Ni sahihi kuendelea kulea mtoto wa kusingiziwa?

Ni sahihi kuendelea kulea mtoto wa kusingiziwa?

Mkuu kwa Hongera hadi sasa kuweza kustahimili ulifanya ni kubwa kuliko lililobaki

Ushauri
kwanza Fungua na ukubaliane na ukweli huo kama ni kweli kuwa mtoto si wako
_Amua kuendelea kumlea mtoto huyo kwa moyo mmoja kama tuu upande wa pili(mwenye mtoto amtambue au hamtaki ) kabla ya yote jiridhishe huyo MTU hana shida na mtoto wake kama ana nia nae Mpatie huyo mtoto wake mapema hii baadae usilete magomvi ndan ya familia yako
_ kikao cha familia pande zote mbili litambue hilo
_Unawez kuamua kumuacha mkeo ki roho safi au kuendelea nae kama utajiridhisha bila shaka kuwa hatowez kuchepuka kwasiku zijazo na kama bado anamsaada mkubwa kati yenu (ndan ya ndoa yenu)
_Hana mtaa /kijiji unachoishi Kimyah Kimyah


Nakutakia kila heri na pole kwa hilo .
Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake

Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika

Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
 
Mkuu kama anakaa Temana nae huyo ni jeuri kibuli

Ataendelea kukup pressure
Kinachonipa changamoto ya kuwaza sana n kuwa wife licha ya kupata ushahidi wote hadi wa maabara bado anakataa
 
Mkuu msaidie huyo mtoto akiwa mbali , akalelewe upande wa mwanamke lakn tayar uwe umejipambanuwa kwa ndugu zake sio wako ila huruma imekutuma kufanya hvyoo
Nawaza hivyo ila nikifkr maisha ya mtoto yatakuaje nachanganyikiwa kabisa

Wife n mama wa nyumbani tu
 
Hiyo bond niliyonayo kwa mtoto ndio inanivuruga sana kwa sasa
Naona kuna dalili ya wewe kupamba vichwa vya habari ya kwamba umejitoa uhai au umemtanguliza mtu futi 6.

Kubali kuanza maisha mapya yenye amani, upole wako utakuletea madhara makubwa
 
Kwa sababu mtoto hafanani na wewe wala mama yake ndio sio wa kwako? Au kuna evidence nyingine?
 
ACHA UBOYA NA HURUMA ZA KIFALA,,,,,,,BABA WA MTOTO NA MKEO WANAJIPONGEZA KWA KUWASAIDIA KULEA.
 
Wenye nguvu husamehe

Wenye akili hudharau au kupuuzia

Dhaifu hulipiza kisasi.

Jipime mwenyewe sasa.
 
Ujue kuna watu ni sikio la kufa...!!huyo mwanamke ameshajua wew huna maamuzi juu yake...anajua una hurum...!!yan kwa mtu mweny maamuzi ushauri ulopewa unatosha saan kufanya maamuzi
 
Kisheria atambulika baba mzazi na sio mlezi.

Hivyo ana haki ya kumwona mwanae, kumpa ubini wake na mengineyo mengi.

Fuatilia kesi Moja ilitokea Uganda kuhusu Mama aliyezaa mapacha mmoja wa Mume ndani ya Ndoa na wa pili mchepuko.
Thanks..... nimemreport mwenzi wangu ustawi, wito wa kwanza hajatokea, wiki hii nimepeleka wito wa pili naamin hatotokea watatu nimpeleke mahakaman..... Baada ya kujifungua mtoto akasepea kwa mshikaj mwingine pamoja na hudua nilizokua natoa, na kampa na mtoto huyo mwamba na yy anajua kua n baba wa mtoto..... nimechagua kupambana nimpate japo wengine walinishauri kua atakuja mwenyewe akikua, mimi nataka nimpate kabla hajakua

Mahakama ikampa haki zote yule Mchepuko wa mkewe baada ya vinasaba kuthibitisha pacha mmoja wapo ni wake.
 
Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake

Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika

Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Pole, sikiliza moyo wako unatakaje
 
1. Hauna wajibu wa kulea mtoto ambaye sie damu yako. Mwanamke alipoamua kulala na mwanaume nje yako na kubeba ujauzito wake it means alimpa thamani ya juu zaidi kuliko wewe, sasa kwann uchague kuwa mpumbavu na kulea mtoto ambaye ana baba yake.

2. Kunachangamoto utazitengeneza baadae ukiendelea hii akili mbovu. Mwanamke akishakuonyesha aina yoyote ya utomvu wa nidhamu ukamchekea ukidhani haitajirudia ni kujidanganya. Mwanamke anapokukosea jua atarudia tena na tena.
So kama ameamua kut*mbw* na mwanaume mwingine na kumuachia amkamulie bao ndani kisha kushika mimba yake then jua atarudia tena kuliwa nje ya mahusiano yenu na ikibidi ataongeza tena mtoto wa nje. Sasa wewe ni mtu mzima hebu fanya kujiongeza.

3. Katika jambo risk kufanya ni kuingia gharama kulea mtoto au watoto wasio wako. Hiyo ni kazi ya kanisa na haitakulipa zaidi ya kukupotezea muda wako. Damu ni nzito kuliko maji, mtoto atafika umri atatafuta baba yake alipo na wewe utabakia kuwa msamaria mwema.

Huyo mwanamke atabakia na wewe tu hadi pale watoto wake wakishaanza jitegemea then ataanza kukubadilia hiyo ni guarantee sababu hakupendi ndio maana hata mtoto hajataka kubeba mbegu yako sasa why abakie na wewe.


Ushauri wangu fanya kumuhoji alifanya umalaya wake na nani kisha mwambie amtafute mzazi mwenzake waketi chini wajue watalea vipi damu yao. Wewe pita hivi kaanze maisha upya na mwanamke mwingine maana wanawake wapo wengi na wapo wanatafuta mahusiano serious na hawana makuu wala mambo mengi.

Piga chini hiyo Puta.
 
Kinachonipa changamoto ya kuwaza sana n kuwa wife licha ya kupata ushahidi wote hadi wa maabara bado anakataa
Wewe ni fala sana ujue. Sasa ulitaka akubali wakati anajua wewe ni bwege lake?! Kama amebeba ujauzito hadi kajifungua na umelea mtoto si wako miaka 2 ulitaka akatae kuwa mtoto si wako ili akose huduma unazompa za bure.
 
Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake

Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika

Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Koma na ukomae
 
Back
Top Bottom