mpaka two years bond ni kali/kubwa sana kati yako wewe na mtoto..... Kuna wanawake wanajua kuvuruga Raha na stability ya familia balaaa.

Kama Biological father hana taarifa ya kuwa ana mtoto hapo kwako basi Baki tu na mwanao ulee.
Lkn kama baba aliyemwaga mbegu anajua kuwa ana mtoto hapo- kuepusha migogoro mwachie tu huyo mke na huyo mtoto. Utapata tu mwingine huko mbeleni.

Pole sana Mkuu.
Mimi hawa wa kwangu naogopa hata kuchunguza maana Bond tuliyonayo ni very strong kiasi kwamba najua itatuvuruga kihisia na Kila kitu
Hiyo bond niliyonayo kwa mtoto ndio inanivuruga sana kwa sasa
 
Mkuu mpaka inafikia hatua mkeo anachepuka na anakuletea na mtoto ndani alafu hujamuacha nakwambia utachapiwa kila siku.
 
Hiyo bond niliyonayo kwa mtoto ndio inanivuruga sana kwa sasa
Njemba iliyotoa mbegu inajua kama inambegu yake huko kwako?

Dah haya maumivu ni makali sana just kwa kuimahine tu
 
,baada ya week mbili nikajua mpaka jamaa anaongea na kuhusu mtoto wake na mpaka mama mkwe alishaambiwa.
Duh duh duh hii balaaa ,hlf Kuna mama wakwe wanaozaa wake na Kuna mwanamke aliyekuzali mwanamke hapa Duniani. Huyo wako alikuwa ni mwanamke aliyekuzalia mwanamke uliyemuoa na siyo mama mkwe aliyekuzalia mke
 
We are sailing in the same boat...
mimi wangu nilifukuza kabisa akarudi kwao ili wazazi wake nao wayasikie maumivu
....
na aliempa mimba nae akaikataa qmmake[emoji3062][emoji3062][emoji3062]
View attachment 2504730
Bora wewe uliefanya maamuzi ya kiume, na sio huyu anaelia lia hovyo hajielewi, anatia watu hasira tu.
 
Pole Mkuu
Hata mm pia ndio yananikuta, lakini yangu other way around, Damu yangu amepewa baba mwengine, na mwanamke amechachamaa kumbambikia huyo jamaa kisa jamaa yupo vzr kifedha na isitoshe jamaa tayari ana mke kwahiyo Kawa kimada.
Mtoto yupo copyright na mm, Mungu hamfichi Mnafki
Spendi kuona kid yangu imeenda ukoo mwengine, but what can you do once the byche made up her mind, na mtoto still bado mdogo, mwaka na miez miwili, mama mtu bado anahaki nae
Bila shaka huyo mwanamke sio mkeo.
 
Bro mwanamke achana nae lakini kama mtoto unampenda na mna connection, siku zote mchukulie kama mwanao wa kumzaa..hutoumia...watoto hawana kosa na hawapaswi kulipia dhambi za wazazi wao, kama unaitwa baba mwamvita sijui John, ibaki hivyo hivyo...Love is Love bro
Yaani achukue mtoto wa watu?
 
Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake

Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika

Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
broo peleka huyo mtoto kwa baba yake utanishukuli baadae,
 
Back
Top Bottom