Ni sahihi kumuacha Mkeo aparangane na biashara za masafa ya Mbali?

Ni sahihi kumuacha Mkeo aparangane na biashara za masafa ya Mbali?

Mimi Niko huru kwa mjadala wa wazi bila kujali hzo nyingine sijui kuolewa and wereva let's attack ideas and not personal issues.
Nilikuuliza kuhusu kuolewa, ili nikurudishe kwenye asili na nikukumbushe ya kuwa majukumu au haki si kwa kufanana bali haki ni kwa stahiki. Hapa ulitakiwa uelewe uzuri.
 
😁😁

Maza angu mie ni mwinjilist..basi wanakawaida ya kwenda kuhubiri Sana .bas Kuna siku tukaamua kumpa makavu maza ..tukamwambia unasafiri Sana na dini yenu hiyo kaa upumzike kwani unakosa nini kwa baba? Akaenda mwambia baba ..ahhahaa
Baba aliniambia hivi;mie ndo nabarikiwa kwenye kazi zangu nazofanya kupitia mahubiri anayofanya mama yenu so stop nonsense! Kutoka siku ile tulifunga midomo!
Same Applied kwangu...!
Kuna kipindi unachoka Sana akili na mwili..lakini huyo huyo waja wanaemhofia ndo anakupa hopes!.aibu zao!
Hakunaga formula kwenye ndoa...hakunaga formula kwenye maisha! Never!
Kuna wamama wako late 50 lakini unamkuta ana matendo ya ajabu Kama yuko early 20s! Na kinyume chake pia!
Kuna siku mshikaji aliniambia...dogo bila wewe kuhuslte naamini ningehama mji.ile sentensi iliniuma...!
Siko hapa kujitetea...au kumfurahisha mtu ..coz not everybody don't deserve my time ..! Kama akili imetulia na una nafasi fanya unachotaka!
Nadhani we ni mwanamke...hakuna popte pale tunapoweza sema anayebak hm ndo hafany ujinga ..!..mie Kama starehe nazijua..sijaona mpya aisee!..Kama ningekuwa nasema nafanya biashara kumbe napitia kivuli bas ningekuwa leo Niko dar .nxt month Niko Kigali..au ningekuwa narudi Pale msamv nadrop alfjir then naruka majoka starpack til monie! Sina hata akili hiyo!
Kila Safari zangu jamaa anazijua ..sijawah hata jiamlia tu from nowea nianze Safari bila kumshirikisha..no never! Kwanza naamini ukifanya biashara bila mwenzako kuridhika Mambo huwa hayamove!
Ukijiamini kwanza ww mwenyew ni dawa tosha! Ni move kubwa Sana!
Naungana na yule anayesema amemruhusu mkewe afanye biashara ila kila mwisho wa mwaka Kodi inatoka kwa mfuko wa mume au hata hela anayopata haionekani inaenda wap..huyo ndo anashida!
Apart from this nna amani na furaha Kwasababu nimejikuta nakutana na watu ambao sikuwah kuwafikiria ninaaminika na watu kuliko hata navyojiamini mm... wananiamini pia nakuwa reference kwa wake zao .. kuishi kwa kutegemea mkono wa mtu unahutaji maagano na Mungu
Naamini nitafika mbali zaidi!
Mungu anipe tu pumzi!
All the best madam
 
Hongera kwa wanawake wote wapambanaji, tuwape muda wafanye kazi wanazopenda bila kua na mitazamo hasi dhidi yao, kama anaenda kahama kuchukua mchele wa kupeleka Rwanda mruhusu, kama anaenda ifakara kuchukua mchele wa kupeleka sudani kusini mruhusu, kama anaenda malawi kuchukua karanga nyekundu akauze Uganda mpe ruhusa kikubwa biashara afanye na faida ionekane huku ukimshauri baadhi ya mambo kama kujali afya na usifanye kosa la kumruhusu na wewe ukae tu usubiri akilishe

Waambie hao! Yaani una watoto khs eti uanze kuhangaika na mapenzi? Kwanza mwanamke broke ni rahisi Sana kuhadaika ...yaan yule mwanamke akiiona 30 chupi inaloa...mke akiwa Ana utuliv financially ni rahis Sana kumanage family yake...! Sasa hata mchango wa harus uombe kwa mume .sijui vimichango vya jumuiya usubiri upewe!! Ndo maana tunadharaurikaga!
 
  • Thanks
Reactions: amu
Nafikiria nje ya mada while tuna discuss mada iliyopo mezani kwa sasa

Sasa kwanini ufikirie nje ya mada wakati ili ukidhi haja ya mada hutakiwi utoke nje ya mada, au huoni mara kadhaa huwa tunahimizana tujikite kwenye mada na tusitoke nje ya mada ? Au hili hujawahi kuliona ?
 
