Ukweli ndio huo, siku hizi binti akifika 22yrs ashaliwa sana yani.
Kwa taarifa ya wanaume wote humu.
Ukiona binti singo au hajaolewa anaposti msosi mkali ujue baada ya kula kaliwa🤣🤣🤣🤣
Akiposti location kali ujue mwamba ndio kamfotoa.
Yaani kibongo bongo binti hadi aolewa katumika sana tena katumiwa na wazee rika la babako.
5% angalau wao walijitunza😁😁😁
Mkichukia niueni
Ushimen ERoni National Anthem