Proffesor
JF-Expert Member
- Aug 13, 2014
- 2,164
- 2,968
Kwenye migahawa nyama wanatoa buchani.. buchani nyama wanatoa machinjion.. na huko machinjion ni only Muslim anachinja .. mbona simple kakaKwani wakienda kwenye migahawa na hoteli au kwa wauza mishkaki hua wanauliza aliechinja ni nani [emoji848]vitu vingine vya kipuuzi kweli