The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Wacha wazinzi waje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Ile inakuja unexpected yani, hakuna utamu kama kukunjia kwenye gari. Shida ni hiyo mikosi mnayosema, lakini pia gari ambayo inabeba familia, sip sawa...ila ujweli ni vitam.
CC Ex RC wa SimiyuWanajamvi
Siku hizi limekuwa kama jambo la kawaida kukuta watu wamepaki gari wanafanya mapenzi humo ndani.
Hii imekaaje?Ni sahihi kweli?
Pia soma: Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari
Gari la kwangu alafu unipangie matumizi?Wanajamvi
Siku hizi limekuwa kama jambo la kawaida kukuta watu wamepaki gari wanafanya mapenzi humo ndani.
Hii imekaaje?Ni sahihi kweli?
Pia soma: Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari
Wanaitwa dungadunga👇🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna wale wa kwenye Mwendokasi....
Wote uliowahi kuwaona ni wagonjwa wa akili,hivyo pindi uonapo hao wagonjwa wa akili toa taarifa katika vyombo husika ili weweze kupati tiba ya ugonjwa wa akili.Na pia hujataja ni maeneo gani ili uweze kupata usaidizi wa kuwafikisha vituo vya tiba za ugonjwa wa akili.Wanajamvi
Siku hizi limekuwa kama jambo la kawaida kukuta watu wamepaki gari wanafanya mapenzi humo ndani.
Hii imekaaje?Ni sahihi kweli?
Pia soma: Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari
Ni uhuni tuu na kukosa Heshima ya kubanduana kwa nafasi!Wanajamvi
Siku hizi limekuwa kama jambo la kawaida kukuta watu wamepaki gari wanafanya mapenzi humo ndani.
Hii imekaaje?Ni sahihi kweli?
Pia soma: Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari
Kuna video ilitrend sana mhindi alikuwa anapakua dukani bila kujua camera zinamrekodiPiganeni pipe popote ambapo mmejistiri
Hadi kwenye mwendokasi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna wale wa kwenye Mwendokasi....
Hapana wapeleke kwenye kimasiharaMods, hamisha hii peleka kwenye jukwaa la social issues!
Ujinga unazidi kuwa mwingi Nchi hii🤣Hadi kwenye mwendokasi?🤣🤣🤣🤣
HaujawahiUjinga unazidi kuwa mwingi Nchi hii🤣