Mbona ni sahihi tu, mi naanika tena nyingi zimetoboka atakae mind kimpango wake kwio zake [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
Kumbe soksi nayo ianikwe gizani?? Elewa maana ya nguo tu baasi. Sioni shida kuitoa na kuiweka kwenye nguo za kufua ikafuliwa hata na ma mkweNdio maana ikaitwa nguo ya ndani huwez kuiweka nje. Kama sio ushamba nenda kaanike ukweni uone
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafiti zinaonyesha kuwa wanawake wanaoanika nguo za ndani ndani nyumba huwa wanaongoza kwa kuliwa na fungus!
Wale waleKumbe soksi nayo ianikwe gizani?? Elewa maana ya nguo tu baasi. Sioni shida kuitoa na kuiweka kwenye nguo za kufua ikafuliwa hata na ma mkwe
Sure mm mwenyewe naanika nje km mtu akimaindi bc achukue hamisi zake. Tatizo watu wanasumhuliwa na imani zaoNI SAHIHI KABISA. JUA NI NATURAL DISINFECTANT INASAIDIA KUWA KAVU VYA KUTOSHA KUUA WADUDU WNAOWEZA KULETA FANGASI UKENI. NA ISIFUNIKWE NA KHANGA IPIGWE JUA DIRECT. PIA MATERIAL NZURI ZAIDI NI YA COTTON JAPO WENGI WANASEMA NI NGUMU KWO KUFUA
Simo miongoni mwa wale baharia wenye kuiiba chupi na kujitosheleza kwa kuiangalia tu hadi ukamaliza hamu yako. Shit man
Mkuu we n mtu wa mkoa gan?Mbona wanaume tunaanika na hatufuniki?