Sasa kwanini ufikirie nje ya mada wakati ili ukidhi haja ya mada hutakiwi utoke nje ya mada, au huoni mara kadhaa huwa tunahimizana tujikite kwenye mada na tusitoke nje ya mada ? Au hili hujawahi kuliona ?
Nilikwambia ujiongeze kwa mada husika na sio kutoka kwa mada Sasa hyo nikuanza kufikiria nadharia zisizo na mashiko
 
Kwa mwanaume anaejielewa hawezi kufanya upuuzi huo hata kama anamuhisi mke wake ni kama Malaika kwamba hafanyi dhambi
 
Nilikuuliza kuhusu kuolewa, ili nikurudishe kwenye asili na nikukumbushe ya kuwa majukumu au haki si kwa kufanana bali haki ni kwa stahiki. Hapa ulitakiwa uelewe uzuri.
Unirudishe kwenye asili ipi mfano maana ndoa ni uamuzi wa mtu na sio lazima useme mtu akikosa anakufa hapo ungesema ni asili kwa vile kitu kipo ni necessary but not important kwanini kiwe asili. Maana nature huji shape yenyewe lakini sio kitu ukikosa ka chakula unakufa.
 
Ukisoma historia,unajua ya kuwa kuliwahi kuwepo kipindi ambacho mwanamke alikuwa na wanaume kadhaa, kisha akipata ujauzito anamchagua mwenye nguvu au kipato zaidi ya mwengine kisha anampa mtoto, yaani anamuambia huyu mtoto ni wako ?

Shida iko moja, mwanamke hajawahi kukatazwa kumiliki mali, ila ana mipaka ya kutafuta mali kulingana na silika yake, nafasi yake, umuhimu wake. Tatizo kubwa ni kuwa mwalimu wenu aliwafundisha ya kuwa siku zote lazima ushindane na sisi ndiyo utusue na kuwa chini yetu ni UTUMWA. Lakini ukweli ulivyo hakuna zama ambazo mwanamke hakuwahi kuwa mtumwa kuzidi zama hizi, mifano iko mingi sana.
Hyo mipaka ya kutafta Mali kwa mwanamke iliandikwa na Nani na ni Sheria gani mfano za Tanzania zimemuwekea mipaka mwanamke juu ya utaftaji?
 
Nilikwambia ujiongeze kwa mada husika na sio kutoka kwa mada Sasa hyo nikuanza kufikiria nadharia zisizo na mashiko
Si kweli, nimeandika kwa mujibu wa kile ulichokiandika, kama unakusudia hiki ulichokiandika sasa, basi vyema sana, rudi katika katika ile kazi niliyo kupa ya kufikiri nje ya box kulingana na hii mada, tuone unafikiria vipi nje ya box.
 
[emoji16][emoji16]

Maza angu mie ni mwinjilist..basi wanakawaida ya kwenda kuhubiri Sana .bas Kuna siku tukaamua kumpa makavu maza ..tukamwambia unasafiri Sana na dini yenu hiyo kaa upumzike kwani unakosa nini kwa baba? Akaenda mwambia baba ..ahhahaa
Baba aliniambia hivi;mie ndo nabarikiwa kwenye kazi zangu nazofanya kupitia mahubiri anayofanya mama yenu so stop nonsense! Kutoka siku ile tulifunga midomo!
Same Applied kwangu...!
Kuna kipindi unachoka Sana akili na mwili..lakini huyo huyo waja wanaemhofia ndo anakupa hopes!.aibu zao!
Hakunaga formula kwenye ndoa...hakunaga formula kwenye maisha! Never!
Kuna wamama wako late 50 lakini unamkuta ana matendo ya ajabu Kama yuko early 20s! Na kinyume chake pia!
Kuna siku mshikaji aliniambia...dogo bila wewe kuhuslte naamini ningehama mji.ile sentensi iliniuma...!
Siko hapa kujitetea...au kumfurahisha mtu ..coz not everybody don't deserve my time ..! Kama akili imetulia na una nafasi fanya unachotaka!
Nadhani we ni mwanamke...hakuna popte pale tunapoweza sema anayebak hm ndo hafany ujinga ..!..mie Kama starehe nazijua..sijaona mpya aisee!..Kama ningekuwa nasema nafanya biashara kumbe napitia kivuli bas ningekuwa leo Niko dar .nxt month Niko Kigali..au ningekuwa narudi Pale msamv nadrop alfjir then naruka majoka starpack til monie! Sina hata akili hiyo!
Kila Safari zangu jamaa anazijua ..sijawah hata jiamlia tu from nowea nianze Safari bila kumshirikisha..no never! Kwanza naamini ukifanya biashara bila mwenzako kuridhika Mambo huwa hayamove!
Ukijiamini kwanza ww mwenyew ni dawa tosha! Ni move kubwa Sana!
Naungana na yule anayesema amemruhusu mkewe afanye biashara ila kila mwisho wa mwaka Kodi inatoka kwa mfuko wa mume au hata hela anayopata haionekani inaenda wap..huyo ndo anashida!
Apart from this nna amani na furaha Kwasababu nimejikuta nakutana na watu ambao sikuwah kuwafikiria ninaaminika na watu kuliko hata navyojiamini mm... wananiamini pia nakuwa reference kwa wake zao .. kuishi kwa kutegemea mkono wa mtu unahutaji maagano na Mungu
Naamini nitafika mbali zaidi!
Mungu anipe tu pumzi!
I like ur spirit
 
Wanawake wa huko wanapiga kazi na wanaume walishazoea ni kawaida Sana hata kuchepuka sidhani maana wako busy Sana plus kuchoka.
Na hamna kitu mbaya ka mtu kukaa sehemu moja lazima awaze mengi
Sana aiseeee.
Wanapiga kazi mno. Yaani wanapiga kazi mno.
 
