Ni sahihi kumuacha Mkeo aparangane na biashara za masafa ya Mbali?

Ni sahihi kumuacha Mkeo aparangane na biashara za masafa ya Mbali?

Ni kosa kubwa sana, na kuuaibisha uana ume.

Wanaume haturuhusu hizi habari kwa wake zetu. Sababu katika wanaume kuna wanaume.

Ahsante
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole jurjan hicho kipimo chako Cha uanaume ni Cha sayari ya Jupiter.
 
  • Thanks
Reactions: amu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole jurjan hicho kipimo chako Cha uanaume ni Cha sayari ya Jupiter.
Umeolewa bibie ?

Inaonekana huujui uanaume bibie, sasa sisi wanaume ndiyo tunakwambia,unachotakiwa wewe kuuliza swali au kujenga hoja.
 
Ni kosa kubwa sana, na kuuaibisha uana ume.

Wanaume haturuhusu hizi habari kwa wake zetu. Sababu katika wanaume kuna wanaume.

Ahsante

Mkuu uko mbali na dunia ya utafutaji au labda utakua ushafika mwisho wa kutafuta,
 
Umeolewa bibie ?

Inaonekana huujui uanaume bibie, sasa sisi wanaume ndiyo tunakwambia,unachotakiwa wewe kuuliza swali au kujenga hoja.
Uanaume has nothing to do with my life hyo ni jinsia ka jinsia nyingine tu za ku pee basi.
 
Mkuu uko mbali na dunia ya utafutaji au labda utakua ushafika mwisho wa kutafuta,
Ndiyo maana nikasema katika wanaume kuna wanaume, wanaume sisi ndiyo tunajukumu la kutafuta siyo mwanamke, sasa kama unaleta hofu ya mambo ambayo yako nje ya uwezo wako na si kazi yako, athari yake ni kuja kumtegemea mwanamke akuletee hela kwa kisingizio kwamba mnatafuta wote, hili halipo na ujinga huu umekuja zama hizi,mwisho wa siku mnafanya kazi mara mbili,ya kwanza ni hii na ya pili nitaisema ikibidi.
 
Uanaume has nothing to do with my life hyo ni jinsia ka jinsia nyingine tu za ku pee basi.

Nacheka sana, kama ni jinsia kama jinsia nyingine, wewe kuwa mwanaume.

Unajua sisi tulipewa akili na ala za kutusaidia kupata maarifa na kujua lipi baya na lipi zuri, sasa hatua ya kwanza tu ulitakiwa kujua, hivi kwanini kuna jinsia mbili tofauti, na kwanini wewe umekuwa mwanamke, siyo kwa bahati mbaya na si jukumu lako hilo, tatizo huwa mnajifanya wajuaji na kuruka mambo mengi.

Kuna swali moja rahisi huko juu, nimekuuliza lakini ajabu hujajibu.
 
Nacheka sana, kama ni jinsia kama jinsia nyingine, wewe kuwa mwanaume.

Unajua sisi tulipewa akili na ala za kutusaidia kupata maarifa na kujua lipi baya na lipi zuri, sasa hatua ya kwanza tu ulitakiwa kujua, hivi kwanini kuna jinsia mbili tofauti, na kwanini wewe umekuwa mwanamke, siyo kwa bahati mbaya na si jukumu lako hilo, tatizo huwa mnajifanya wajuaji na kuruka mambo mengi.

Kuna swali moja rahisi huko juu, nimekuuliza lakini ajabu hujajibu.
Na wewe kuwa mwanamke basi ka unaweza umesema wewe ni mwanaume una akili lakini hata swala dogo hili la mada tu linakushinda unafikiria tu ndani ya box inasikitisha Sana hata hao wako zako wameolewa na mwanaume mzigo.

Eti unajua tulipewa akili, mbona viumbe vyote Hadi chura vimepewa akili kulingana na mazingira ili ku balance nature?
 
Ndiyo maana nikasema katika wanaume kuna wanaume, wanaume sisi ndiyo tunajukumu la kutafuta siyo mwanamke, sasa kama unaleta hofu ya mambo ambayo yako nje ya uwezo wako na si kazi yako, athari yake ni kuja kumtegemea mwanamke akuletee hela kwa kisingizio kwamba mnatafuta wote, hili halipo na ujinga huu umekuja zama hizi,mwisho wa siku mnafanya kazi mara mbili,ya kwanza ni hii na ya pili nitaisema ikibidi.
Sasa sikuhizi wanawake tumepindua meza kuzaa tunazaa na hela tunatafta hatutaki utumwa kabisa
 
Na wewe kuwa mwanamke basi ka unaweza umesema wewe ni mwanaume una akili lakini hata swala dogo hili la mada tu linakushinda unafikiria tu ndani ya box inasikitisha Sana hata hao wako zako wameolewa na mwanaume mzigo.
Siwezi kuwa mwanamke sababu umbile nililo umbwa kwalo ni bora zaidi kwangu na hakuna kinyume chake, na umbile lako wewe la kike kwako ni bora zaidi. Hapa akili iliyo salama, inaoba kabisa ya kuwa kuna utofauti wa kiumbile kati ya mwanaume na mwanamke, na lazima majukumu yawe tofauti, kiasili sisi wanaume tumeumbwa katika umbile la ukakamavu, ujasiri na kuhimili mikiki, na nyinyi ni kinyume chake.

