Ni sahihi kulea mtoto wa Kambo?

Ni SAHIHI ila tatizo baba yake yupo na sio kwamba hajiwwezi au kamkataa mtoto wake hapana. Ila ni wasiwasi WA mama yake kuwa mtoto wake anateseka Kwa baba yake Bora akae naye mwenyewe.

Wanakudanganya.

Huyo Mtoto hajatelekezwa na Baba yake ili wewe ndîo umlee.
Mama yake ndîo anamng'ang'ania ili aishi naye Karibu. Hivyo ametafuta sababu ya kumpa Mzazi mwenziwe sababu mbaya ili amchukue

Mwambie kama anateseka ampeleke Mahakamani
Kûna Sheria za Watoto na Haki zào.

Kama yupo serious na kweli anateseka ataenda
 
Mtibeli karibu kwenye chama la Miamba.
Elimu na burudani.
 
Msaidie tu Mkuu huyo dogo,sema kama alivyosema Mwana nyuma,mpangie masharti na mipaka mkeo maisha yaendelee.

Amsaidie Mtoto Kwa misingi Ipi?
Yeye NI Baba yake?
Yeye yupo kwèñye ûkoo wa huyo Mtoto Mpaka amsaidie?
Kwamba Baba anaweza kumtesa Mtoto wake?

Alithibitisha vipi Mtoto anateseka?
Hata akithibitisha Sheria za nchi zinasemaje kuhusu Haki za Watoto?

Je makubaliano Yao Hapo mwanzo yalikuwaje?

Ikiwa amevunja masharti na makubaliano ya mwanzo unaamini vipi hawezi kuvunja masharti na makubaliano mapya baàda ya Mtoto huyo kûja Hapo?

Kama huyo anateseka Basi Alelewe kuwa hata yeye ataambiwa hivyohivyo kuwa anamtesa huyo Mtoto na hampendi tangu Siku ya Kwanza ndîo maana alimwambia asimlete.

Mwanamke anahitaji ukitoa Amri usirudi Nyuma kwani ukirudi Nyuma ataitafsiri kama yeye ndiye alikushawishi na kukuweka kiganjani
 
Muache mtoto kwa baba yake usiwe Fala kubeba majukumu ya mtu mwingine ambae yuko hai na anatakiwa kuwajibika kwa mtoto wake, usiwe boya labda kama baba yake kafa hapo sawa ila kama yupo hai usikubali huo ujinga
Umesemwa wewe ni shetani!
 
Haya tuseme mama akamchukua akae nae. Utakuwa na amani kuruhusu baba yake mtoto kufanya mawasiliano na mkeo na kutuma hela za matunzo kwa mkeo?
Duh,
Hapo ataepuka vipi kuto-mb€wa na baba mtoto?!!! Jibu ni kuwa haiwezekani kuepuka.

Mleta mada aliingia mkenge kukubali kuoa huyo single mom. Kwa sasa akubali matokeo tu. Aruhusu mtoto aletwe home halafu taratibu atafute mke wake sasa, siyo huyo "cha wote".
 
Asikubali aitumie hiyo hiyo issue kuvunja hiyo ndoa mapema.
Achukue mtoto aliyezaa na huyo single mom, amwambie twende wote leo tukamtembelee mwanao kule.
Wakifika awatelekeze wote kule tena amwambie yule mwamba kule kuwa nimemleta mkeo wa kwanza na ndama juu hivyo ishi na wake zako wote.
Ningemuoa maana nia nilikuwa nayo ya dhati lakini shida ulishaweka alama yako ya kudumu kwa huyu mwanamke so huyu ni wako..
Mwanaume unatakiwa uwe na suprise package for once acha kutafuta maridhiano kwenye maisha yako.
Inatakiwa ieleweke kuwa huna mchezo linapokuja suala linalohusu maisha yako.
Lucha Devil one "Ushetani uendelee"

By Devil one promax.
 
Wanawake wanataka tuwe mafala wao ukikataa kuwa Fala wanakuita shetani
Na bahati mbaya kwao ni kuwa hawana uwezo wa kudrive hii dunia wanakimbilia victim card daily..
Dunia haiendeshwi kwa victim card.
Kuna mmoja hapa nimekula mzigo mara moja naona ananiimbia nyimbo za kuolewa tu..
Sijui ananiona malaika sana?
Angejua ushetani wetu ulivyo sasa hivi haupimiki.
Oya Lucha tuitwe tu mashetani,, kama ushetani wetu ni mzuri kwetu inatosha sio lazima umfae na mwingine..
Kauli mbiu yetu mpya " Ushetani uendelee" Nitakuwa nakutag kila sehemu inayohitaji kumwaga ushetani.
Tunamwaga tunatambaa au unasemaje Devil one?

