Ni sahihi kumuacha Mkeo aparangane na biashara za masafa ya Mbali?

Ni sahihi kumuacha Mkeo aparangane na biashara za masafa ya Mbali?

Nimekutana nao wakiwa na magari ya ndizi wakitoka Sokoni mwika na kupeleka mabibo.
Aisee wale wamama wanapiga kazi.
Fikiria wanakodisha garia mizigo kubwa lile tandam au fuso wanatoa ndizi Moshi mizigo ya njiani yote inayoenda sokoni mabibo ilala tandika wanapitia.
Kuna mmoja ni fuso yake kabisa.
Huyu aliniinspire sana kama yeye anamiliki fuso na anasafiri na kukesha njiani mimi ni nani mpaka nishindwe?

Halafu kuna siku mmoja kaanza safari kafika katikati ya safari mume wake akampigia.
Hakupokea sababu alikuwa hajamuaga.
Ikabidi aghairi safari na kuacha dereva na tanboy wapeleke mzigo Dar yeye ageuze Moshi kwenda kuomba msamaha kwa mumewe kwa kuondoka bila kuaga.

Heshima kuliwa ni tabia ya mtu.
Kwa nature ya kazi zao kufata mazao au mizigo ya biashara mara nyingi ni kusafiri sana na kupanda magari ya mizigo wanachoka huo mda wa kuliwa na wengine unatoka wapi? Akipumzika anahudumia familia yake na mume.
 
Shida ipo wapi boss unamruhusu tu kwani hautaki wadau wengine nao waonje mema ya nchi?
Halafu si big issue kwa kuwa hawaondoki nayo mkuu ila mshauri tu atumie condom au kabla , wapime kabisa na huyo mtu watakayepatana.
Na nyongeza wachunge mimba tu .

N.b
Sijaoa na wala sina mpango huo .
 
Hofu ama wasiwasi hapa ni nini? Kipi kiwe tatizo lenye upekee kwamba aina hio ya tatizo lisitokee pasipo kusafiri? Nikipata jibu ntarudi na hoja
 
😁😁
Nimekutana nao wakiwa na magari ya ndizi wakitoka Sokoni mwika na kupeleka mabibo.
Aisee wale wamama wanapiga kazi.
Fikiria wanakodisha garia mizigo kubwa lile tandam au fuso wanatoa ndizi Moshi mizigo ya njiani yote inayoenda sokoni mabibo ilala tandika wanapitia.
Kuna mmoja ni fuso yake kabisa.
Huyu aliniinspire sana kama yeye anamiliki fuso na anasafiri na kukesha njiani mimi ni nani mpaka nishindwe?

Halafu kuna siku mmoja kaanza safari kafika katikati ya safari mume wake akampigia.
Hakupokea sababu alikuwa hajamuaga.
Ikabidi aghairi safari na kuacha dereva na tanboy wapeleke mzigo Dar yeye ageuze Moshi kwenda kuomba msamaha kwa mumewe kwa kuondoka bila kuaga.

Heshima kuliwa ni tabia ya mtu.
Kwa nature ya kazi zao kufata mazao mara nyingi ni kusafiri sana na kupanda magari ya mizigo wanachoka huo mda wa kuliwa na wengine unatoka wapi? Akipumzika anahudumia familia yake na mume.
Maza angu mie ni mwinjilist..basi wanakawaida ya kwenda kuhubiri Sana .bas Kuna siku tukaamua kumpa makavu maza ..tukamwambia unasafiri Sana na dini yenu hiyo kaa upumzike kwani unakosa nini kwa baba? Akaenda mwambia baba ..ahhahaa
Baba aliniambia hivi;mie ndo nabarikiwa kwenye kazi zangu nazofanya kupitia mahubiri anayofanya mama yenu so stop nonsense! Kutoka siku ile tulifunga midomo!
Same Applied kwangu...!
Kuna kipindi unachoka Sana akili na mwili..lakini huyo huyo waja wanaemhofia ndo anakupa hopes!.aibu zao!
Hakunaga formula kwenye ndoa...hakunaga formula kwenye maisha! Never!
Kuna wamama wako late 50 lakini unamkuta ana matendo ya ajabu Kama yuko early 20s! Na kinyume chake pia!
Kuna siku mshikaji aliniambia...dogo bila wewe kuhuslte naamini ningehama mji.ile sentensi iliniuma...!
Siko hapa kujitetea...au kumfurahisha mtu ..coz not everybody don't deserve my time ..! Kama akili imetulia na una nafasi fanya unachotaka!
Nadhani we ni mwanamke...hakuna popte pale tunapoweza sema anayebak hm ndo hafany ujinga ..!..mie Kama starehe nazijua..sijaona mpya aisee!..Kama ningekuwa nasema nafanya biashara kumbe napitia kivuli bas ningekuwa leo Niko dar .nxt month Niko Kigali..au ningekuwa narudi Pale msamv nadrop alfjir then naruka majoka starpack til monie! Sina hata akili hiyo!
Kila Safari zangu jamaa anazijua ..sijawah hata jiamlia tu from nowea nianze Safari bila kumshirikisha..no never! Kwanza naamini ukifanya biashara bila mwenzako kuridhika Mambo huwa hayamove!
Ukijiamini kwanza ww mwenyew ni dawa tosha! Ni move kubwa Sana!
Naungana na yule anayesema amemruhusu mkewe afanye biashara ila kila mwisho wa mwaka Kodi inatoka kwa mfuko wa mume au hata hela anayopata haionekani inaenda wap..huyo ndo anashida!
Apart from this nna amani na furaha Kwasababu nimejikuta nakutana na watu ambao sikuwah kuwafikiria ninaaminika na watu kuliko hata navyojiamini mm... wananiamini pia nakuwa reference kwa wake zao .. kuishi kwa kutegemea mkono wa mtu unahutaji maagano na Mungu
Naamini nitafika mbali zaidi!
Mungu anipe tu pumzi!
 
