Ni sahihi kumpa kichapo dingi iwapo anampiga mama?

Ni kujitahidi kuacha malumbano na ngumi mbele za watoto tu mkuu hakuna namna nyingine.
 
Mzee wangu anapigo kama hizo sema yeye matusi makubwa anamtukana maza ila yeye ni mtu wa pombe chakari,huwaga najibizana naye tu kumtisha na kumpa biti sijawahi kumpiga ila anakera Sana usiombe yakutokee ktka familia Yako.Yani matusi ya nguoni anayotokukana kila mtu anasikia yaacheni, Mambo mengine huwezi pata laana ila usimpige ila mchimbie mikwara tu kama huyu wangu hadi anaogopa anaona nitampiga kumbe simpigi
 
Ila hao watoto kumpiga baba yao badala ya kuamulia ugomvi sio Domestic violence ni international violence si ndio?!
Mjomba kibaka kudhuru au kuua mtu kwa sababu yoyote ile ni kosa, ila hakimu kufunga au kunyonga huyo kibaka siyo kosa, kama haujaelewa soma tena
 
Stori za vijiweni. Pia sijasema mimi ndiyo nataka kuchukua hiyo hatua.
 
Anatandikwa tu akileta upuuzi wazazi wenye kujitambua hawakwaruzani mbele ya macho ya watoto kama ugomvi ameshindwa kuuacha baada ya kuamuliwa na kujifanya nunda kuendelea kumfanya kibogoyo maza kinacho fuatia ni makonde mpaka akili zimrudi
Safi.
 
Vipi baba yako wa kambo akinyimwa utelezi na mama yako halafu akaanza kumpiga? Au hili ni kwa baba mzazi tu!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…