mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
vunga bro😬Au ndo I'll ambiwa huna mbele Wala nyuma, Kama mche wa sabuni😂🤣🤣
nikiongea mwenye uzi akija kuona atakua ananisema sema😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vunga bro😬Au ndo I'll ambiwa huna mbele Wala nyuma, Kama mche wa sabuni😂🤣🤣
Kaka we tema hizo cheche, ili virgi nipate hints 😂🤣🤣vunga bro😬
nikiongea mwenye uzi akija kuona atakua ananisema sema😂
Intelligent businessman ona sasa😬
Ms eyes tulia 😂🤣, nipewe Siri za kuwa single for life😂🤣Intelligent businessman ona sasa😬
fukua post zangu, kuna mahali nilishusha maparagraph kama yote😅 uzi flani hivi kuhusu kuachana nimesahau jinaMs eyes tulia 😂🤣, nipewe Siri za kuwa single for life😂🤣
Asantee umemaliza tata na tena nakazia DAWA YA TUKIO NI MATUKIODawa ya tukio ni tukio
Unapendwa kudanganywa?
Kama huna uwezo wa kumuacha acha kumfatilia utajiumiza bure.
Msaliti sio mtu wa kumvumilia kabisa.
Kabla ya kumsamehe fikiria kwanza alivyokuwa anafinyiwa kwa ndani....,
Sasa wewe jiulize kama unaweza pambania kombe kama ila kaa ni gogo[emoji848] my friend utapigwa tukio mpaka uhisi kichwa kinazunguka......
Anyway Wizara ya Mahusiano na Minyanduano mpo hapa......
Hili nalo mkalitazame
Mwanamke akitombesha tu hamna msamaha kwangu...kila kitu kinaisha hapohapo
nasemajeeeeeee, tatizo moyo una kiherehere sanaMsaliti ni zaidi ya mtoa roho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kuachana nae na kusonga mbele km injili
nasemajeeeeeee, tatizo moyo una kiherehere sana
ushanifanya bro mara hii cute wife? 😂 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ko unataka kusemaje bro
ushanifanya bro mara hii cute wife? [emoji23] [emoji23]
mpaka yaondoke na mtu, yatuue.