Sikuwa na mpango wa kucomment,ila baada ya ww kuandika huu utopolo, nimelazimika kucomment.
Unalalamika mtoto sio wako, at the same time unamuonea huruma as if ni yatima wakati baba na mama yake wapo.
Kitu kingine cha kijinga ulichoandika, eti baba wa mtoto ni playboy hawezi mtunza mtoto, hivi akili yako inafikiria sawa sawa au ndio upo under depression? Kwavile baba wa mtoto hana uwezo wa kutunza mtoto, vipi akitaka mtoto wa pili, upo tayari aje azae tena na mkeo, ili ww mwenye uwezo wa kutunza umtunze?
Situation kama hizo, solution huwa ni mbili tu, either upige chini mama na mtoto, au ukubali kuendelea nao. Na ukishachagua moja, basi kula buyu, life lisonge, hakuna kugeuka nyuma.
Comments zako inafikia hatua badala ya kukuonea huruma, zinatukera.