Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Ndio Ili tu prove..Kama kweli tuzione
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Ili tu prove..Kama kweli tuzione
Kwani huwa unatafuta nini ndugu yangu kwenye magari ya watu wakiwa wanafanya mapenzi?Wanajamvi
Siku hizi limekuwa kama jambo la kawaida kukuta watu wamepaki gari wanafanya mapenzi humo ndani.
Hii imekaaje?Ni sahihi kweli?
Pia soma: Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari
Wanasema eti mikosi...🤣🤣Kwani ukiwa unaendesha ukafika kwako aftena ukapack gari nje kabla ya kuingia ndani ukawekatu miguu juu ya dashboard , ukapiga quickie moja, yani tuu mkiwa kinguo nguo tu nanii pembeni na zipu tu imefunguliwa
inakuwa mmefanya kwenye gari au tu hapo nyumbani?
We bana weeeee.Wanasema eti mikosi...🤣🤣
Mkosi gani hapo?Wanasema eti mikosi...🤣🤣
hahahaha usha do kwa gariIle inakuja unexpected yani, hakuna utamu kama kukunjia kwenye gari. Shida ni hiyo mikosi mnayosema, lakini pia gari ambayo inabeba familia, sio sawa...ila ukweli ni vitam.
wewe gen z unamuuliza babaako kama ashado kwa garihahahaha usha do kwa gari
😅😅😅😅😅😅 yoo nimechekawewe gen z unamuuliza babaako kama ashado kwa gari
unatafuta laana?
wewe utakuwa ushawahi😅😅😅😅😅😅 yoo nimecheka
so m unaniona kadoho sana eti wewe 😃😃
mmh mimi?? ipi ni tagwewe utakuwa ushawahi
kuna thread ulisema unapenda wakaka wenye magari
We unafikiri huwa zinapinduka kwa sababu gani?
Mkosi huo
Imani za kishirikina hiziMkosi mmoja wa hatari sana
Sio sahihiWanajamvi
Siku hizi limekuwa kama jambo la kawaida kukuta watu wamepaki gari wanafanya mapenzi humo ndani.
Hii imekaaje?Ni sahihi kweli?
Pia soma: Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari
Mwakani majira kama haya utakuwa na gari lako kalimmh mimi?? ipi ni tag
sasa hivi nataka gari langu 😃😃😃
Kwa biyo unakula kwenye gari ambalo hata wazazi waweza kupanda?Hakuna kitu kizuri kusex muda ule ambapo mzuka umepanda inanoga kinyama yaan na inakuwa tamuu... Hatareee...!!!