Ni sahihi kulea mtoto wa Kambo?

Ni sahihi kulea mtoto wa Kambo?

Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
One mistake one Goal.

Kila siku Natafuta ajira anawafundisha nyie mmekaza mafuvu.
 
Hizi ni akili za za vijana wasiojiamini wajinga wa JF, pumbaf sana
Kwangu Mimi ni ngumu sana. Hii Kwa usalama wangu na hata familia yangu. Mwanamke akiwa na mawasiliano mazuri na mzazi mwenzake na ukawa na ukwasi jamaa akimrubuni wife wako aondoe uhai wako walee mtoto wao ni kugusa tu.
 
Issue ni msela kuwepo karibu. Yaani wife au jamaa kuonana ni kugusa tu na kila siku huku mtandaon unasikia Huwa hawaachani kamwe!

Hii inauma sana
Hiyo ni makubaliano yako na mke wako, Kama hutaki huyo jamaa awe karibu chukua mtoto. Huku mitandaoni kila mtu anajua kila kitu, choose wisely
 
mlee kama mtoto wa ndugu yako unayewezesha kumsomesha ili hali wazazi wake wapo, fanya hivyo pia. Na mlee unavyotaka wewe usipangiwe kwa sababu baba wa mtoto ameshindwa, kumbuka ni rahisi mwanaume kulea mtoto wa kambo kuliko mwanamke, hapo ndio ulipo utofauti wa mwanamke na mwanaume
Ni wapi baba wa mtoto kashindwa?
 
Kwa hiyo ndugu mdau, kinachokutesa ni kwamba mwamba kule atapata unafuu sababu 'mzigo' wa kulea utakuwa kwako?

Roho mbaya tu, una kiroho cha kwanini. Haya tuseme mama akamchukua akae nae. Utakuwa na amani kuruhusu baba yake mtoto kufanya mawasiliano na mkeo na kutuma hela za matunzo kwa mkeo? Unate geneza mwanya wa mambo mengine

Wewe hudumuia, lea kama mtoto wa ndugu yako mwingine yoyote, likizo ataenda akae kwa baba yake na ndugu zake wengine. Haipunguzi uanaume wako. Huyo mama hatakusamehe kwa kumtenganisha na mtoto wake na hali anaona anateseka kwa mama wa kambo na yeye yupo hai.

Na mtoto vile vile bado mdogo sana. Anamuhitaji mama kuliko baba kwa hatua aliyopo kimaisha. Ndio maana sheria za nani akae na mtoto zinaweka wazi watoto chini ya miaka 7 ni sawa na haki kabsa wakae na mama kwaajili ya malezi sababu ndicho wanacho hitaji
Mimi nashauri ampige chini huyo maza ili awe huru kumlea mtoto wake
 
Kuna mazingira ukimtazama baba mzazi unaona kabisa hana madhara.

Mfano Mtu anashinda kwenye baa za pombe kali za kienyeji kalewa chaka chaka 24/7 kachoka mara aokotwe mitaroni una hofu nae wa nini na mzazi mwenzie umempa watoto na maisha mazuri?
Siku akiacha ukevi akarudi kwenye form atamchukua mke wake
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hapo kwenye mkeo kwenda kumuona mtoto kuna ukakasi na uko comfortable tu??

Mfano wa wanaosema eti lea kama unalea yatima ni batili, huyo si yatima baba yake yupo acha upimbi, na pia eti huwez jua atakuja kua msaada kwako... ujinga, kusaidia kwa kutegemea fadhila hujui utakufa lini au hatima yenu anaweza asisaidie pia

Mwisho chukua ushauri wa wanaume tu ndo realistic upande ule watavutia upande wao. Ni sawasawa unaenda kwa wanasiasa wetu unawauliza hv ni sawa kufuja na kuiba mali za umma yatasema ni sawa coz almost yote majizi.
 
Ukiweza mlee ukishindwa acha.

Mtoto wa kambo alivunja ndoa.
Mtoto wa kambo alinifikisha mahakamani na pension yangu ikaishia huko ila kesi nilishinda.

Mtoto wa kambo nanawa mikono.
 
Ni wapi baba wa mtoto kashindwa?
mtoto kuteseka ni dalili za kuzidiwa na majukumu, lakini pia ni her mtoto akalekewa na baba wa kambo sio mama, wanawake wana roho mbaya kwa watoto
 
Humu wanaokushauri usimlee mtoto ukitrace historia zao wamelelewa na baba za kambo....akili mtu wangu!
 
Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Mlee vizuri kadiri utakavyoweza. Hiyo ni kama sadaka huwezi jua, mwenyezimungu atakubariki.
 
Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Kama mtoto wa dadaako, kakaako au ndugu yako mwingine unaweza kumsomesha, UNASHINDWAJE KUKAA NA KAKA AU DADA WA MTOTO WAKO AMBAYE AMEZALIWA TUMBO MOJA NA MWANAO???
 
Changamoto ni mazoea tu kati ya baba mtoto na mama mtoto, nje ya hapo sioni kama kuna tatizo wewe kumlea.
 
Siku akiacha ukevi akarudi kwenye form atamchukua mke wake
Atamkuta akiwa na watoto wengine wa3, kuna ubaya gani na mitoto mibichi imejaa kibao? Kung'ang'ania mwanamke ni tatizo la saikolojia.
 
Back
Top Bottom