Ni sahihi kumpa kichapo dingi iwapo anampiga mama?

Funzo kabisa hili.
 
Anatandikwa tu akileta upuuzi wazazi wenye kujitambua hawakwaruzani mbele ya macho ya watoto kama ugomvi ameshindwa kuuacha baada ya kuamuliwa na kujifanya nunda kuendelea kumfanya kibogoyo maza kinacho fuatia ni makonde mpaka akili zimrudi
Huyu unaemwita mama mwenzio anamwita mke au baby wake nawamejuana kitambo kabla hujazaliwa sasa usimpangie mtu maisha nampenz wake kaa pemben au nenda kwamkeo
 
huyo mzee kwanza hana adabu wala busara,....suala la mzee kupigwa alistahili kabisaaaa....
 
Sio sahihi kabisa kupiga baba yako,angewaamua tu lakini sio.kumpiga
 
Hama kwenu haraka hizo laana unazitafuta iweje matusi yakukele wewe namamako hayamkeri mana yangemkera angeshavunja ndoa tangu enz zaujana
 
Huyu unaemwita mama mwenzio anamwita mke au baby wake nawamejuana kitambo kabla hujazaliwa sasa usimpangie mtu maisha nampenz wake kaa pemben au nenda kwamkeo
Vipi baba wa kambo ambaye mama yako naye ni mke na babe wake?
 
Oa na wewe acha ujinga
 
Kwenye hili epuka Sana laana ya mshua. Sisi alikua alikua anawapiga kweli.. tulikua tunakaa mbali Sana na huo ugomvi. Sasa siku Moja kaka akijitia kiherere chake kuingilia ugomvi. Mzee akaitisha kikao akasema mke anamnyimba unyumba ndo maana amapiga.

Tangu siku hiyo Kila Mtoto alikaa mbali na huo ugomvi. Ila Leo wanapendana mno na wake zake. Kaka Tena akalianzisha siku nyingine Tena. Mzee hakuongea kitu. Ila had Leo kaka alishaishia kwenye ulevy wa pombe. Laana ya Mzee kaa nayo mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…