Labda ungejiuliza ni Sahihi Wakati ukimpiga Mkeo alafu mtoto wako akaja kukukata mitama?
Jibu utakalotoa ndio sahihi.
Labda kama unayeuliza ni Mwanamke. Tutakusaidia majibu.
Hii ni hekima
Hata hvyo kuna muda wazee wanaznguaga kichizi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ungejiuliza ni Sahihi Wakati ukimpiga Mkeo alafu mtoto wako akaja kukukata mitama?
Jibu utakalotoa ndio sahihi.
Labda kama unayeuliza ni Mwanamke. Tutakusaidia majibu.
Ila hao watoto kumpiga baba yao badala ya kuamulia ugomvi sio Domestic violence ni international violence si ndio?!Huyo mdingi anapaswa kupigwa kwasabb kumpiga mama ni domestic violence and women abuse & harassment
Hii ni hekima
Hata hvyo kuna muda wazee wanaznguaga kichizi,
Swali zuriLabda ungejiuliza ni Sahihi Wakati ukimpiga Mkeo alafu mtoto wako akaja kukukata mitama?
Jibu utakalotoa ndio sahihi.
Labda kama unayeuliza ni Mwanamke. Tutakusaidia majibu.
Vipi km mama yako huyo ndo anamnyuka baba yako, vipi utampiga mama yako. Kichwa kisicho na maarifa ni sawa choo kilichojaa kinyesi. Yataka moyo.Anatandikwa tu akileta upuuzi wazazi wenye kujitambua hawakwaruzani mbele ya macho ya watoto kama ugomvi ameshindwa kuuacha baada ya kuamuliwa na kujifanya nunda kuendelea kumfanya kibogoyo maza kinacho fuatia ni makonde mpaka akili zimrudi
VayolencicIla hao watoto kumpiga baba yao badala ya kuamulia ugomvi sio Domestic violence ni international violence si ndio?!
Jifunze kuandika kwanza jinga kabisaNa kitandani kamtoa babako kifuani pa mamako ili umlale wewe kwa maana nayo hayo ni mapigano!
Kama huwezi,jibu unalo.
Hata wewe ukiwa maza angu unachezea vitasaVipi km mama yako huyo ndo anamnyuka baba yako, vipi utampiga mama yako. Kichwa kisicho na maarifa ni sawa choo kilichojaa kinyesi. Yataka moyo.
Mambo haya unaweza dhani ni story ilaa omba yasitokee kwa wazazi wako ni Mtihani mkubwa sanaa.. Kama mzee hajitambui anajenga chuki na mwisho laana kwa watoto lakini Nilichojifunzaa Jitahidi kusuluhisha ugomvi wa baba na mama bila kupendelea na mbebeshe mzee majukumu ya kumantain amani ndani ya familia..Hivi wazazi mnagombana vipi mbele ya watoto, achilia mbali kupigana!!
Aibu kubwa hii...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu mnavuta bhangi sijuiiiHata wewe ukiwa maza angu unachezea vitasa
Umenena vyema mkuuLabda ungejiuliza ni Sahihi Wakati ukimpiga Mkeo alafu mtoto wako akaja kukukata mitama?
Jibu utakalotoa ndio sahihi.
Labda kama unayeuliza ni Mwanamke. Tutakusaidia majibu.
Jamaa mmoja mtu mzima na familia yake ana wazazi wake ambao wako above 60. Sasa dingi yake akajitia ukidume kumpiga mama yake mbele ya jamaa. Jamaa akaingilia na kumtwanga baba yake, akimkunja chini. Hili suala ni sahihi? Baba yako akimpiga mama yako mbele yako unaweza ungilia kupigana na dingi?