Hata usipo mruhusu na yeye ana Uhuru kujiamulia maisha yake na kujitaftia kipato, Zama zimebadilika sioni shida kabisa, kuliko kukaa nyumbani umfuraishe mume kuwa na hela yako kwa mwanamke Kuna raha yake sio kila siku kuomba pia inakuongezea confidence
 
Nimekutana nao wakiwa na magari ya ndizi wakitoka Sokoni mwika na kupeleka mabibo.
Aisee wale wamama wanapiga kazi.
Fikiria wanakodisha garia mizigo kubwa lile tandam au fuso wanatoa ndizi Moshi mizigo ya njiani yote inayoenda sokoni mabibo ilala tandika wanapitia.
Kuna mmoja ni fuso yake kabisa.
Huyu aliniinspire sana kama yeye anamiliki fuso na anasafiri na kukesha njiani mimi ni nani mpaka nishindwe?

Halafu kuna siku mmoja kaanza safari kafika katikati ya safari mume wake akampigia.
Hakupokea sababu alikuwa hajamuaga.
Ikabidi aghairi safari na kuacha dereva na tanboy wapeleke mzigo Dar yeye ageuze Moshi kwenda kuomba msamaha kwa mumewe kwa kuondoka bila kuaga.

Heshima kuliwa ni tabia ya mtu.
Kwa nature ya kazi zao kufata mazao mara nyingi ni kusafiri sana na kupanda magari ya mizigo wanachoka huo mda wa kuliwa na wengine unatoka wapi? Akipumzika anahudumia familia yake na mume.
Wanawake wa huko wanapiga kazi na wanaume walishazoea ni kawaida Sana hata kuchepuka sidhani maana wako busy Sana plus kuchoka.
Na hamna kitu mbaya ka mtu kukaa sehemu moja lazima awaze mengi
 
Hata usipo mruhusu na yeye ana Uhuru kujiamulia maisha yake na kujitaftia kipato, Zama zimebadilika sioni shida kabisa, kuliko kukaa nyumbani umfuraishe mume kuwa na hela yako kwa mwanamke Kuna raha yake sio kila siku kuomba pia inakuongezea confidence
Hii ya confidence ni kweli!
Ila Kuna watu wameridhika na Hali zao...wengine wamekata tamaa ndo unaona povu tu kila sehemu!
Ukiamua unaweza!
 