Ila sisi sote mbele ya aliye tuumba ubora wetu huangaliwa katika matendo mema tu.

Kuna siku nilikuuliza ubiambie kufikiri nje ya box, kukoje na kunataka nini, lakini kama kawaida yako huwa hujibu maswali unayoulizwa zaidi ya kujihami, hili tatizo na linadhihirisha uanamke wako.

Ama kuhusu mimi kuwa mzigo, hili huwezi kulithibitisha mpaka unakufa, zaidi ya wanao weza kuthibitisha hili ni wake zangu, haya ndiyo matatizo ya ujuaji ukiwa mwingi, lazima uonekane mjinga.
 
Siwezi kuwa mwanamke sababu umbile nililo umbwa kwalo ni bora zaidi kwangu na hakuna kinyume chake, na umbile lako wewe la kike kwako ni bora zaidi. Hapa akili iliyo salama, inaoba kabisa ya kuwa kuna utofauti wa kiumbile kati ya mwanaume na mwanamke, na lazima majukumu yawe tofauti, kiasili sisi wanaume tumeumbwa katika umbile la ukakamavu, ujasiri na kuhimili mikiki, na nyinyi ni kinyume chake.

Ila sisi sote mbele ya aliye tuumba ubora wetu huangaliwa katika matendo mema tu.

Kuna siku nilikuuliza ubiambie kufikiri nje ya box, kukoje na kunataka nini, lakini kama kawaida yako huwa hujibu maswali unayoulizwa zaidi ya kujihami, hili tatizo na linadhihirisha uanamke wako.

Ama kuhusu mimi kuwa mzigo, hili huwezi kulithibitisha mpaka unakufa, zaidi ya wanao weza kuthibitisha hili ni wake zangu, haya ndiyo matatizo ya ujuaji ukiwa mwingi, lazima uonekane mjinga.
Think outside box Yani think beyond na chambua Jambo lolote bila kuwa bias, kuwa na exposure ya hyo kitu, learn from other's that's what I meant.
 
Ni asubuhi nyingine, matumaini ni kuwa mmeamka salama.

Je, ni sahihi kumuacha mkeo kufanya biashara ya kusafiri kwenda mbali kufuata mzigo au bidhaa akiwa mwenyewe? Mfano, mke kusafiri kwenda mikoani kununua mazao ya nafaka na kupeleka dar ambako anamuacha mme wake. Au kusafiri kwenda Dubai ,China au Nairobi kufuata mzigo wa kuuza kama nguo, Mikoba n mitumba, akakaa siku 2 mpaka week 1.

Je, Ina madhara kwa mahusiano?

Muhimu: Jumbe nazoweka hapa si lazima ziwe zinanigusa mimi moja kwa moja bali zitasaidia wengi wanaotaka kujua baadhi ya mambo

Britannica
Hapo lazima ugongewe tu
 
Think outside box Yani think beyond na chambua Jambo lolote bila kuwa bias, kuwa na exposure ya hyo kitu, learn from other's that's what I meant.
Safi kabisa, leo tukienda kwa mtindo tunaweza kufikia muafaka, japokuwa muafaka siyo lengo, ila lengo ni kuelezana ukweli.

Naomba ufikirie nje ya box juu ya jambo hili ambalo amelisema nje ya mada, kisha nitakuonyesha wapi ulipo paacha, na nina jua kabisa lazima utapaacha.
 
Safi kabisa, bado unataka tuendelee na mjadala ?
Mimi Niko huru kwa mjadala wa wazi bila kujali hzo nyingine sijui kuolewa and wereva let's attack ideas and not personal issues.
 
Safi kabisa, leo tukienda kwa mtindo tunaweza kufikia muafaka, japokuwa muafaka siyo lengo, ila lengo ni kuelezana ukweli.

Naomba ufikirie nje ya box juu ya jambo hili ambalo amelisema nje ya mada, kisha nitakuonyesha wapi ulipo paacha, na nina jua kabisa lazima utapaacha.
Nafikiria nje ya mada while tuna discuss mada iliyopo mezani kwa sasa
 
Sasa sikuhizi wanawake tumepindua meza kuzaa tunazaa na hela tunatafta hatutaki utumwa kabisa
Ukisoma historia,unajua ya kuwa kuliwahi kuwepo kipindi ambacho mwanamke alikuwa na wanaume kadhaa, kisha akipata ujauzito anamchagua mwenye nguvu au kipato zaidi ya mwengine kisha anampa mtoto, yaani anamuambia huyu mtoto ni wako ?

Shida iko moja, mwanamke hajawahi kukatazwa kumiliki mali, ila ana mipaka ya kutafuta mali kulingana na silika yake, nafasi yake, umuhimu wake. Tatizo kubwa ni kuwa mwalimu wenu aliwafundisha ya kuwa siku zote lazima ushindane na sisi ndiyo utusue na kuwa chini yetu ni UTUMWA. Lakini ukweli ulivyo hakuna zama ambazo mwanamke hakuwahi kuwa mtumwa kuzidi zama hizi, mifano iko mingi sana.
 
Back
Top Bottom