Si kweli, nimeandika kwa mujibu wa kile ulichokiandika, kama unakusudia hiki ulichokiandika sasa, basi vyema sana, rudi katika katika ile kazi niliyo kupa ya kufikiri nje ya box kulingana na hii mada, tuone unafikiria vipi nje ya box.
Maana yake umecremisha Mambo ya kale ambayo sio applicable kwa dunia ya leo, mfano utembee kwa miguu instead of using car, au ndege.
 
Unirudishe kwenye asili ipi mfano maana ndoa ni uamuzi wa mtu na sio lazima useme mtu akikosa anakufa hapo ungesema ni asili kwa vile kitu kipo ni necessary but not important kwanini kiwe asili. Maana nature huji shape yenyewe lakini sio kitu ukikosa ka chakula unakufa.
Nikurudishe katika asili ya kuwa mwanaume na mwanamke hawako sawa kimaumbile mpaka katika haki. Na asili ni wewe kuletewa na si kuleta, mpaka ipatikane dharura ya wewe kuleta, ila ikiondoka hiyo dharura hutakiwi kuleta.

Kisha tuje kuangalia athari zinazo tokana na wewe kutaka kuwa sawa na sisi.
 
Hyo mipaka ya kutafta Mali kwa mwanamke iliandikwa na Nani na ni Sheria gani mfano za Tanzania zimemuwekea mipaka mwanamke juu ya utaftaji?
Kabla sijakujibu swali lako ambalo ni zuri sana,naomba unijibu swali hili,serikali ya tanzia ipo katika misingi gani ? Je inatumia vigezo gani kutambua haki ya mtu au haki ya jinsi fulani ni ipi ?

Kisha kwa upole kabisa nitakuja kukuelezea au kujibi swali lako, lengo ni kuweza kuelewana kwa wepesi.
 
Ndiyo maana nikasema katika wanaume kuna wanaume, wanaume sisi ndiyo tunajukumu la kutafuta siyo mwanamke, sasa kama unaleta hofu ya mambo ambayo yako nje ya uwezo wako na si kazi yako, athari yake ni kuja kumtegemea mwanamke akuletee hela kwa kisingizio kwamba mnatafuta wote, hili halipo na ujinga huu umekuja zama hizi,mwisho wa siku mnafanya kazi mara mbili,ya kwanza ni hii na ya pili nitaisema ikibidi.
mkuu hayo mawazo yako yamepitwa na wakati sio wanaume tu wenye jukumu la kutafuta,hata wanawake siku hizi wana hustle sana tu na wanamafanikio kuliko hata wanaume..na nimegundua siku hizi mwanaume ukitaka ufanikiwe kwenye biashara jenga ukaribu wa wanawake wenye connection na biashara wanaweza kukupa mawazo mazuri na wanazijua vizuri biashara mbalimbali hata usizowazania...mwanamke akishakuwa hustler mwogope sana huwa wanakuwa hustlers kwelikweli hawatanii...nimeona hata humu jf skuhz wanawake ndo wanafunguka vizuri zaidi kuhusu details za biashara mbalimbali kuliko hata wanaume..tembelea jukwaa la ujasiriamali na biashara usome kila comment ndo utaelewa vizuri hichi nachozungumza
 
Nikurudishe katika asili ya kuwa mwanaume na mwanamke hawako sawa kimaumbile mpaka katika haki. Na asili ni wewe kuletewa na si kuleta, mpaka ipatikane dharura ya wewe kuleta, ila ikiondoka hiyo dharura hutakiwi kuleta.

Kisha tuje kuangalia athari zinazo tokana na wewe kutaka kuwa sawa na sisi.
Hyo ya kutokuwa sawa ni bilogical make-up tu and has nothing to do nakufanya kazi ili kujipatia maendeleo, na pia mwanamke kusoma na kujipatia maendeleo hashindani na mwanaume hizo ni perception zetu tu hamtaki kukubali kuwa Mambo yame change na kusingizia tunashindana.
Wanawake tunapambana na umaskini na kujikwamua kiuchumi nyie Bakini na nafasi na nyimbo za uanaume wenu sie twasonga mbele.
 
Hivi shoga yangu zile kazi zinavyochosha hata Nyege zinatokea wapi?

kwanza unapauka hata nuru hakuna unawaza costs Hasara
hela itarudije bado upate nafasi ya kuwaza kulana...
Risks nyingi sana kichwa hakitulii unapanga na kupangua hewani.
Halafu lijitu linawaza eti utaliwa.
Mambo ya ajabu mno.
 
Back
Top Bottom