😁😁

Maza angu mie ni mwinjilist..basi wanakawaida ya kwenda kuhubiri Sana .bas Kuna siku tukaamua kumpa makavu maza ..tukamwambia unasafiri Sana na dini yenu hiyo kaa upumzike kwani unakosa nini kwa baba? Akaenda mwambia baba ..ahhahaa
Baba aliniambia hivi;mie ndo nabarikiwa kwenye kazi zangu nazofanya kupitia mahubiri anayofanya mama yenu so stop nonsense! Kutoka siku ile tulifunga midomo!
Same Applied kwangu...!
Kuna kipindi unachoka Sana akili na mwili..lakini huyo huyo waja wanaemhofia ndo anakupa hopes!.aibu zao!
Hakunaga formula kwenye ndoa...hakunaga formula kwenye maisha! Never!
Kuna wamama wako late 50 lakini unamkuta ana matendo ya ajabu Kama yuko early 20s! Na kinyume chake pia!
Kuna siku mshikaji aliniambia...dogo bila wewe kuhuslte naamini ningehama mji.ile sentensi iliniuma...!
Siko hapa kujitetea...au kumfurahisha mtu ..coz not everybody don't deserve my time ..! Kama akili imetulia na una nafasi fanya unachotaka!
Nadhani we ni mwanamke...hakuna popte pale tunapoweza sema anayebak hm ndo hafany ujinga ..!..mie Kama starehe nazijua..sijaona mpya aisee!..Kama ningekuwa nasema nafanya biashara kumbe napitia kivuli bas ningekuwa leo Niko dar .nxt month Niko Kigali..au ningekuwa narudi Pale msamv nadrop alfjir then naruka majoka starpack til monie! Sina hata akili hiyo!
Kila Safari zangu jamaa anazijua ..sijawah hata jiamlia tu from nowea nianze Safari bila kumshirikisha..no never! Kwanza naamini ukifanya biashara bila mwenzako kuridhika Mambo huwa hayamove!
Ukijiamini kwanza ww mwenyew ni dawa tosha! Ni move kubwa Sana!
Naungana na yule anayesema amemruhusu mkewe afanye biashara ila kila mwisho wa mwaka Kodi inatoka kwa mfuko wa mume au hata hela anayopata haionekani inaenda wap..huyo ndo anashida!
Apart from this nna amani na furaha Kwasababu nimejikuta nakutana na watu ambao sikuwah kuwafikiria ninaaminika na watu kuliko hata navyojiamini mm... wananiamini pia nakuwa reference kwa wake zao .. kuishi kwa kutegemea mkono wa mtu unahutaji maagano na Mungu
Naamini nitafika mbali zaidi!
Mungu anipe tu pumzi!
huku kwenye notification naona umekotiwa nikiingia huku naona Amu ndio kakotiwa, ID yangu imegeuka Amu aisee.
 
Hii ya confidence ni kweli!
Ila Kuna watu wameridhika na Hali zao...wengine wamekata tamaa ndo unaona povu tu kila sehemu!
Ukiamua unaweza!
Nime grow nikiona wamama wakipambana na kuchapa kazi wanaamka saa kumi usiku na wamejikwamua na umaskini, wamesomesha watoto wao shule nzuri, na Wana furaha tele Sasa nashangaa mpaka leo mwanaume anakataza mke kufanya kazi akihofia eti kuchepuka,mbona wao hawatulii.
Lazima watu wafanye kazi kutokomeza umaskini Mimi binafsi siwezi kutulia nyumbani eti mume hataki lazima nifanye kazi nihakikishe Ada nzuri inapatikana ya watoto ukichaganya na mume.
Ila hela sabuni ya roho huongeza confidence na kupunguza stress 95%
 
Hivi shoga yangu zile kazi zinavyochosha hata Nyege zinatokea wapi?

kwanza unapauka hata nuru hakuna unawaza costs Hasara
hela itarudije bado upate nafasi ya kuwaza kulana...
Ni kweli aisee, hata mtu akiliwa no problem
 
Wanaume wengi bado tuna mtazamo hasi juu ya wanawake na hii huwatesa wanaume tuliowengi, nimekutana na wanawake wengi mahustler na wanajielewa na wanatengeneza pesa ndefu kuliko kawaida na kitu watu hawaelewi hakuna connection ya biashara utaipata ukiwa umekaa home haipo, lazima uingie field ndio utajifunza mambo mengi
 
Ni asubuhi nyingine, matumaini ni kuwa mmeamka salama.

Je, ni sahihi kumuacha mkeo kufanya biashara ya kusafiri kwenda mbali kufuata mzigo au bidhaa akiwa mwenyewe? Mfano, mke kusafiri kwenda mikoani kununua mazao ya nafaka na kupeleka dar ambako anamuacha mme wake. Au kusafiri kwenda Dubai ,China au Nairobi kufuata mzigo wa kuuza kama nguo, Mikoba n mitumba, akakaa siku 2 mpaka week 1.

Je, Ina madhara kwa mahusiano?

Muhimu: Jumbe nazoweka hapa si lazima ziwe zinanigusa mimi moja kwa moja bali zitasaidia wengi wanaotaka kujua baadhi ya mambo

Britannica
Ni kosa kubwa sana, na kuuaibisha uana ume.

Wanaume haturuhusu hizi habari kwa wake zetu. Sababu katika wanaume kuna wanaume.

Ahsante
 
Hongera kwa wanawake wote wapambanaji, tuwape muda wafanye kazi wanazopenda bila kua na mitazamo hasi dhidi yao, kama anaenda kahama kuchukua mchele wa kupeleka Rwanda mruhusu, kama anaenda ifakara kuchukua mchele wa kupeleka sudani kusini mruhusu, kama anaenda malawi kuchukua karanga nyekundu akauze Uganda mpe ruhusa kikubwa biashara afanye na faida ionekane huku ukimshauri baadhi ya mambo kama kujali afya na usifanye kosa la kumruhusu na wewe ukae tu usubiri akilishe
 
Back
Top Bottom