DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 561
- 900
imeandikwa wapi hii
Kwann uchinje..? Wakat unajua kbsaa wa kristo haitakiw kuchinja. ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann uchinje..? Wakat unajua kbsaa wa kristo haitakiw kuchinja. ?
M vizur ukasoma vitabu..Mkristu akichinja kunakua na nini kwani?
Sijui kusoma kaka nieleweshe wewe kwakua umesoma....mkristu akichinja inakuaje kwani.M vizur ukasoma vitabu..
Ko uhusiano upo.Aya 29 – 32: Majini Wanasikilza Qur’an
Maana.
Na tulipokuletea kundi la majini kusikiliza Qur’an. Basi walipoihudhuria walisema: Nyamazeni! Na ilipomalizwa, walirudi kwa kaumu yao kwenda kuwaonya.
Nimekwambia soma vitabu.. iliuelewe mambo kwa kina zaid.. kueleweshwa/kuambiwa na mtu haitakusaidia...Sijui kusoma kaka nieleweshe wewe kwakua umesoma....mkristu akichinja inakuaje kwani.
Je ukimpiga risasi mnyama pori kama Mbogo akafa ndio ukachinja hii nayo ni kibudu ?.......maana kumpata akiwa hai ndio umkate shingo sio rahisi.Kama vile Wakristo wanavyompiga marungu nguruwe kisha wanamchinja. Vile haifai.
Na pale hujachinja, kuchinja ni kuua kwa kukata shingo. Ukishampiga marungu akafa inakuwa unamkata kata tu. Hiyo haifai.
Hauna facts, ainisha hicho kitabu ueleweke wacha kubabaikaNimekwambia soma vitabu.. iliuelewe mambo kwa kina zaid.. kueleweshwa/kuambiwa na mtu haitakusaidia...
Unapompiga Risasi hafi moja kwa moja.. una msogeleaaa/unamuwah unachinja.. hakikisha anakuwa bado hajafa..Je ukimpiga risasi mnyama pori kama Mbogo akafa ndio ukachinja hii nayo ni kibudu ?.......maana kumpata akiwa hai ndio umkate shingo sio rahisi.
Calm down bwana mdogoHauna facts, ainisha hicho kitabu ueleweke wacha kubabaika
Sasa hapo Kuna utofauti na wanaoanza kutumia rungu Kisha kumalizia na kuchinja ?Unapompiga Risasi hafi moja kwa moja.. una msogeleaaa/unamuwah unachinja.. hakikisha anakuwa bado hajafa..
Upuuzi huuKwan huna rafik/jiran akachinja ?
Ni ustaarabu tu ila hakuna sheria inayomkataza mkristo kuchinjaKwann uchinje..? Wakat unajua kbsaa wa kristo haitakiw kuchinja. ?
Kaka tofautisha wanyama hawa.. mbogo na nguruwe...Sasa hapo Kuna utofauti na wanaoanza kutumia rungu Kisha kumalizia na kuchinja ?
Lete hoja zenye kueleweka na upunguze hoja zenye mafundisho yenye chukiCalm down bwana mdogo
Katika kuchinja kwa waislamu,kwanza uelekee kibla kwasababu kuchinja ni ibada,pili litajwe jina la Mwenyezi Mungu.Sio upotoshaji, lete facts.
Muislam kakatazwa kula kibudu tu au kilichochinjwa kwa ajili ya makafara ya kumtolea asiyekuwa Mungu. Labda mizimu.