khaligraph
JF-Expert Member
- Nov 19, 2016
- 1,141
- 1,057
Fanya kumwambia tuone nn kitatokea. Nataka kujifunza kitu hapa [emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unataka mwenzio achezee kichapo Cha mbwa mwitu...[emoji1787][emoji1787]Fanya kumwambia tuone nn kitatokea. Nataka kujifunza kitu hapa [emoji1]
🙁🙁🙁 .. huu ni ukweli mchungu sana, tuishi nao tu mkuu, maana hakuna namna maisha ya sasa hivi watu hawaoni tena thamani ya kuficha tupu zao.. kuna ile mtu anatembea mahala anakuwa kama yupo uchi tu 😅😅Ukweli ndio huo, siku hizi binti akifika 22yrs ashaliwa sana yani.
Kwa taarifa ya wanaume wote humu.
Ukiona binti singo au hajaolewa anaposti msosi mkali ujue baada ya kula kaliwa🤣🤣🤣🤣
Akiposti location kali ujue mwamba ndio kamfotoa.
Yaani kibongo bongo binti hadi aolewa katumika sana tena katumiwa na wazee rika la babako.
5% angalau wao walijitunza😁😁😁
Mkichukia niueni
Ushimen ERoni National Anthem