By Devil one promax.
 
Dah,
Ni ngumu sana kuishi na mke wa mtu. ME na KE wakizaa mtoto wanaweza wasioane, ila kwa habari ya kupeana utamu huwa hawaachani kamwe!

Ukijiingiza kuoa KE wa hivyo lazima utapata taabu sana.

Kukiwa na shughuli huko kama msiba, nk lazima apeleke mwanaye kuhudhuria maana hao Babu, bibi, shangazi, nk ni ndugu zake wa damu.

KE akifika huko cha kwanza anakutana na mpenzi wake (mzazi mwenzie) na wame miss each other, kifuatacho kabla ya yote ni kitomb.o cha kufa mtu
 
Ndo hivyo mwanaume usikubali kuwa mjinga
 
Na baba mtoto anakuwa na uhuru wa hadi kumfira huyo mwanamke maana anajua hawezi kusemea popote maana ameolewa hivyo akisema itajulikana walitomberner.
So mkeo inabidi avumilie tu anachofanyiwa maana hana pa kusemea anaogopa itakuwa aibu mke wa mtu kafirwa na mwanaume mwingine..
 
Kwani mkuu, chuki yote hii kwa watoto sababu ni nini? Woga mkeo asigongwe na baba mtoto? Kuna vijana ni wapuuzi tu, wanazalisha wanakaa kwenye vijiwe wakilamba lips hawataki kusikia kuhusu responsibilities. Sasa kama uwezo upo, na mama yake umemtaka, na hajaficha uhalisia wake kuwa ana mtoto, na umemzalisha wadogo zake wengine, tatizo lipo wapi ukilea mtoto ambaye hukubambikiziwa umemkuta yupo na mwanamke uliyemtaka mwenyewe? Akileta umalaya si unamwacha? Tena unaweza kumwacha na bado watoto wote ukaendelea kuwalipia ada kama MUNGU amekubariki na kipato maana hata ukimtelekeza bado ni ndugu wa damu wa watoto wako. Umalaya ni wa mama.

Wakati mwingine hii mitoto ya kambo ndo unakuta inakuja kuwa bonge la kampan uzeeni, kuliko hata watoto wako.
 
Hofu ya kugongewa Ipo wapi hapo?
 
Hofu ya kugongewa Ipo wapi hapo?
Sasa tatizo ni nini kama kipato kipo na umemtaka mama yenye mtoto? Weka ndani, muongezee watoto wengine wa4, lea.

Akileta umalaya wake mtreat kama malaya wanavyo stahili kufanywa na watoto wajue kabisa kuwa mama yao malaya tu ndo maana wameshindwana na mzee.

Akijiheshimu mpe heshima yake kama mwanamke. Sisi ni wanaume, kuumbwa mwanaume ni bonge moja la zawadi, option zipo kibao, sioni sababu ya kujifungia ndani ya box, la msingi uwe na kipato.
 
Huyo ni mtoto wa watu, hawezi akawa na mamlaka naye sababu baba wa mtoto yupo na mbaya zaidi mama wa mtoto ndiye anataka kumchukua mtoto wake.
Hivyo kama atamchukua haimuindolei baba wa mtoto access ya kumuona mtoto wake kila atakapohitaji.

Kwa kuwa mama wa mtoto amedai yule mwanamke anamtesa mtoto, maana yake kitendo cha mtoto kuondoka pale nyumbani tayari kitakiwa kimeweka doa kubwa kati ya mtoto na mama yake wa kambo, hivyo baba wa mtoto akitaka kumuona mtoto itabidi iwe nje ya nyumbani na itabidi tena jamaa na mke wake wapangiane zamu ya kumpelekea jamaa mtoto wake, iwe ni beach, au popote pale. Je, wewe ungeendelea na hui ushauri unaiutoa?
Msitoe ushauri ili muonekane kuwa ni watu wema, mtu mwema ni mwema tu hata akikutukana au akikunasa makofi, lakini puuzi ni mpuuzi na shetani ni shetani hata aongee kwa kauli mzuri na busara namna gani.

Tuoeni ushauri kwa kuzingatia jamii mnayoiishi kwa aina ya watu wake na mitabia yao. Kuna vitu ni kuweka mbali no matter what, kujitia unajali na kujifanyisha kuwa na busara inaweza kuja kugharimu maisha ya watu na mifano tunayo
 
Kwa mwanaume sio sahihi kabisa!
 

Mkûu Wala hiyo siô chuki hiyo NI nature Kwa viumbe vingi
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…