Zee la Mandandu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,064
- 2,603
Ili iwaje? Yaani mimi na mke wangu na watoto Muislamu aje anichinjie?Kaka dunia hii usi complicate mambo.. mwache Muslim achinje kaka..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili iwaje? Yaani mimi na mke wangu na watoto Muislamu aje anichinjie?Kaka dunia hii usi complicate mambo.. mwache Muslim achinje kaka..
Nimelisikia hilo tokea nikiwa mdogo lakini siamini kama lina ukweli.Kitimoto ni haramu pia kwa majini, penye kitimoto jini halikatishi.. Kuna uhusiano gani???
Na wao ni wafuasi wa hiyo diniKitimoto ni haramu pia kwa majini, penye kitimoto jini halikatishi.. Kuna uhusiano gani???
Kama sio kweli mwenye imani yake akujibu.Nimelisikia hilo tokea nikiwa mdogo lakini siamini kama lina ukweli.
Kijijini kwetu wengine walikuwa wanadiriki kutembea na fupa au jino la nguruwe ili kujikinga na mapepo lakini nafikiri hiyo ilikuwa ni imani tu isiyo na ukweli.
Ficha upumbavu wakoKwann uchinje..? Wakat unajua kbsaa wa kristo haitakiw kuchinja. ?
Kila mtu na akili yakeWanafanyaje wanapenda kwenye nchi kama Marekani na China? Wanajizuia kula nyama? Nadhani kwenye hizo nchi hawana utaratibu wa kuchinja kwa kuzingatia imani ya Kiislamu.
Kaka... kosa langu ni lipi..? Mbona una comment kwa kuhema sana..?Ficha upumbavu wako
Una feliKuna mmoja alikuja kwangu akatengewa ugali na nyama ya Bata halafu akaanza kuhoji ooh samahani bro kwani nani kachinja huyu Bata nikamwambia Mimi akasema basi Mimi nimeshiba naomba maji tu ninawe nikamwambia jaba lile pale na kikombe kipo hapo nawa tu maana alishafinyanga tongue mbili halafu nikamsindikizia na Aya moja ya suratul qaafiroon
LAKUM DEENUKUM WALIYA DEENI.
😂😂😂😂
Sielewi upumbavu mimi
Ko wao na majini wana uhusiano?Na wao ni wafuasi wa hiyo dini
Mtuchinjie na vitimoto.....Kaka dunia hii usi complicate mambo.. mwache Muslim achinje kaka..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijui hata nmecheka nini 🤣🤣🤣🤣Kuna mmoja alikuja kwangu akatengewa ugali na nyama ya Bata halafu akaanza kuhoji ooh samahani bro kwani nani kachinja huyu Bata nikamwambia Mimi akasema basi Mimi nimeshiba naomba maji tu ninawe nikamwambia jaba lile pale na kikombe kipo hapo nawa tu maana alishafinyanga tongue mbili halafu nikamsindikizia na Aya moja ya suratul qaafiroon
LAKUM DEENUKUM WALIYA DEENI.
😂😂😂😂
Sielewi upumbavu mimi
Wasichinje kwa sababu gani ?Kwann uchinje..? Wakat unajua kbsaa wa kristo haitakiw kuchinja. ?
Hiyo Haram... wacha wale wanaokula Haram wachinje.. tena nasikia huwa hachinjwii anapigwa rungu za kichwa... hatari sana aiseee.. mnyama anapigwa rungu la kichwaaaMtuchinjie na vitimoto.....
Muslim ndo anachinja kaka..Wasichinje kwa sababu gani ?
😃Mbona kwenye kitimoto hawaji kuchinja 😂😂😂
Hiyo haram haikuumbwa na Allah? Sasa inakueje haramu? Unakula Bata, pweza kisha unamkosoa kitimoto?Hiyo Haram... wacha wale wanaokula Haram wachinje.. tena nasikia huwa hachinjwii anapigwa rungu za kichwa... hatari sana aiseee.. mnyama anapigwa rungu la kichwaaa
Mkristu akichinja kunakua na nini kwani?Muslim ndo anachinja kaka..
Aya 29 – 32: Majini Wanasikilza Qur’anKo wao na majini wana uhusiano?