cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wee ndo umenenaa.Unaanzaje kuingilia ugomvi wa wazazi wako?Ni kukosa busara.Waamue tu na siyo kumpiga mmoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee ndo umenenaa.Unaanzaje kuingilia ugomvi wa wazazi wako?Ni kukosa busara.Waamue tu na siyo kumpiga mmoja.
Funzo kabisa hili.Kuna washikaji wangu walifanya kama unavyo taka kufanya wewe . Walimchezeshea kichapo mshua wao hadi nguo za mshua zikavuka. Hawa jamaa ni mtu na mdogo wote wanaume wana mdogo wao wakike pia huyu wa kike alikua bado mdogo .
Ila hawa jamaa hakuna kitu walifanya kikafanikiwa na hakuna kitu cha thamani walinunua kikadumu zaidi ya mwezi.
Mshua wao alicho kifanya aliamua kuto Fukuza mtu wala yeye kuondoka ila aliamua kujitenga na wao. Alichukua tu geto moja la nje na kuwaachia nyumba kubwa na wao na mama yao.
So mzee anakageto kake la nje hana habari na mtu na kubwa kuliko mzee ana pensheni yaani anaishi vimaisha vyake na tangu siku hiyo hajawahi ongea na hao watoto na huu ni mwaka 15 na zaidi tangu tukio litokee.
Yaani mzee ni kama amewatenga na hataki hata habari zao. Vikao vya kibalozi vya aina yote vilikaliwa kusuruhisha jibu la mzee lilikua hata nyie mnashida na watoto chukueni kama mnawataka na anae taka huyo mke amchukue pia mimi sina matatizo na mtu .na huyu mwanamke alisha lia machozi ya rangi zote alimaliza ila mzee kadinda
Huyu mzee anapendeza kichizi yani yaani full mastory na watu huku nje na ni mcheshi balaa ila ukitaka kumuuzi mgusie Jabari za wanawe.
So bro kuwa makini na hatua unayo taka kupiga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila hao watoto kumpiga baba yao badala ya kuamulia ugomvi sio Domestic violence ni international violence si ndio?!
Huyu unaemwita mama mwenzio anamwita mke au baby wake nawamejuana kitambo kabla hujazaliwa sasa usimpangie mtu maisha nampenz wake kaa pemben au nenda kwamkeoAnatandikwa tu akileta upuuzi wazazi wenye kujitambua hawakwaruzani mbele ya macho ya watoto kama ugomvi ameshindwa kuuacha baada ya kuamuliwa na kujifanya nunda kuendelea kumfanya kibogoyo maza kinacho fuatia ni makonde mpaka akili zimrudi
Akimuua ndo utaongeaa huu ujinga vizuri
Sio sahihi kabisa kupiga baba yako,angewaamua tu lakini sio.kumpigaJamaa mmoja mtu mzima na familia yake ana wazazi wake ambao wako above 60. Sasa dingi yake akajitia ukidume kumpiga mama yake mbele ya jamaa. Jamaa akaingilia na kumtwanga baba yake, akimkunja chini. Hili suala ni sahihi? Baba yako akimpiga mama yako mbele yako unaweza ungilia kupigana na dingi?
Hama kwenu haraka hizo laana unazitafuta iweje matusi yakukele wewe namamako hayamkeri mana yangemkera angeshavunja ndoa tangu enz zaujanaMzee wangu anapigo kama hizo sema yeye matusi makubwa anamtukana maza ila yeye ni mtu wa pombe chakari,huwaga najibizana naye tu kumtisha na kumpa biti sijawahi kumpiga ila anakera Sana usiombe yakutokee ktka familia Yako.Yani matusi ya nguoni anayotokukana kila mtu anasikia yaacheni, Mambo mengine huwezi pata laana ila usimpige ila mchimbie mikwara tu kama huyu wangu hadi anaogopa anaona nitampiga kumbe simpigi
Chanzo ni umasikini
Vipi baba wa kambo ambaye mama yako naye ni mke na babe wake?Huyu unaemwita mama mwenzio anamwita mke au baby wake nawamejuana kitambo kabla hujazaliwa sasa usimpangie mtu maisha nampenz wake kaa pemben au nenda kwamkeo
Wachaga wa RomboKabila gani hao kwanza
Mke alichepuka kidogomIaka 60 wanagombana?
Oa na wewe acha ujingaJamaa mmoja mtu mzima na familia yake ana wazazi wake ambao wako above 60. Sasa dingi yake akajitia ukidume kumpiga mama yake mbele ya jamaa. Jamaa akaingilia na kumtwanga baba yake, akimkunja chini. Hili suala ni sahihi? Baba yako akimpiga mama yako mbele yako unaweza ungilia kupigana na dingi?
😂😂......hata fluids hazipo.Mke alichepuka kidogo
Wacuba huchukua waalimu chuo cha TibeliMkuu Uliwahi kuwa mwalimu Cuba?
Amna hata akikudunda bado hatojiskia vizuri wewe kumtunishia kifua.Unakuwa umemtoa uanaume siyo!?